Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
Mwanamke wa ndoto zako means mwenye nyota natafuta nyota tuNdiyo MWANAMKE unapata vizuri tu, Lakini huwezi kumpata MKE wa ndoto zako kwenye club
Nilikuwa nawinda nilipokuwa na miaka 17 hadi 20 na nilikuwa nawalakweli ila now am approaching 40 huwezi kuamini nimesahahu kabisa kutongozaBadili mbinu za kuwinda
Juliana napafahamu hivi bado ipo? Wanachaji sh ngapi?Anzia na mbezi beach pale juliana unaweza bahatisha wakishua ukatoboa
Uipeleke wapi?Mwanamke wa ndoto zako means mwenye nyota natafuta nyota tu
Mungu humleta mtu na kukutanisha nae, sehem tofauti kwa wakati wake na muda wake. Unaeza kujaribu wewe lakini muombe sana MunguMajizo anasema alikutana na Lulu kwenye klabu ya usiku.
Mr. Blue anasema alikutana na mke wake yule mwarabu kwebye klabu ya usiku.
Leo nataka na mimi nijaribu. Nitatembelea kwenye klabu na baa kadhaa ndani ya jiji la Dar es salaam nione huenda nikakutana na mwanamke wa ndoto zangu.
Wakuu nipeni orodha ya bar na viwanja ambako wanapatikana wadada classic kwa wingi haoa jijini Dar es salaam.
Nikajaribu bahati yangu.
Huku mtaani MIYEYUSHO mitupu mademu wasumbufu hatari wanazungusha ile kinomanoma.
Wacha niende mtaani tu leo nikaoshe rungu.
Nipeni muongozo wakuu
ππ»ππ»ππ»ππ»Mungu humleta mtu na kukutanisha nae, sehem tofauti kwa wakati wake na muda wake. Unaeza kujaribu wewe lakini muombe sana Mungu
Nitakuwa makini mkuuBahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.
Nenda ukaopoe li Amber Rutty moja huko likuibie mpaka kende na kaswende juu likuachie.
Usiseme natafuta mke watakuigizia, we ishi na Mwanamke wa club vizuri na usimchukulie kama Malaya mbona utapataMajizo anasema alikutana na Lulu kwenye klabu ya usiku.
Mr. Blue anasema alikutana na mke wake yule mwarabu kwebye klabu ya usiku.
Leo nataka na mimi nijaribu. Nitatembelea kwenye klabu na baa kadhaa ndani ya jiji la Dar es salaam nione huenda nikakutana na mwanamke wa ndoto zangu.
Wakuu nipeni orodha ya bar na viwanja ambako wanapatikana wadada classic kwa wingi haoa jijini Dar es salaam.
Nikajaribu bahati yangu.
Huku mtaani MIYEYUSHO mitupu mademu wasumbufu hatari wanazungusha ile kinomanoma.
Wacha niende mtaani tu leo nikaoshe rungu.
Nipeni muongozo wakuu
Nyota haitafutwi hivyo mkuu... π πMwanamke wa ndoto zako means mwenye nyota natafuta nyota tu
Amesha danganywa Tayari na wazee wa nyumba za makutiUipeleke wapi?