Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Sio kweri ata koplo anafanikisha jambo unajua ile team ya ulinzi ya mkuu wa majeshi au wale star gen wote akuna mwenye cheo cha kanali sasa wale ndio watu wakula nao sahani moja mana wsnashinda na watu wazito wote
Umeua kabisa acha aendelee kukalili huku PT tu wa rtiesin anaweza set mambo na wakulu raia wake wakatia timu hapo Kati😂
 
We jamaa wa ikulu imekuja kuokota raia zako....kuna mwamba hapo juu kashamaliza kila kitu anaweza kuwa ana cheo kidogo ila yeye ndio ameshibana na wakubwa huko juu na utashi wake wa kuchekecha mambo ukazama chomboni...
Watu apa wamekalili sana kuna siku nilisema kanali anaefanya kazi chita sio sawa na koplo anaefanya kazi tawi la utumishi MMJ
 
Mnawatia moto na pressure watu wanaotegemea Mungu ndo awaonekanie, mtu akicheki hana mbuyu alafu nanyie mnasema mara cpl rts hehehe
Mwenye updates za leo uwanja upo wazi
Umu Amna mwenye lonja ya uhakika kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…