Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Wente elimu kuna ugumu bado
 
Nipo nakimbia uku mbio za chakula ila chakula si haba mchana tumekula ugali rost ya nyama mboga za majani na otamilo hapa nimeshiba nasubiri kuitika lokooo tumwagwe tukasimame mnazi
 
Ila humuu kuna comments zinachekeshaaa hatareee!! Kila siku nasemaa humu wako Hoya hoyaa.

Wenyee uhakika, wametuliaa tuliiii huko makwaoo, kusubiri kwendaa kihangaikoni.

Mtauana kwa pressure bureee, Woiiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipo nakimbia uku mbio za chakula ila chakula si haba mchana tumekula ugali rost ya nyama mboga za majani na otamilo hapa nimeshiba nasubiri kuitika lokooo tumwagwe tukasimame mnazi
Unanichekeshaaa Mwachiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayaa kurutaaa, piga tiziii, piga jarambaa, vaa gwandaa.
Watu weuweeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…