Ni kweli Wastara anatudanganya kuwa yupo hospitalini India?

Ni kweli Wastara anatudanganya kuwa yupo hospitalini India?

badala ya kuhoji anatibiwa wapi? binadamu mnaanza kumuhukumu......wastara sio nurse wala dr yawezekana hospital anayopata tiba ndio majanga so sisi kama watanzania tunapashwa kujua ili aende hospital nzuri zenye wahudumu wenye weledi.....wastara hawezi jiwekea cannula bana
Haya mambo hayawezi kukosewa hata siku moja nikupe mfano mdogo tu; MTU yeyote anayejua kusoma hawezi soma amegeuza kitabu vivyo hivyo cannula haiwezi kuwekwa hivyo hata siku moja.
 
Hivi kama ni kweli yule dada anatufanyia movie anatoa wapi moyo wa ujasiri kiasi hichi? Yani anatufanya sisi kama watoto wadogo.

Watu wanachanga pesa yeye sijui anaenda kufanya nini huko nje ya nchi. Kujidai yupo hospitali anapiga picha kumbe hata Cannula kakosea kuwekwa.

Technology inamuumbua anaanza kufuta picha alizopost. Huyu dada kuna shida mahali. Kama ni kweli Mungu amsamehe zaidi apone matatizo yake.
7ee3a98444c55c205e7c5b117784799d.jpg
Eee si mlikataa kimchangia LISU, lazima mliwe kwenye kekundu. Alaah akbal.
 
[emoji1] [emoji1] aiseee...nmeanzia thread katikati doooh.Pole kijana.

Nkushauri tu RUDI FUATILIA CONVO ZILIVYOANZA MM NA NILIYE REPLY.
Wastara Mke WA marehem Sajuk namfaham ,Mke wa mbunge yule namfaham,recently mange alipost insh kama hyo ,lakin cjaona mantik yako hasa ni ni?

NB😀on't be too curiously,for curious man pledged to death
Labda uulize mantiki ya thread! Ni kuonyesha mshangao jinsi hizo kanulla zilivyowekwa na kuhoji uhalali wake. Wakati anaomba msaada wa kwenda kutibiwa alipost kwenye Internet na akachangiwa na watu mbalimbali. Amefika anakodai ni hospital akapost picha yenye utata! Unataka watu wasiulize? Ukitaka watu wasihoji basi mshauri asipende kukimbilia kwneye internet.
 
Labda uulize mantiki ya thread! Ni kuonyesha mshangao jinsi hizo kanulla zilivyowekwa na kuhoji uhalali wake. Wakati anaomba msaada wa kwenda kutibiwa alipost kwenye Internet na akachangiwa na watu mbalimbali. Amefika anakodai ni hospital akapost picha yenye utata! Unataka watu wasiulize? Ukitaka watu wasihoji basi mshauri asipende kukimbilia kwneye internet.
Alitakaa tusifieee tuu akati anatupotezaa maboyaa... TZ anatuchukulia poaa yanii kwamba tunakubali kila kituu ka manyumbu..tapeli yule
 
Inasikitisha sana...
Kama hizi taarifa ni za kweli...

Alijua dhamira yake, ila hakutegemea kama Rais atajitolea nae kumsaidia...


Cc: mahondaw
 
Bisheni ambao hamjawahi ugua au kuuguza. Kupata mshipa wa kupitisha drip siyo kitu cha utani.

Ni kwanini ugonjwa wa wastara unawaumiza vichwa?

Tamani mungu afanye miugiza ili mmpokee huo ugonjwa.
Unatuumiza vichwa kwa sababu anaomba michango.
 
Hahaha nilishangaa Wastara kuchangiwa mamilioni kwani hana bima ya afya ile ya NHIF?!
Sisi tunaambiwe hata kwa vukundi tupate Bima.
 
Kwa kweli km hiyo pcha ina uhalisia then hakuna kificho tena kwamba waliochangia wameliwa akiwemo mkulu!!!!
 
Safi sana Wastara, hiyo ndiyo maana halisi ya kuwa muigizaji, umeweza kuuvaa uhusika vilivyo, umetawala jukwaa vema sana. (kumpiga hadi namba one milioni kumi sio mchezo)

Tatizo lenu bongo movie huwa katika umaliziaji wa filamu zenu, movie itaanza vema kabisa, wahusika, location, sound, ila inapokuja katika muendelezo wa story ndipo tatizo huja.

Sasa wewe ulishindwa kitu gani kumalizia kipande kilichobakia? Kwa milioni 43 ulitakiwa kufumba macho tu ili milioni tano ziishe movie iishe kwa mafanikio.

Msiwe wabahili, Uandike wewe scripts, u-direct wewe, uwe main character wewe, upambe wewe, location manager wewe puuh! Lazima Canulla uiweke juu chini!

Badilikeni na hakika mtauza tu hadi kwa mheshimiwa rais na mkewe tena zaidi ya milioni kumi. (ila dada noma, umempiga hadi mkulu? Pamoja na mikwara yote ile kwa taifa! [emoji16][emoji16][emoji16])
 
Back
Top Bottom