Ni lazima sasa Ukraine iipige Urusi ndani kabisa-Biden

Ni lazima sasa Ukraine iipige Urusi ndani kabisa-Biden

ila uliona sw warusi kuivamia ukraine?
Iko sawa kabisa.Yule jamaa katumiwa na nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha Urusi tena kwa kuvunja makubaliano ya usuluhishi wa muda mrefu. Ukiwa mwanamume huwezi kumuachia jambazi avunje mlango aingie nyujmbani kwako.
Kwani Ukraine kwa kukaa kwa amani na Urusi ilikuwa inakosa nini.Na nini wamekipata baada ya kuanza vita.Kwa kweli wamebakiwa na maeneo ya kulima ngano tu ambazo kuziuza imekuwa shida sasa. Uchumi wote mwengine Urusi kaunywa kama uji na anautumia kujiimarisha.
 
ungekuwa unajua kwa undani kuhusu ASEAN na siasa zake ningebishana na wewe. Since you know nothing, unajua kile unachoona kwa macho tu, I do let you continue swimming in your ignorance.
ww ni kilaza na hujijui , unapojadili mambo bakia kwenye mstar wa haki na sio historia ya ubabe dhidi ya mwingine haikup haki ya kuendelea kumuonea mwenzio
 
Kwa nini dunia haitaki kuona na inajifanya ni kipofu kwa kile ambacho kinaweza kwenda kuitokea Ukraine?

Bado naendelea kuombea amani lakini naliona Giza la maumivu makali na vilio visivyokauka juu ya ardhi ya Ukraine, eeh Mungu epusha ulilonionesha.
kwamba tangu 2014 ndo unaiona leo? baada ya Urusi kuanza kupigwa kwake
 
kwahiyo mpk ss yeye Urusi anahisi ana haki ya kuua waukraine ila waukraine hawana haki ya kujitetea ?
Kama Marekani anavyoona ni sawa kuipa Ukraine silaha inazopenda lakini anawatisha wanaotaka kuipa silaha Urusi.Eti wanavunja maazimio fulani fulani.
 
ila wanalia kila siku
Maneno ya Lavrov sio kulia lia ni kuishuhudisha dunia matendo ya Marekani na wenzake ili siku likitumbuliwa Urusi isiije ikalaumiwa na ulimwengu
 
ungekuwa unajua kwa undani kuhusu ASEAN na siasa zake ningebishana na wewe. Since you know nothing, unajua kile unachoona kwa macho tu, I do let you continue swimming in your ignorance.
Hakuna unachokijua hapa sio size yenu machawa!!!
 
Marekani anapenda haki, anapenda kuweka mizania sawa. Kama urusi anapiga ndani ndani yafaa Ukraine naye awezeshwe apige ndani ndani pia. Good idea.
Marekani Hii hii au kuna nyingine?? Marekani imewaua watu hapa Afrika kwa maelfu kupindua serikali kibao na kuua viongozi wetu wazuri wote...Akina Sankara..Gadafi...Biko...Samora...Lumumba na hapo hujagusa Vita wamefadhili na kuua mpaka leo Congo ..central afrika hao marekani hao..Huna hata haya kusema wanapenda haki..Watu waliokufa Juzi libya elf 20000 wote ni ushetani wa hao mnaosema wanapenda haki wakiua Rais wa Libya wakaacha nchi inawela wela..Msijifanye Vichaa nyie watu
 
Kwa Sasa wa democrats, chini ya Biden, wanatafuta Vita ya Tatu ya Dunia Kwa nguvu zote wanazoweza.

Angalia Wanachokifanya Pale Taiwan - China .


Ukraine-Urusi...

Demos, uchaguzi wa mwakan hawatoboi, Sasa wameamua kuchagua njia ya Nguvu
Hakuna vita ya 3
Proxies will work better, hapa mtapigwa sana
Vietnam, Taiwan,Ukraine
 
Results of the summer counteroffensive by the AFU, according to Ukrainian "Military Analytics" channel:

"Bakhmut Direction: The encirclement of the city has not been achieved yet. The liberation of Andriivka and Kleschivka in the south opens up possibilities for a further advance towards the highway to Horlivka. In the north, a "strategic mistake" was made - the assault on Berkhovka in the low-lying terrain proved costly, and the initiative shifted to the Russian Federation. Attempts to break through the Russian defenses at Zaliznyansk and Razdolivka were unsuccessful.

Vremyevsky Salient: The salient was cut off, but advancing further proved difficult. Significant losses of equipment were incurred in the first month. "There were videos online showing our brigade columns being hit, which were supposed to break through the defense in the style of Guderian-Goth." The situation was negatively affected by the tragedy of the 37th Independent Motorized Brigade near Novodonetsk in early June. Due to errors, all offensive actions here were "extremely difficult" from June 5 to 7. Other brigades had to bear losses because the Russian armored fist from Kermenchyk (where the Russian army turned heights into a fortified area) disrupted all plans in this direction.

Zaporizhia-Taurian Direction: The operation to liberate Rabotyno stretched over three months because Russia had fortified positions here in advance. Footage of destroyed Western equipment created "fear" among the Ukrainian Armed Forces. Only in mid-August did the Russians begin to retreat and introduce reserves. Often, after deep breakthroughs, the Ukrainian Armed Forces had to withdraw due to a lack of success on the flanks.

Strategic success was not achieved, but there are still prospects in the Rabotyno area. However, time is running out. New defense lines are already being constructed by the Russian Armed Forces.

In 2024, surprises should be expected. As we previously wrote, it is likely that there will be a Russian offensive."

-

Summer is ending and Ukraine barely made progress in four months of fighting with Western super weapons 🤣🤣🤣🤣

~Licayan09~
 
Marekani Hii hii au kuna nyingine?? Marekani imewaua watu hapa Afrika kwa maelfu kupindua serikali kibao na kuua viongozi wetu wazuri wote...Akina Sankara..Gadafi...Biko...Samora...Lumumba na hapo hujagusa Vita wamefadhili na kuua mpaka leo Congo ..central afrika hao marekani hao..Huna hata haya kusema wanapenda haki..Watu waliokufa Juzi libya elf 20000 wote ni ushetani wa hao mnaosema wanapenda haki wakiua Rais wa Libya wakaacha nchi inawela wela..Msijifanye Vichaa nyie watu
Marekani hii hii mkuu. Imetenda haki huko Ukraine. Maana bila Marekani tungesha acha kuiongelea hii vita siku nyingi. Maana Putin angesha iteka siku nyingi na kuweka raisi mamluki.
 
Ukraine 🇺🇦 katumika kama daraja tuu.
Ila Urusi kaamza kutafutwa muda sana kwenye engo.
Na walianza kumdunga taratibu,sasa spidi inaongezeka.
Haya,mimi nasubiri movie tuu ya kivita baada ya vita kama ile movie ya Black hawk down
 
ungekuwa unajua kwa undani kuhusu ASEAN na siasa zake ningebishana na wewe. Since you know nothing, unajua kile unachoona kwa macho tu, I do let you continue swimming in your ignorance.

Ndo umpe elimu sasa sio unaleta ujuaji km unajiona unazijua izo GEO politics na ASEAN na siasa zake ndo umweleze sasa zikoje na zinafanyaje kaz ili sku ingne asiaibike km unavyodai
 
Back
Top Bottom