Ni kweli uwepo wa Pyramids bado ni kitendawili hapa duniani ama kuna siri imefichwa?

Ni kweli uwepo wa Pyramids bado ni kitendawili hapa duniani ama kuna siri imefichwa?

Hizo pyramids za Egypt ni Cha Mtoto, Hivi umewahi kusikia habari za mnara wa Babeli? Ulijengwa mnara mrefu karibu ufike mbinguni, mpk Mungu akashuka kuwaharibia lkn walikuwa washayapita mawingu.

So watu wa zamani walikuwa na akili sana na uwezo mkubwa kuliko sasa
 
Mfano hizo pyramid za Giza zingekuwa ugiriki, italy au middle east sidhani kama ishu ingekuwa kubwa ya nani aliyajengwa ila kwa kuwa yapo afrika bara la watu wanaonekana hawana akili wajinga, ishu inakuwa kubwa wanaanza kuja na theory nyingi ili ionekane muafrika hawezi kujenga majengo kama yale
Hakuna Mzungu,mwafrica wala mwindonesia aliyejenga pyramids kumbuka hayo madude yapo around the World vipi zile za MesoAmerica na matemple ya India,Sri lanka,Cambodia alijenga mwafrica gani?
Wengi wanadhani hizo site zipo misri tu hapana hizo ni sites chache Kati ya nyingi zinazo patikana Around the World na ukiangalia muundo wake wa ujenzi ni High advanced Mathematics beyond human thinking capacity imetumika kuyasanifu,

Nilibahatika kufika Kailasa temple Ellora Maharashtra India nilicho kishuhudia nilipiga na butwaa kubwa
Yaani Single granite rock imechongwa kwa kutumia vifaa sharpen ambavyo leo hatujagundua bado means ni kama vifaa vya Mionzi yaani Racer tools vinahusika pale ile tech Sio ya Dunia hii akili unasimama,
Wahindi wenyewe hawana documents zozote zinazoonesha binadamu wa kawaida alijenga ila wanadai Mfalme Rastrakuta alimjengea mungu shiva ila kiuhalisia hilo temple lina miaka mingi kuliko kumbukumbu za historia zao!
 
Hakuna Mzungu,mwafrica wala mwindonesia aliyejenga pyramids kumbuka hayo madude yapo around the World vipi zile za MesoAmerica na matemple ya India,Sri lanka,Cambodia alijenga mwafrica gani?
Wengi wanadhani hizo site zipo misri tu hapana hizo ni sites chache Kati ya nyingi zinazo patikana Around the World na ukiangalia muundo wake wa ujenzi ni High advanced Mathematics beyond human thinking capacity imetumika kuyasanifu,

Nilibahatika kufika Kailasa temple Ellora Maharashtra India nilicho kishuhudia nilipiga na butwaa kubwa
Yaani Single granite rock imechongwa kwa kutumia vifaa sharpen ambavyo leo hatujagundua bado means ni kama vifaa vya Mionzi yaani Racer tools vinahusika pale ile tech Sio ya Dunia hii akili unasimama,
Wahindi wenyewe hawana documents zozote zinazoonesha binadamu wa kawaida alijenga ila wanadai Mfalme Rastrakuta alimjengea mungu shiva ila kiuhalisia hilo temple lina miaka mingi kuliko kumbukumbu za historia zao!
Kuna vile " Vimanas" vilivyo elezwa kwenye zile ancient tablet za kihindi kwamba pushpak ramayan alikuwa akitumia kama usafiri ukiviangalia vimefanana na space ship
 
We unadhani tungejijua toka kipindi kile life ingekuwaje, Kwanza tungekuwa na sayansi kuwashinda wao, tungekuwa na Uchumi au mali nyingi na utajiri kuwashinda wao pia hivi vita vya kisenge senge ili watu wafanye biashara za silaha zisingekuwepo na pia Haki ingesimama afu kungekuwa na Black supremacy ki2 ambacho ngozi nyeupe iliweka mikakati kuhakikisha hilo swala halitokei milele na milele...
Basi sisi hamna kitu mkuu.
Kama tungekuwa na uwezo basi hiyo mikakati waliyoweka wazungu ili kutudidimiza tungeitegua kuthibitisha tuna uwezo kuliko wao
 
Hizo pyramids za Egypt ni Cha Mtoto, Hivi umewahi kusikia habari za mnara wa Babeli? Ulijengwa mnara mrefu karibu ufike mbinguni, mpk Mungu akashuka kuwaharibia lkn walikuwa washayapita mawingu.

So watu wa zamani walikuwa na akili sana na uwezo mkubwa kuliko sasa
Mungu Alishuka kuwaharibia?
Kumbe Mungu anakuwa na hofu? Aliogopa nini mpaka akashuka awaharibie?
 
Mimi ni mdau mmojawapo ambaye nimebahatika kufuatilia mara kadhaa video mbalimbali youtube kuhusu nadharia hizi na hata elimu mbalimbali za Egyptology kuna mengi ya kujifunza ambayo bado hakuna majibu ya moja kwa moja, Na mara kadhaa Archaeologists mbalimbali wameonekana kuendelea kuchimba na kutafiti zaidi.

Lakini ninaamini Roma inaweza kuwa na siri nyingi juu ya haya mambo kwa kuwa walitawala maeneo hayo wakati wa Alexanda the Great na Hata kusababisha mji mmoja huko kuitwa kwa jina la mtawala (Alexandria) ambao ulikuwa una maktaba iliyosheheni machapisho mengi ambayo yaliungua moto wakati wa kuvaimia Egypt wakati huo, endapo maktaba hiyo ingeokolewa pengine siri nyingi zingefahamika mpaka leo. Tuendelee kujifunza.
Una uhakika kuwa iliungua moto? Tumia neno, " INASEMEKANA...."
 
Ancient Egypt.... Egyptian's....... the first people to be civilized in the world. Wako na historia ndefu sana hao wamisri.

Ukikaa na baadhi ya wanamichezo (hususani wachezaji wa soka) wanakuambia huwa wakienda kucheza pale Misri, wamisri katika kupiga stories wanasema "Timu ya waafrika imekuja", kwamba wao (wamisri) hawajioni kama waafrika 😀. Wanaamini kwamba wakati wa kumegeka kwa mabara (Pangea) ilitokea bahati mbaya tu nchi yao (Misri) ikamegekea barani Afrika.
 
Ancient Egypt.... Egyptian's....... the first people to be civilized in the world. Wako na historia ndefu sana hao wamisri.

Ukikaa na baadhi ya wanamichezo (hususani wachezaji wa soka) wanakuambia huwa wakienda kucheza pale Misri, wamisri katika kupiga stories wanasema "Timu ya waafrika imekuja", kwamba wao (wamisri) hawajioni kama waafrika 😀. Wanaamini kwamba wakati wa kumegeka kwa mabara (Pangea) ilitokea bahati mbaya tu nchi yao (Misri) ikamegekea barani Afrika.
lakini mbona kama wao walivamia tu lile eneo! au sisi ndo tulivamia..?😅
 
Sana. Unaweza kusoma kitabu fulani kinaeleza hivi, halafu ukasoma kitabu kingine kinaeleza vile, wakati ni jambo lilelile unabaki kujiuliza hii ni nini.
Muda mwengine hywa nikikaa nafikiri sisi ni kama mmea, tumepandwa tunaota tu! sio kazi yetu kujua alietupanda katupanda kwaajili yanini na ndio maana hatuna majibu!! lakini akili inakataa maana nikifikiri kitendo chakuwa na hulka ya kutaka kujua kwanini tayari kinaonyesha tunaweza kuwapata majibu!.
Pia kuna mambo yakipuuzi yaliyokuwa yanaendelea huko nyuma ndio yanatutafuna sasa!, tungekuwa na maendeleo kushinda hapa tulipo sema baadhi ya mapokeo yanatuchelesha, mila na desturi fulani fulani zinatakiwa zifutike kwenye kichwa cha binadamu.
 
Muda mwengine hywa nikikaa nafikiri sisi ni kama mmea, tumepandwa tunaota tu! sio kazi yetu kujua alietupanda katupanda kwaajili yanini na ndio maana hatuna majibu!! lakini akili inakataa maana nikifikiri kitendo chakuwa na hulka ya kutaka kujua kwanini tayari kinaonyesha tunaweza kuwapata majibu!.
Pia kuna mambo yakipuuzi yaliyokuwa yanaendelea huko nyuma ndio yanatutafuna sasa!, tungekuwa na maendeleo kushinda hapa tulipo sema baadhi ya mapokeo yanatuchelesha, mila na desturi fulani fulani zinatakiwa zifutike kwenye kichwa cha binadamu.
💯 % Sahihi
 
One of the generation brain washed,
Navofaham mm watata wengi hufanya utata kwenye vitu wasivokuwa na idea navyo ok in shot ni ivii in terms of Art medicine, mathematics na maswala ya astronomy yani Unajim africans walikuwa juu kumshinda hata huyo zeruzeru unayemtukuza ambae hawez hata kustahimili jua bila kupaka skincare ila Black anaweza kustahmili jua kwa masaaa zaid,
Back to the point hebu jarib kukumgoogel MANSA MUSA tajiri wa Mali Empire alie sumbua dunia kwa utajiri ambao hata aliko Dangote au huyo bilionea wa dunia hamfikii, ukiachilia mbali the richest man in Babylon
Tujaribu tuwe tunasoma vitabu kidgo kupanu Medula zetu tusiwe tunakurupuka kama watu walioamshwa kutoka usingizin.....
Hizo akili zilienda wapi? Mpaka sasa tumevumbua vitu gani? Watu wanataka hoja wewe unaleta vioja. Anakuuliza unaleta habari za zeruzeru,sijui jua na a lot of bullshit. Ni ishara ya kupaniki na kushindwa hoja.

Hizo akili zilipotelea wapi?asilimia 90 ya vitu tunavyotumia kwa sasa vimebuniwa au gunduliwa na wageni. Nyie mnabaki kusema mlijenga pyramids. Then what?mkiulizwa mna paniki. Utajiri wa Mansa umeendeleaje kwa sasa? Jamii yake ni tajiri kiasi gani duniani?

Jibu bila kupaniki. Jibu kwa fact. Simu unayotumia,internet,comp etc ni kazi za mtu mweupe. Wewe unabuni tu style za kutiana... Mtu mweusi hana mchango wa maana duniani. Magari,ndege,umeme etc ni mtu mweupe. Hapo ulipo asilimia zaidi ya 90 ya unavyotumia na kula ni matokeo ya kazi ya mtu mweupe. Ametia mkono wake.
 
Back
Top Bottom