Ni kweli umaarufu wa marehemu Kanumba ulikuwa ni zaidi ya Diamond Platnumz?

Ni kweli umaarufu wa marehemu Kanumba ulikuwa ni zaidi ya Diamond Platnumz?

Diamond Platnumz aka Simba ni msanii wa kihistoria yani bongo hatuwajai kuwa na celebrity mkubwa hata nusu ya Diamond.

Ukisikia story eti fulani alikuwa mkubwa kuliko diamond wa sasa ujue ameamua kujifurahisha.
Kilichomfanya diamond asiwe anaenda kwenye misiba ni ukubwa wake,nakumbuka siku ya msiba wa kanumba alienda lakin alivyofika watu wakampokea kwa shangwe sana mpaka akawa anajishutukia na wakat wa kuondoka mashabiki walisukuma gari lake walimzuia asiliwashe,jamaa aliona jau sana ndo maana hanaga hamu ya kuhudhuria misibani
 
Umaarufu aliokua nao kanumba kwa kipindi kile almost ni sawa na Diamond wa sasa, Kila mtu akiamua kubisha abishe tu kila mtu Yuko huru.... Kwa Mimi watu maarufu sana Tanzania ambao sio wanasiasa ni Samatta, Diamond, Kanumba....

Hao watatu hata kama wanazidiana basi wanazidiana kidogo sana ambayo ni almost ni km wanafanana.... Just imagine 2012 Kanumba alikua star mkubwa tu Africa, status aliyokua nayo hakuna Bongo movie star anakaribia hata robo...
 
Kanumba aliweza kuwa maarufu bila Kiki za instagram, hadi anakufa yeye ndo alikua ni msanii maarufu zaidi.
Mada umaarufu sio instagram wala nini.

Alafu unauhakika mwaka 2012 kweli kanumba alikuwa na ukubwa kuzidi Mond
 
Kanumba sana sana umaarufu wake ulikuwa ni kwa hizi nchi zinazoizunguka Tanzania, Diamond kavuka hapo ndio tofauti
Hapo akiwa Marekani kwenye uwanja unao itwa " steples center"
 

Attachments

  • STAP3.gif
    STAP3.gif
    172.8 KB · Views: 2
Kilichomfanya diamond asiwe anaenda kwenye misiba ni ukubwa wake,nakumbuka siku ya msiba wa kanumba alienda lakin alivyofika watu wakampokea kwa shangwe sana mpaka akawa anajishutukia na wakat wa kuondoka mashabiki walisukuma gari lake walimzuia asiliwashe,jamaa aliona jau sana ndo maana hanaga hamu ya kuhudhuria misibani
Upo sahihi sana mkuu, una kumbukumbu nzuri.
 
Upo sahihi sana mkuu, una kumbukumbu nzuri.

ila baada ya Kanumba kufariki ndipo diamond alianza kutafuta kolabo za nje ili arithi kiti cha Kanumba, mana wabongo muvi walibweteka sana ndipo upepo ukaanza kuhamia kwenye bongo fleva, na bongo muvi ikawa imekufa jumla sababu ilikosa mtu mwenye uthubutu kama kanumba na ikawa imekufa hadi leo hii lkn bongo fleva ipo juu sababu ina mtu mwenye uthubutu ambaye ni mond, ila angekuwepo Kanumba diamond asingeweza kuwa juu maana bongo movie ilikuwa juu sana sababu ya Kanumba na bongo fleva haikuwa juu kivileee na ndio maana diamond alitegemea kupata kiki kupitia waigizaji kama wema sepetu, bcoz bongomovie was on top..
 
ila baada ya Kanumba kufariki ndipo diamond alianza kutafuta kolabo za nje ili arithi kiti cha Kanumba, mana wabongo muvi walibweteka sana ndipo upepo ukaanza kuhamia kwenye bongo fleva, na bongo muvi ikawa imekufa jumla sababu ilikosa mtu mwenye uthubutu kama kanumba na ikawa imekufa hadi leo hii lkn bongo fleva ipo juu sababu ina mtu mwenye uthubutu ambaye ni mond, ila angekuwepo Kanumba diamond asingeweza kuwa juu maana bongo movie ilikuwa juu sana sababu ya Kanumba na bongo fleva haikuwa juu kivileee na ndio maana diamond alitegemea kupata kiki kupitia waigizaji kama wema sepetu, bcoz bongomovie was on top..
pitia record ya Mond kabla ya kifo cha Kanumba vizuri
 
Back
Top Bottom