Fear for unknownHilo hakuna ubishi kwamba nyuma mwiko wanawalipa au kuweka ahadi ya pesa Kwa timu zinaczocheza na Simba.
Na wao pia wanatoa BAHASHA kuhakikisha timu pinzani wanazocheza nazo wanafungwa tena goal zaidi ya 5
Na kuwatengenezea wachezaji wao record za mchongo mfano ufungaji bora nk.
Ubora wa ukwl wa Simba na yanga upo kwenye mechi za kimataifa.
Pia nyuma mwiko watahakikisha kucheza mechi za Simba kimataifa nje ya uwanja na uwanjani ili Simba isiifikie record ya yanga shirikisho..
Amini maneno yangu kwamba Simba asipokuwa makini atajikuta anapoteza mechi zote za shirikisho na ubingwa asahau.
Kwamba mpanzu usajili hauja tickWamepata walichostahili
Lakini wanaoweka dau sio Yanga .....ni viongozi wa timu husikaUfatilii mpira Simba kacheza mwanza na singida na mechi zote limewekwa dau ili wamfunge Simba kwanini timu hizo hizo zilipocheza na yangu hawakuwekewa dau?. Alafu unasema nadharia Kuna nadharia gani hapo?
Lkn mbna walisema Yanga Ina wachezaji wazee.......huku Simba ikiwa na damu changa .....???Nadhani hakuna timu underdog bongo isiyokamia Yanga au kolowizard, maana ni sehemu ya wachezaji kujiuza, tatizo ni kiwango, Mbeleko Simba fc uwezo wake ni mdogo , quality ya timu ni ya kawaida sana kwahiyo timu ndogo zikikaza zinamudu kupishana nayo, inaonekana zinakamia kumbe mzani unabalance tu, kiufupi simba ina jina kubwa ila uwezo wake ni sawa na timu zingine za ligi, sasa underdogs wakikomaa kukabia juu inaonekana wamekamia kumbe uwezo wao na simba ni sawa na tunaona mchezo mkali ambao marefa tu ndio huharibu balance kwa kupendelea mbeleko fc. Timu yoyote ndogo ikakaza Simba inapasuka vizuri tu kama refa hajapokea muamala!
Timu hizo hizo ndogo zikicheza na Yanga mlima unakuwa mrefu sana too much quality and talents za Pacome, Ki Aziz na Max zinaua ukamiaji maana hawakabiki na tunaona mpira ni mchezo rahisi.
Hakuna cha kukamia mpira ni mchezo wa wazi, quality inaonekana kwa macho, hata timu ikamie Yanga inafungwa kwa kuzidiwa uwezo, muulizeni Mauya lile goli la Dube ilikuwaje!!
[emoji23][emoji23]basi waache visingizioHiyo timu inabebwa tu na waamuzi. Hakuna timu inayoikamia Sheikh.
Daaahwamba alipauka ghafla [emoji23]Ujumbe mkuu umefika nao ni hii PICHA ya huzuni na mshangao ya semaji la CAF
MKuu unahisi Kwann Yanga apoteze energy kubwa kisa hayo mambo ya hovyoHilo hakuna ubishi kwamba nyuma mwiko wanawalipa au kuweka ahadi ya pesa Kwa timu zinaczocheza na Simba.
Na wao pia wanatoa BAHASHA kuhakikisha timu pinzani wanazocheza nazo wanafungwa tena goal zaidi ya 5
Na kuwatengenezea wachezaji wao record za mchongo mfano ufungaji bora nk.
Ubora wa ukwl wa Simba na yanga upo kwenye mechi za kimataifa.
Pia nyuma mwiko watahakikisha kucheza mechi za Simba kimataifa nje ya uwanja na uwanjani ili Simba isiifikie record ya yanga shirikisho..
Amini maneno yangu kwamba Simba asipokuwa makini atajikuta anapoteza mechi zote za shirikisho na ubingwa asahau.
MKuu unahisi Kwann Yanga apoteze energy kubwa kisa hayo mambo ya hovyoHilo hakuna ubishi kwamba nyuma mwiko wanawalipa au kuweka ahadi ya pesa Kwa timu zinaczocheza na Simba.
Na wao pia wanatoa BAHASHA kuhakikisha timu pinzani wanazocheza nazo wanafungwa tena goal zaidi ya 5
Na kuwatengenezea wachezaji wao record za mchongo mfano ufungaji bora nk.
Ubora wa ukwl wa Simba na yanga upo kwenye mechi za kimataifa.
Pia nyuma mwiko watahakikisha kucheza mechi za Simba kimataifa nje ya uwanja na uwanjani ili Simba isiifikie record ya yanga shirikisho..
Amini maneno yangu kwamba Simba asipokuwa makini atajikuta anapoteza mechi zote za shirikisho na ubingwa asahau.
Hata hiyo mechi ya Fountain kulikuwa na dau kutoka kwa RC wa Manyara.Ufatilii mpira Simba kacheza mwanza na singida na mechi zote limewekwa dau ili wamfunge Simba kwanini timu hizo hizo zilipocheza na yangu hawakuwekewa dau?. Alafu unasema nadharia Kuna nadharia gani hapo?
Naomba uniache kwanza..Wakuu naomba tuchambue jambo hili limekuwa linaongelewa sana kwenye media
Ni Kwamba inasemekana Simba tu ndio hukutana na upinzani mkubwa kwenye ligi..... tofauti na timu zingine kama Yanga na Azam.....hii Ina maanisha kuwa. ....Simba ni rahisi kupata ushindi mechi za kimataifa lkn sio mechi za NBC premier league
Mtazamo wangu kama mchambuzi
Nadhalia hii ni dhahania (idealistic) Kwani haya malalamiko yanatokea tu pale Simba ikifanya vibaya ......(ii) Mpira ni mchezo wa wazi Kila mtu anaona Nini kinaendela hivyo hakuna ushindi (!!!) Simba walisema wanajenga timu ....so kujenga timu ni process... it's not a one night stand
Je ni kweli Simba wanakamiwa sana NBC premier league....if yes weka ushahidi ....if no weka ushahidi
Nakala iwafikie
Kalpana
Tate Mkuu
Mshana Jr
Isanga family
Proved View attachment 3228864
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ubingwa ni habari ingine, sidhani kama lile la kufunga goli dkk za refa litajirudia maana dunia nzima iliona zile vurugu, kolo kamaliza mwendo robo fainaliHilo hakuna ubishi kwamba nyuma mwiko wanawalipa au kuweka ahadi ya pesa Kwa timu zinaczocheza na Simba.
Na wao pia wanatoa BAHASHA kuhakikisha timu pinzani wanazocheza nazo wanafungwa tena goal zaidi ya 5
Na kuwatengenezea wachezaji wao record za mchongo mfano ufungaji bora nk.
Ubora wa ukwl wa Simba na yanga upo kwenye mechi za kimataifa.
Pia nyuma mwiko watahakikisha kucheza mechi za Simba kimataifa nje ya uwanja na uwanjani ili Simba isiifikie record ya yanga shirikisho..
Amini maneno yangu kwamba Simba asipokuwa makini atajikuta anapoteza mechi zote za shirikisho na ubingwa asahau.
Ulicholeta kichambuliwe ni strong tea, hakuna hoja hapa.
Na sisi wana Simba hatulalamiki kukamiwa na vitimu vidogo,waendelee kufanya hivyo maana ndio wanaimarisha timu yetu.Wakuu naomba tuchambue jambo hili limekuwa linaongelewa sana kwenye media
Ni Kwamba inasemekana Simba tu ndio hukutana na upinzani mkubwa kwenye ligi..... tofauti na timu zingine kama Yanga na Azam.....hii Ina maanisha kuwa. ....Simba ni rahisi kupata ushindi mechi za kimataifa lkn sio mechi za NBC premier league
Mtazamo wangu kama mchambuzi
Nadhalia hii ni dhahania (idealistic) Kwani haya malalamiko yanatokea tu pale Simba ikifanya vibaya ......(ii) Mpira ni mchezo wa wazi Kila mtu anaona Nini kinaendela hivyo hakuna ushindi (!!!) Simba walisema wanajenga timu ....so kujenga timu ni process... it's not a one night stand
Je ni kweli Simba wanakamiwa sana NBC premier league....if yes weka ushahidi ....if no weka ushahidi
Nakala iwafikie
Kalpana
Tate Mkuu
Mshana Jr
Isanga family
Proved View attachment 3228864
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kimsingi ni mapema sana kuanza kumjadili mpanzu
Hilo lina ukweli na wala halina kificho. Ndiyo Maana timu yenye wachezaji wazee imeshindwa kuvuka hata hatua ya makundi kwenye mashindano ya CAF huku ile yenye wachezaji vijana ikitinga robofainali.Lkn mbna walisema Yanga Ina wachezaji wazee.......huku Simba ikiwa na damu changa .....???
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Labda ndo mlezi wa hiyo timuHata hiyo mechi ya Fountain kulikuwa na dau kutoka kwa RC wa Manyara.