Ni kweli Tanga ndipo mapenzi yalipozaliwa au tunapigwa?

Ni kweli Tanga ndipo mapenzi yalipozaliwa au tunapigwa?

Huku ndugu yangu nimeshapaelewa kote uzuri wa kazi zangu nazunguka mno kilwa masoko na kivinje yake,kiranjeranje,mchinga,Paris penyewe Lindi tumejengewa na mashujaa amusement park moja hatari ijo beach kbs PWANI Kuna hapo rutamba mabonde ya milola,mnaz mmoja mingoyo,mtwara,ruangwa, nachingweA,liwale yote selous yake sijui tunduru chimbo la Amazon I na terminal, kiuma, songea,nanyumbu,namtumbo kote huko mpaka mbinga kote nisharomb@ ila kiboko yao NI masasi Babu pale huchomoki Adam viaz na kibo mzee mwenzangu Kuna mademu Kama wote wenye mapenzi mengi..masasi pale huli night moja lazima tu utumie zaidi ya 100k maana Kuna Bata sijawahi kuona
unanihakikishia sitojuta nkienda huko mkuu?
 
Kwanza mademu wa kaskazini wamenyata miguu na shape hamna kitu NI rangi TU zinawabeba halafu kuhusu mapenzi me Nimromb wa kwetu singida ila wanaringa Sana kiburi kingi...Huku kusini wao hawana hizo kwanza mademu wanajua kunyenyekea hatari Tena wakijua una vihela hela utapendwa na wakwe mpk ushangae utapewa zawadi za Nazi mpk ukome..Kama me demu Wangu namromba daily ninavyosema daily I really mean it halafu hata hakatai Wala Nini mpk nashangaa Ina maana huyu hachoki tu haumii mtoto Wala anakususia mbususu ufe nayo ukarauge nayo unavyotaka mixer mauno ya kuzidi aisee niombeeni wakuu Nina mengi ya kuyaeleza ila Basi TU..
😳
 
Mkikutana na mabinti wa Tanga haswa conc ,hapa mkafinyiwa ndani....mtanena kwa lugha kuyahubiria na kuyafikia mataifa kwamba Tanga ni kitovu cha Mapenzi...hao watanga wengine mnaokutana ni watanga diluted😅😅😅😂
 
Mkikutana na mabinti wa Tanga haswa conc ,hapa mkafinyiwa ndani....mtanena kwa lugha kuyahubiria na kuyafikia mataifa kwamba Tanga ni kitovu cha Mapenzi...hao watanga wengine mnaokutana ni watanga diluted[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]
Ngoja waje wale waliokutana nao waseme,maana wengi wanasema hamna maajabu yoyote[emoji3]
 
Hahaha eti za uswazi zipo kinyonge...hamna bana mkuu demu unambadilisha wewe vile unataka...me Nina pc flan japo ya kienyeji nimeitoa shamba Haina gharama isipokuwa TU nataka ipendeze so Niko katika hio process endelevu ya kukapendezesha...
Nakubali ndege john
 
mapya yapo.
watoto wengi wa kitanga wa Sasa hivi wameharibiwa na utandawazi.
Sio Kama mama zao walivyokuwa
Watu wa bara hao wakija huku pwani wanalowea ila tulozoea haya mambo hatuoni jipya huko Tanga.
 
Tanga iko overrated alafu mtwara Kwa wamakonde iko underrated..Tukirudi nyuma wamakonde walichukuliwa wakapelekwa Tanga kwenda kulima katani(mkonge),na wengi wao hawakurudi tena mtwara.Kuna uwezekano wamakonde ndy waliwafundisha hao wenyeji hayo mambo

Kwenye chakula nawapa yes..wanawake wa Tanga ni mafundi wa mapishi,sijui majirani zao wa pale mlima mrefu wanakwama wapi!! Si wakapige chabo Tanga?

Mleta mada umewahi kwenda mikoa ya kusini Lindi na mtwara? Huko wanawake wanakatika viuno Feni inasubiri,na ukiwa mzembe kitandani wnakuaibisha

Ndugu yangu ndege JOHN anajua hbr ya wanawake wa Lindi na mtwara,ngoja aje kutoa ushuhuda..karibu shehe wangu ndege JOHN [emoji28]
...Huko wanawake wanakatika viuno Feni inasubiri,na ukiwa mzembe kitandani wnakuaibisha.... mtoa mada hajauliza kama TANGA NDO VIUNO VILIKOZALIWA.... ameuliza TANGA NDO MAPENZI yalikozaliwa? Viuno hata TWANGAPEPETA wanakata...
 
Back
Top Bottom