Ni kweli uwepo wa Pyramids bado ni kitendawili hapa duniani ama kuna siri imefichwa?

Ni kweli uwepo wa Pyramids bado ni kitendawili hapa duniani ama kuna siri imefichwa?

Hao watu wa zamani kweli walikuwa na ujuzi na uwezo mkubwa sana
Na ujenzi wa miji mingi sana duniani wamejenga kwa muda mrefu sana

Ukiangalia hata Inca Empire na huko Machu Pichu walivyojenga ni maajabu sana
Unajua watu wa zamani walikuwa na subra sana yaani wanaweza kujenga kitu kwa miaka hata Hamsini
Sasa sisi leo jengo linajengwa kwa miezi tu

Wao walijenga to last
Leo tunashuhudia majengo ya miaka na miaka na bado yana thamani na mazuri pia

Nilienda mji mmoja Uingereza kuna kanisa moja Gloucester lina miaka 1000 nilishangaa sana
Sasa fikiria lilijengwa kwa mda gani hilo ili likae miaka yote hii

Nafikiri na hawa watu labda walijenga pyramids kwa miaka mingi sana na sio mda mchache
Walijenga kwa miaka 20 lile Pramidi kubwa pale Giza lanye tofali zaidi ya million 2
 
Isitoshe wataalum walipima nakugundua pyramid za pale misri zapata kuwepo miaka 4500 iliyopita!.. vilevile hao wa misri wao walikuwa wanadai waliyatengeneza kwaajili yakuzikia wafalme na malkia zao!, ama waweza sema royal family.
Hii coincidence vipi unaionaje?
How many years since the flood of Noah?
Acts & Facts. 37 (10): 4. The Flood at ~2472 B.C. + 2018 A.D. = ~4,500 years ago

Source: Google Search
 
Wewe utakuwa siyo wa kawaida, hata hili nalo unalijua? Except tu ni kwamba hakuna uhakika kama waliowahi kufanya hivyo ni Annunaki, ukizingatia kuwa Annunaki ni watu wambao siyo halisi, ni imaginary. Inahisiwa tu kuwa waliwahi kuwepo Annunaki ila uhakika haupo
Unajua Anunnak ni nadharia viumbe intelligent wa kale either walikua humanoid, reptiles au Jamii nyingine
Maana hata ukiangalia mabaki ya kale inaonesha kabisa hawa watu/viumbe walikua extra ordinary ukijilinganisha na sisi hivyo kwa gutimisho tufanye hiyo Race ni Allien maana bado hatujui walikuaje kuaje na Asili yao na mwanzo wa hayo maarifa makubwa walitoa wapi?
Kitendawili!
 
Unajua Anunnak ni nadharia viumbe intelligent wa kale either walikua humanoid, reptiles au Jamii nyingine
Maana hata ukiangalia mabaki ya kale inaonesha kabisa hawa watu/viumbe walikua extra ordinary ukijilinganisha na sisi hivyo kwa gutimisho tufanye hiyo Race ni Allien maana bado hatujui walikuaje kuaje na Asili yao na mwanzo wa hayo maarifa makubwa walitoa wapi?
Kitendawili!
Hapana, Annunaki hawajajenga pyramids bali zilijengwa na Wamisri ambao kizazi chao kilikuja kupotea.
Walikuwa na vichwa virefu vinakwenda juu upande wa kisogoni ambao kwa sasa kizazi chao hakipo tena Misri
Annunaki siyo kabila bali ni miungu ya watu; miungu huwa haijengi
Nimrod ni engineer aliyewahi kujenga mnara wa Babeli; mnara ambao ni wa ajabu zaidi kuliko vitu vyote ambao vimeshawahi kuwepo hapa duniani
 
Hapana, Annunaki hawajajenga pyramids bali zilijengwa na Wamisri ambao kizazi chao kilikuja kupotea.
Walikuwa na vichwa virefu vinakwenda juu upande wa kisogoni ambao kwa sasa kizazi chao hakipo tena Misri
Annunaki siyo kabila bali ni miungu ya watu; miungu huwa haijengi
Nimrod ni engineer aliyewahi kujenga mnara wa Babeli; mnara ambao ni wa ajabu zaidi kuliko vitu vyote ambao vimeshawahi kuwepo hapa duniani
Mh! sitetei annunaki maana siamini sana kuhusu wao isipokuwa wenyewe kuitwa miungu ni kwasababu ya hao wanaoamini walimuumba binadamu!, na sawa na binadamu atengeneze robot hilo robot linaweza kumuita binadamu mungu!..
vilevile kuhusu sidhani kama semi yako yakusema miungu haijengi ni ya hakika sana!, kama waliweza kuishi hapa duniani waliishi vipi bila makazi ikiwa walikuwa na ustaarabu!, mchwa tu anajenga!.
Unafikiri nini kuhusu huo mnara wa babeli unahisi umbali uliopo mpk huko angani unahisi ni kweli ulijengwa huo mnara..?
 
Hapana, Annunaki hawajajenga pyramids bali zilijengwa na Wamisri ambao kizazi chao kilikuja kupotea.
Walikuwa na vichwa virefu vinakwenda juu upande wa kisogoni ambao kwa sasa kizazi chao hakipo tena Misri
Annunaki siyo kabila bali ni miungu ya watu; miungu huwa haijengi
Nimrod ni engineer aliyewahi kujenga mnara wa Babeli; mnara ambao ni wa ajabu zaidi kuliko vitu vyote ambao vimeshawahi kuwepo hapa duniani
Yeah ni kweli kizazi cha Wamisri
Hapana, Annunaki hawajajenga pyramids bali zilijengwa na Wamisri ambao kizazi chao kilikuja kupotea.
Walikuwa na vichwa virefu vinakwenda juu upande wa kisogoni ambao kwa sasa kizazi chao hakipo tena Misri
Annunaki siyo kabila bali ni miungu ya watu; miungu huwa haijengi
Nimrod ni engineer aliyewahi kujenga mnara wa Babeli; mnara ambao ni wa ajabu zaidi kuliko vitu vyote ambao vimeshawahi kuwepo hapa duniani
Hiyo Race ya Wamisri wa kale wenye vichwa vikubwa hawakuwa pure Humanoid,
Na DNA zao hazi rank na Dunia yetu inaonesha hiyo Race ilitoka nje ya Dunia inaonesha walitoka mifumo ya Andromeda na Sirius A na B
Hata kabila la Dogon kule mali wanadai the pure ancient Egyptian walitoka sirius na ndio walileta tech kubwa hapo kale,

Babylon civilizations iliwataja Anunnak ni group of deits walikua visible na waliishi Kati yao na walikua advanced far than normal Humanoid!
 
Mh! sitetei annunaki maana siamini sana kuhusu wao isipokuwa wenyewe kuitwa miungu ni kwasababu ya hao wanaoamini walimuumba binadamu!, na sawa na binadamu atengeneze robot hilo robot linaweza kumuita binadamu mungu!..
vilevile kuhusu sidhani kama semi yako yakusema miungu haijengi ni ya hakika sana!, kama waliweza kuishi hapa duniani waliishi vipi bila makazi ikiwa walikuwa na ustaarabu!, mchwa tu anajenga!.
Unafikiri nini kuhusu huo mnara wa babeli unahisi umbali uliopo mpk huko angani unahisi ni kweli ulijengwa huo mnara..?
Kumbuka Jamii zote za kale na wenye vinasaba na Jamii za kale kama Wahindi,Wamaya,Dogon nk
Wanadai kwamba ancient civilizations ilijengwa na Race tofauti na Humanoid na waliwaita miungu
Kule Misri god of science ni Thot,
Wamaya ni Quetzalcoatl,
Wahindi ni Krishna
Ila ukiangalia kwa umakini zile sites zote kuanzia Pyramids za Giza, Mexico na matemple ya India yamejengwa na kusanifiwa na mjenzi mmoja
Hiyo coincidence imetokeaje?
 
Kumbuka Jamii zote za kale na wenye vinasaba na Jamii za kale kama Wahindi,Wamaya,Dogon nk
Wanadai kwamba ancient civilizations ilijengwa na Race tofauti na Humanoid na waliwaita miungu
Kule Misri god of science ni Thot,
Wamaya ni Quetzalcoatl,
Wahindi ni Krishna
Ila ukiangalia kwa umakini zile sites zote kuanzia Pyramids za Giza, Mexico na matemple ya India yamejengwa na kusanifiwa na mjenzi mmoja
Hiyo coincidence imetokeaje?
mi sijui hizo historia zakale zinachanganya sana!
 
Back
Top Bottom