Ni kweli Wastara anatudanganya kuwa yupo hospitalini India?

Hili la kumtapeli Rais wa nchi ni aibu na uhuni wa kupindukia, arobaini yake imefika Sasa!
Sie tunamcheka aliyetapeliwa si tapeli,wasukuma si watu wakuwaamini,canada nako katapeliwa msukuma fulani hivi kauziwa feni yeye alidhani ndege
 
Yaani Mamndenyi anakuambia kua hiyo sindano hata kuchomwa haijachomwa bado, madokta au manesi wameigundishia tu kwenye mkono ili drip ikija ndio waichome,
Hukunielewa na huyo pia hujamuelewa kwamba yuko wrong kwenye kipengele gani. Kiufupi hatuko kwenye frequency moja. Endelea kusoma, ukielewa utajua uko wrong wapi.
 
Kumbe yawezekana huyu wastara yupo kinyerezi dispensary ila kamzuga msukuma wa misungwi au chato kuwa yuko india,Daaah!!,wasukuma washamba jamani
 
Wadau wa Jamii Forums siku mbili zilizopita pamekuwa na habari zikieleza kwamba huenda Wastara hajaenda India kutokana na utata katika picha alizokuwa anatuma.

Hizi hapa ni picha zinazoonyesha yuko India akiendelea na matibabu.

Ukweli ni upi?
 
Mnaacha kushupalia kuporomoka kwa elimu nchini na upatikanaji wa ajiraza uhakika zenye mikataba,mnakazi ya kufatilia visivyokuwa na maana.ndio maana tunatukanwa daily na wazungu. [HASHTAG]#Tubadilike[/HASHTAG] watanzania#
 
ukishamsaidia mtu usitake kujua msaada wako anautumiaje.
 
Mnaacha kushupalia kuporomoka kwa elimu nchini na upatikanaji wa ajiraza uhakika zenye mikataba,mnakazi ya kufatilia visivyokuwa na maana.ndio maana tunatukanwa daily na wazungu. [HASHTAG]#Tubadilike[/HASHTAG] watanzania#
Ukitaka hayo nenda jukwaa la elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…