Elgibo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 1,067
- 1,518
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh jamani hivi kweli huyu wastara alichokifanya ni kweli au mnampasua tu jamani mimi siamini kilio chote kwa mh rais then afanye utumbo kweli?U cant fool all people.
bongo muvi akili zao huwa ni ndogo sana.
NILIOMBA KUTAFUTA HIYO LOGO NI YA NINI ILI TUWE NA UHAKIKA JUU YA KILE KINACHOJADILIWA NA KUEPUKA KUMZUSHIA BINADAMU MWENZETU UONGO... WACHA PICHA ZIJIELEZEHEBU TUANZE NA HIYO LOGO HAPO ILI TUJUE NI YA KAMPUNI GANI...
JE NI LOGO YA HOSPITAL..??, HOTELI..?? AU KAMPUNI INAYOTENGENEZA NGUO BAADA YA HAPO TUENDELEE NA MJADALA...
![]()
![]()
😱😱😱😱 jinsi baba JuRegen alivyo atamsweka RumandeYanii me bado sipati jibuu... Amemtapeli mpaka rais
Usishangae sana. Hiki ndicho kiwango cha akili zetu wabongo. Yaani wanaanza kutetea eti inawezekana hospitali anapotibiwa ndio walikosea, hawajui jinsi ya kuweka canula. Yaani with all the help hadi kutoka kwa Rais, aende uchochoroni kutibiwa mahali ambapo hawajui jinsi sahihi ya ku-inject dawa?Haaaa.. Wee jamaa unazinguaa...!! Ndo maana doctor wa Bongo anaweza fanya kazii sehemu popotr palee sababu Njia za utoaji matibabu kwa magonjwa Mengi ni mojaaa!! Sasa wew hiyo drip iwekwee cannula inaelekea kweny Vidolee maana ake dawaa inaenda kwenye Kucha au!???
Anaweza sana tu. Sometimes anakuwa na frustrations zake (alisema mwenyewe). Kwa hiyo si jambo la kushangaza sometimes akiwa na excitements za ajabu...Nadhani tupate ukweli wa tatizo la Wastara kabla hatujashadidia. Mkuu wa nchi hawezi kuamka tu na kupeleka msaada kwa jambo ambalo hajathibitisgiwa na intelijensia kuhusu uhalisia wake. Kama ni uwongo umefanywa, basi wote waliohusika kumdanganya Mtukufu Rais ikiwa pamoja na wapeleka misaada kwa mapicha ya mitandaoni nao wahusike.
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Kwani alipopost alisema yuko wapi? Kama hakusema, basi hakutaka tujue, na nina hakika hatatuambia.issue sio kuzingua ila tumuulize wastara hii tiba anapata wapi? hii ndio itakuwa pivot yetu ya kuendelea na huu mjadala otherwise tunamuonea
Kabisa mkuu, tunaombeana mabaya tu.Alafu sijui kinatokea nini... Kila mtu saivi amekuwa na tabia hizo.. Si msomi wala wafoo..
Nafikiri njaa imekuwa kali mtaani.
Mamndeni salamu kwako.
Sikuwahi kufuatilia ishu za ugonjwa wa Wastara.
Ila kuna kitu hakiko sawa mahali fulani.
Ni kwa nini picha aliyoweka kaifuta baada ya watu kuhoji usahihi wa uwekaji wa hiyo canula??
Kuna kitu hakiko sawa mahali.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Wastara anatakiwa afike mahali aache kujianika mitandaoni ili kupata huruma ya watu
Anatakiwa atulie tu vinginevyo sizonje atakuja kumdai hela yake maana yule mzee namjua kama nimemzaa mimi vile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
In mange voice[emoji38][emoji38][emoji38]
mnamchongea mwenzenu ataswekwa rumandeKumbe yawezekana huyu wastara yupo kinyerezi dispensary ila kamzuga msukuma wa misungwi au chato kuwa yuko india,Daaah!!,wasukuma washamba jamani