Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Huo ndo ukweli Sasa kanumba alihit wapi zaidi ya Tz na kale kamovie ka dar to lagosi
Wapi nimemuongelea Kanumba au una msongo wa mawazo?
Mimi nimesema sinza pazuri anampambania boss wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndo ukweli Sasa kanumba alihit wapi zaidi ya Tz na kale kamovie ka dar to lagosi
Sasa una imagination kitu ambacho akikutokea na hakiwezi kitokea, wew sema kwa unavyomuona diamond kwa Sasa na kanumba kabla aja fariki Basi umaarufu wao ukoje ,Kila enzi na kitabu chake. Ni kweli kuwa Kanumba ndiye msanii wa kwanza Tanzania kutambuliwa Nigeria, Afrika ya Kusini na Holywood Marekani, ilikuwa apewe role ya movie fulani ya Holywood lakini akafariki kabla hajaanza kazi. Hata hivyo hiyo ni zaid ya miaka 15 iliyopita, hiwezi kujua leo mambo yangekuwaje
Anasema mtazamo wake ATA Kama kaegemea upande wake ,nawę unaruhusiwa kumpambqnia boss wwko yoyotę yule,mnakwama wapi aiseeWapi nimemuongelea Kanumba au una msongo wa mawazo?
Mimi nimesema sinza pazuri anampambania boss wake.
Anasema mtazamo wake ATA Kama kaegemea upande wake ,nawę unaruhusiwa kumpambqnia boss wwko yoyotę yule,mnakwama wapi aisee
Kanumba hawezi kumfikia hata mbosso kwa umaarufu, Kanumba ametrend zaidi kwenye msiba wakeEti malegend, Ni kweli umaarufu na mvuto wa kukubalika wa Kanumba enzi za uhai wake huwezi linganisha na umaarufu wa Diamond, je ni kweli Kanumba alikuwa akikubalika sana na angekuwepo mpaka leo chibu tusonge msikia?
Kanumba hana tofauti na Ray Kigosi, hata angekuwepo wangeendelea kukimbizana na kupaishana vilevile.Eti malegend, Ni kweli umaarufu na mvuto wa kukubalika wa Kanumba enzi za uhai wake huwezi linganisha na umaarufu wa Diamond, je ni kweli Kanumba alikuwa akikubalika sana na angekuwepo mpaka leo chibu tusonge msikia?
Wewe kichwa rudia kujisomaWapi nimemuongelea Kanumba au una msongo wa mawazo?
Mimi nimesema sinza pazuri anampambania boss wake.
Pumba kabisa wewe; nimeandika nini hapo anbacho ni imagination tu?Sasa una imagination kitu ambacho akikutokea na hakiwezi kitokea, wew sema kwa unavyomuona diamond kwa Sasa na kanumba kabla aja fariki Basi umaarufu wao ukoje ,
Swali dogo tu ilo mnashindww
Wewe kichwa rudia kujisoma
NDIOEti malegend, Ni kweli umaarufu na mvuto wa kukubalika wa Kanumba enzi za uhai wake huwezi linganisha na umaarufu wa Diamond, je ni kweli Kanumba alikuwa akikubalika sana na angekuwepo mpaka leo chibu tusonge msikia?
Dogo pamoja na kuwa bega la *dimond ila kwa umri wako inawezekana hukumjua late Kanumba.Diamond Platnumz aka Simba ni msanii wa kihistoria yani bongo hatuwajai kuwa na celebrity mkubwa hata nusu ya Diamond.
Ukisikia story eti fulani alikuwa mkubwa kuliko diamond wa sasa ujue ameamua kujifurahisha.
Wewe utakuwa sio wa mjini unasikikiza sana story za vijiweniHumu leo ndio utajua kuna watu either watoto au basi vichwa vyao vinawaka moto .....
kanumba yupo hai muziki na bongo movies zilikuwa mbingi na ardhi,msiba wa kanumba 2012 niko form 2 azaboy mond alienda msibani halafu watu hawana time nae.
Kanumba alikuwa anapata deals za kutosha hapa tz kama ile ya star times diamond bado anahangaika na wema ambaye wema ndio kachangia kumleta mjini diamond lakini wema huyo huyo kaletwa mjini na kanumba
Acheni kabisa imagibe jamaa alikufa na 28yrs huu umri kwa aliyoyafanya inabid apewe heshima yake.....
Wewe unasikiliza bhn acha kutupanga. Playlist yako imejaa nyimbo za Zuchu. Kerbu wewe!Nilichogundua WaTz wengi wana chuki sana kwa watu waliofanikiwa tena ni wanafiki sana, Swala la Diamond kua mkubwa zaid Tanzania halina ubishi wala halihitaji hata F moja.
Level aliyoishia Kanumba ndio Level aliyokuwapo Diamond miaka ya 2015 hivi.
Binafs sisikilizi mziki wa Usafini kutokana na Miondoko yao ya Kipemba na Content zao Mbovu ila LaMasimba apewe maua yake ananyoosha sanaaa.