Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Ulifungwa kamba na huyo binti ili umuogope hakuna lolote hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui ni kwa nini lakini kila ninapoenda au kuishi basi watu hunichukulia tofauti sana, yaani huwa wananihusisha na hawa jamaa, mpaka sasa imefikia kipindi natamani NIWE kweli. Kuna sehemu niliwahi kwenda ikafikia kipindi nikikuta watu wanaongea basi nikifika wananyamaza au kubadili story mpaka niondoke hilo eneo(mwenyeji wangu akaniambia hao jamaa wanakuhisi wewe ni usalama) kuna mahali pia niliwahi pata kazi, basi ofisi nzima wananiogopa, kuna bro mmoja tulipozoeana sana ndio akaja kuniambia, watu wanahisi wewe ni usalama, wanakuogopa, tukirudi kitaa (huwa situlii sana hapo, ingia toka nyingi mpaka nimekuwa mkubwa) pia watu huwa wanamuuliza mzee wangu hivi huyu mwanao huwa mnaongea nae kweli (me mkimya) anafanya kazi gani? (Baba aliwahi niambia wanahisi wewe ni usalama) Yaani mpaka watu wazima wa mtaani wananiogopa, kila ninapoenda mimi huwa nakuwa treated tofauti, nahusishwa na hao jamaa mpaka nimezoea na nimejikuta naanza kutamani niwe Usalama kweli sasa. Huwa najiuliza mimi nina nini? Nina Onekana vipi? Sijawahi pata jibu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hufai
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ww hufai sababu katika vitu hatarishi kwa Agent ni kuwa recognized kwa haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…