enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,089
- 3,634
Haya mambo hayawezi kukosewa hata siku moja nikupe mfano mdogo tu; MTU yeyote anayejua kusoma hawezi soma amegeuza kitabu vivyo hivyo cannula haiwezi kuwekwa hivyo hata siku moja.badala ya kuhoji anatibiwa wapi? binadamu mnaanza kumuhukumu......wastara sio nurse wala dr yawezekana hospital anayopata tiba ndio majanga so sisi kama watanzania tunapashwa kujua ili aende hospital nzuri zenye wahudumu wenye weledi.....wastara hawezi jiwekea cannula bana
Huyu dada Tapeli,yule mbuge x wake alivyomuuliza risit na document za hospital wastara akampga chini!very sad to ths laidy,
Eee si mlikataa kimchangia LISU, lazima mliwe kwenye kekundu. Alaah akbal.Hivi kama ni kweli yule dada anatufanyia movie anatoa wapi moyo wa ujasiri kiasi hichi? Yani anatufanya sisi kama watoto wadogo.
Watu wanachanga pesa yeye sijui anaenda kufanya nini huko nje ya nchi. Kujidai yupo hospitali anapiga picha kumbe hata Cannula kakosea kuwekwa.
Technology inamuumbua anaanza kufuta picha alizopost. Huyu dada kuna shida mahali. Kama ni kweli Mungu amsamehe zaidi apone matatizo yake.
Labda uulize mantiki ya thread! Ni kuonyesha mshangao jinsi hizo kanulla zilivyowekwa na kuhoji uhalali wake. Wakati anaomba msaada wa kwenda kutibiwa alipost kwenye Internet na akachangiwa na watu mbalimbali. Amefika anakodai ni hospital akapost picha yenye utata! Unataka watu wasiulize? Ukitaka watu wasihoji basi mshauri asipende kukimbilia kwneye internet.[emoji1] [emoji1] aiseee...nmeanzia thread katikati doooh.Pole kijana.
Nkushauri tu RUDI FUATILIA CONVO ZILIVYOANZA MM NA NILIYE REPLY.
Wastara Mke WA marehem Sajuk namfaham ,Mke wa mbunge yule namfaham,recently mange alipost insh kama hyo ,lakin cjaona mantik yako hasa ni ni?
NB😀on't be too curiously,for curious man pledged to death
Alitakaa tusifieee tuu akati anatupotezaa maboyaa... TZ anatuchukulia poaa yanii kwamba tunakubali kila kituu ka manyumbu..tapeli yuleLabda uulize mantiki ya thread! Ni kuonyesha mshangao jinsi hizo kanulla zilivyowekwa na kuhoji uhalali wake. Wakati anaomba msaada wa kwenda kutibiwa alipost kwenye Internet na akachangiwa na watu mbalimbali. Amefika anakodai ni hospital akapost picha yenye utata! Unataka watu wasiulize? Ukitaka watu wasihoji basi mshauri asipende kukimbilia kwneye internet.
Hajajiwekaaa...kategeshewaa tuu ilii apige pichaa atumee kuridhisha watuu...!!
Unatuumiza vichwa kwa sababu anaomba michango.Bisheni ambao hamjawahi ugua au kuuguza. Kupata mshipa wa kupitisha drip siyo kitu cha utani.
Ni kwanini ugonjwa wa wastara unawaumiza vichwa?
Tamani mungu afanye miugiza ili mmpokee huo ugonjwa.
Wewe ndo kakushikiliaaa
Ukilaza wako ni mkuuBisheni ambao hamjawahi ugua au kuuguza. Kupata mshipa wa kupitisha drip siyo kitu cha utani.
Ni kwanini ugonjwa wa wastara unawaumiza vichwa?
Tamani mungu afanye miugiza ili mmpokee huo ugonjwa.