Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
Majizo anasema alikutana na Lulu kwenye klabu ya usiku.
Mr. Blue anasema alikutana na mke wake yule mwarabu kwebye klabu ya usiku.
Leo nataka na mimi nijaribu. Nitatembelea kwenye klabu na baa kadhaa ndani ya jiji la Dar es salaam nione huenda nikakutana na mwanamke wa ndoto zangu.
Wakuu nipeni orodha ya bar na viwanja ambako wanapatikana wadada classic kwa wingi haoa jijini Dar es salaam.
Nikajaribu bahati yangu.
Huku mtaani MIYEYUSHO mitupu mademu wasumbufu hatari wanazungusha ile kinomanoma.
Wacha niende mtaani tu leo nikaoshe rungu.
Nipeni muongozo wakuu
Mr. Blue anasema alikutana na mke wake yule mwarabu kwebye klabu ya usiku.
Leo nataka na mimi nijaribu. Nitatembelea kwenye klabu na baa kadhaa ndani ya jiji la Dar es salaam nione huenda nikakutana na mwanamke wa ndoto zangu.
Wakuu nipeni orodha ya bar na viwanja ambako wanapatikana wadada classic kwa wingi haoa jijini Dar es salaam.
Nikajaribu bahati yangu.
Huku mtaani MIYEYUSHO mitupu mademu wasumbufu hatari wanazungusha ile kinomanoma.
Wacha niende mtaani tu leo nikaoshe rungu.
Nipeni muongozo wakuu