Ni lazima kumchangia mtu send-off ama harusi?

Ni lazima kumchangia mtu send-off ama harusi?

Ila ujue maisha ni kama meza inayozunguka!! Ni vizuri ukalijua hilo. Na watu hutawahitaji kwenye harusi tu, maisha yana mambo mengi yatakayokutaka watu wakusaidie na si lazima iwe fedha!! Hata kama una pesa nyingi, kuna wakati hizo pesa haziwezi kuwa ,mbadala wa watu!!

Kuna jamaa alikuwa ana pesa nyingi tu kwa hiyo yeye akasema mimi sitachangia shughuli za watu. Ikifika zamu yangu sitachangisha pia pesa kwa watu lakini NITAWAALIKA WOTE bila kuhitaji wanichanmgie kwanza!! Kilichotokea jamaa akaandaa shughuli yake vizuri, akaalika watu, lakini utafikirio watu wameambiana!! hawakuhudhuria!! hata ndugu zake pia walimtosa maana yeye alikuwa hawachangii pia!! Sherehe ikadoda!! machokoraa wakaingia kula msosi, picha za sherehe ya harusi zikaharibika!! ukumbi mweupeee!!!!

Badala ya kuwa ni siku ya furaha ikawa ni siku ya huzuni kwake!! Pesa zake hazikuweza kumshangilia!! Laiti angejua mwanzoni labda angekodi watu wa kumshangilia!!
Sasa hapo huzuni inakuja vp wakati jambo la msingi kuoa lishafanyika. Alafu ungejua watu wa dizaini hio wala hawajali sana watu kuwepo.
 
Haya mambo ya michango ya harusi sijui send off siyapendii, mama angu nilishamuambia kabisa ikitokea naolewa sitaki shereheee, wala sitaki kusumbua watu, hii kitu naonaga ni kusumbua tu watu, labda nina roho mbaya afu sijijui 😂, harusi yenu mnaenda kuishi nyie ila kuwasumbua watu wakuchangie eboo.

Aisee wewe una Mitazamo kama Yangu ingefaa nikuoe Tu hakuna namna.
 
Ila ujue maisha ni kama meza inayozunguka!! Ni vizuri ukalijua hilo. Na watu hutawahitaji kwenye harusi tu, maisha yana mambo mengi yatakayokutaka watu wakusaidie na si lazima iwe fedha!! Hata kama una pesa nyingi, kuna wakati hizo pesa haziwezi kuwa ,mbadala wa watu!!

Kuna jamaa alikuwa ana pesa nyingi tu kwa hiyo yeye akasema mimi sitachangia shughuli za watu. Ikifika zamu yangu sitachangisha pia pesa kwa watu lakini NITAWAALIKA WOTE bila kuhitaji wanichanmgie kwanza!! Kilichotokea jamaa akaandaa shughuli yake vizuri, akaalika watu, lakini utafikirio watu wameambiana!! hawakuhudhuria!! hata ndugu zake pia walimtosa maana yeye alikuwa hawachangii pia!! Sherehe ikadoda!! machokoraa wakaingia kula msosi, picha za sherehe ya harusi zikaharibika!! ukumbi mweupeee!!!!

Badala ya kuwa ni siku ya furaha ikawa ni siku ya huzuni kwake!! Pesa zake hazikuweza kumshangilia!! Laiti angejua mwanzoni labda angekodi watu wa kumshangilia!!

Huyo hakua mchangiaji tu bali alijitenga kabisa katika matukio yote ya kijamii,hapa tunazungumiza wanaotaka kuoana kuomba michango.
 
“Binadamu”

Nilikuwa mtoaji mzuri sana, utoaji wangu ulikuwa laki 1 haipungui wala sichangi zaidi ya hiyo. Lakini wale watu unaowachangia wakishamaliza jambo lao wala hawana habari na wewe. Nikaona isiwe shida.

Kwa sasa nachanga kwa ndugu zangu tu, tena wale wa karibu sana. Naunganishwa kwenye groups napledge nakaa kimya mpaka group linavunjwa.

[emoji28][emoji28] hii ndio astaili yangu,mtu anakutafuta akipata tukio,hamjawahi wasiliana tangu mko primary mara ghafla unajikuta upo kwenye group la maandalizi ya harusi na unalazimishwa upledge.
 
Habari jamani, mnaendeleaje? Hebu acha niende moja kwa moja kwenye hoja.

Iko hivi, miezi kama miwili au mitatu katika kupiga stori za hapa na pale one of my colleagues (KE) akaniambia unajua fulani anaolewa na fulani (wote wanafanya kazi pamoja)? Nilifurahi kwa mshangao maana sikuwahi kujua kama walikuwa wako na mahusian, so stori ikaishia hapo tukaendelea na habari za maisha mengine.

Sıjakaa sawa ilibaki kama wiki mbili au tatu akafunge ndoa ndio akaja kuniambia Chakorii nafunga ndoa na fulani, naomba support yako. Nikamjibu kwakuwa muda uliobaki ni mfupi na hili swala lako limekuja kwa haraka, sina uhakika asılımia mia kama nitaweza kuku support, akasema sawa.

Kiukweli majukumu yalinizidi nikamsahau kabisa! Yooo, nakuja kuonana nae tena ni baada ya likizo, sasa sijui ndio alitoka kufunga ndoa ama alikuwa likizo kawaida maana sikuona kiashiria chochote cha kuwa huyu mtu alikuwa kwenye hekaheka.

Kilichonifanya nikaleta uzi sasa, heee si kaninunia huyo mwanadada, hata nikimsaliamia haitiki! Nikasema labda pengine amevurugwa akili. Siku nyingine tena nikamsalimia kaitika kama kalazimishwa, mind u mimi ndie huwa namuanzaga.

Sasa juzi kaja sehemu ambapo mimi ndie muhusika, hakunisalimia tena nikamuuliza “My love mimi na wewe tuna matatizo?” Akanijibu hapana mambo ni mengi tu, nikajisemea ahhaa mambo mengi ee, nikamtukana kimoyo moyo, wewe siku ukiisikia salam yangu uniite dog ingawa mimi sio dog!

Sasa kila nikimuona yulee nainyanyua simu najifanya naongea na mtu kwa simu. Akili imemkaa sawa anataka kunisalimia lakini ninaongea na simu, nimeshamfungia vioo na si mfungulii tena.

Ni lazima kuchanga kwenye vitu vya umuhimu ambavyo vinakuja bila taarifa. Harusi ama send-off ni swala la kuvuta pumzi na kujipanga, sio lazima kusumbua watu wakuchangie.

Hallelujah 🤸‍♀️
Si Lazima ila ni Muhimu sana kushiriki mambo ya kijamii.
Leo kwangu kesho kwako.
you never know nini kitatokea...
 
Kiukwel hua nachanga kwa sababu Sina namna unakuta ni ndugu, jamaa au tuna common background ila Sina raha kbs na hvo vitu 😏😏😏tena mm ni pro kataaa ndoa lkn nachangishwa mambo ya harusi!

Kitu pekee natoa mchango kwa moyo mweupe ni mchango wa msiba au ugonjwa
 
Habari jamani, mnaendeleaje? Hebu acha niende moja kwa moja kwenye hoja.

Iko hivi, miezi kama miwili au mitatu katika kupiga stori za hapa na pale one of my colleagues (KE) akaniambia unajua fulani anaolewa na fulani (wote wanafanya kazi pamoja)? Nilifurahi kwa mshangao maana sikuwahi kujua kama walikuwa wako na mahusian, so stori ikaishia hapo tukaendelea na habari za maisha mengine.

Sıjakaa sawa ilibaki kama wiki mbili au tatu akafunge ndoa ndio akaja kuniambia Chakorii nafunga ndoa na fulani, naomba support yako. Nikamjibu kwakuwa muda uliobaki ni mfupi na hili swala lako limekuja kwa haraka, sina uhakika asılımia mia kama nitaweza kuku support, akasema sawa.

Kiukweli majukumu yalinizidi nikamsahau kabisa! Yooo, nakuja kuonana nae tena ni baada ya likizo, sasa sijui ndio alitoka kufunga ndoa ama alikuwa likizo kawaida maana sikuona kiashiria chochote cha kuwa huyu mtu alikuwa kwenye hekaheka.

Kilichonifanya nikaleta uzi sasa, heee si kaninunia huyo mwanadada, hata nikimsaliamia haitiki! Nikasema labda pengine amevurugwa akili. Siku nyingine tena nikamsalimia kaitika kama kalazimishwa, mind u mimi ndie huwa namuanzaga.

Sasa juzi kaja sehemu ambapo mimi ndie muhusika, hakunisalimia tena nikamuuliza “My love mimi na wewe tuna matatizo?” Akanijibu hapana mambo ni mengi tu, nikajisemea ahhaa mambo mengi ee, nikamtukana kimoyo moyo, wewe siku ukiisikia salam yangu uniite dog ingawa mimi sio dog!

Sasa kila nikimuona yulee nainyanyua simu najifanya naongea na mtu kwa simu. Akili imemkaa sawa anataka kunisalimia lakini ninaongea na simu, nimeshamfungia vioo na si mfungulii tena.

Ni lazima kuchanga kwenye vitu vya umuhimu ambavyo vinakuja bila taarifa. Harusi ama send-off ni swala la kuvuta pumzi na kujipanga, sio lazima kusumbua watu wakuchangie.

Hallelujah 🤸‍♀️
Vimimbamimba vya hapa na pale vinawasumbua nyie wadada!.
 
Kuna rafiki yangu best kabisaa alinificha hata kuhusu kuchumbiwa

Nilimpost mtu kumpongeza suala la harusi yake ndio na yeye ananiambia et naomba mchango nikamuuliza wa nini et send off ndio kunitumia picha

Nikamjibu tu Sawa nikipata nitakupa ila sina mpango huo wa kuchangia kitu
 
Ila ujue maisha ni kama meza inayozunguka!! Ni vizuri ukalijua hilo. Na watu hutawahitaji kwenye harusi tu, maisha yana mambo mengi yatakayokutaka watu wakusaidie na si lazima iwe fedha!! Hata kama una pesa nyingi, kuna wakati hizo pesa haziwezi kuwa ,mbadala wa watu!!

Kuna jamaa alikuwa ana pesa nyingi tu kwa hiyo yeye akasema mimi sitachangia shughuli za watu. Ikifika zamu yangu sitachangisha pia pesa kwa watu lakini NITAWAALIKA WOTE bila kuhitaji wanichanmgie kwanza!! Kilichotokea jamaa akaandaa shughuli yake vizuri, akaalika watu, lakini utafikirio watu wameambiana!! hawakuhudhuria!! hata ndugu zake pia walimtosa maana yeye alikuwa hawachangii pia!! Sherehe ikadoda!! machokoraa wakaingia kula msosi, picha za sherehe ya harusi zikaharibika!! ukumbi mweupeee!!!!

Badala ya kuwa ni siku ya furaha ikawa ni siku ya huzuni kwake!! Pesa zake hazikuweza kumshangilia!! Laiti angejua mwanzoni labda angekodi watu wa kumshangilia!!
Sichangii sherehe yoyote.
 
Hizo ndio tabu za kujuana na watu...

Kama hujaoa au kuolewa unaweza changia, kama umeoa au kuolewa basi changia waliokuchangia...
 
Back
Top Bottom