Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Nabong na jadda, labd kuna namna hatukuelewana.Kenya..
Ipo Arusha wakuuuNabong na jadda, labd kuna namna hatukuelewana.
Najua iko huko namsubir jadda anieleweshe vizuriIpo Arusha wakuuu
Haya sasa Tuachane na jamaa wa ikuru siku hizi ananikataa (Ubarikiwe saana Mr G ulinifanikishia mambo mengi sana)
Binafsi Nilisoma darasa moja na mtoto wa Luten General fulani ambae ndio alikuwa Luten General wa mwisho kwa Tz kuwa na cheo hicho akiwa pekee yake kabla ya utaratibu wa kuwa na 2 luten general aliouanzisha JIWE
Pamoja na baba yake kuwa ni Luten General lkn hakuwa na uwezo wa kuingiza watu 10 jeshini kwa awamu moja
Sasa nashangaa navyoona kuna watu wanasema kuwa kuna mtu kapewa nafasi 50
Kumuona tu luten kanali ni kazi haswa alafu mtu anajua kuwa kuna mtu kapewa nafasi 50 aliambiwa na nan?
Za ndani kabisa nitawapa kesho saa 10 nitakuwa na full data nitaandika then nitafuta
Mi mbn mbanga wangu ni ana mkeka wa watu 157 mkuuHaya sasa Tuachane na jamaa wa ikuru siku hizi ananikataa (Ubarikiwe saana Mr G ulinifanikishia mambo mengi sana)
Binafsi Nilisoma darasa moja na mtoto wa Luten General fulani ambae ndio alikuwa Luten General wa mwisho kwa Tz kuwa na cheo hicho akiwa pekee yake kabla ya utaratibu wa kuwa na 2 luten general aliouanzisha JIWE
Pamoja na baba yake kuwa ni Luten General lkn hakuwa na uwezo wa kuingiza watu 10 jeshini kwa awamu moja
Sasa nashangaa navyoona kuna watu wanasema kuwa kuna mtu kapewa nafasi 50
Kumuona tu luten kanali ni kazi haswa alafu mtu anajua kuwa kuna mtu kapewa nafasi 50 aliambiwa na nan?
Za ndani kabisa nitawapa kesho saa 10 nitakuwa na full data nitaandika then nitafuta
Kalagabaho ivi upo kwenye group la Whatsapp kweli wewe🤣🤣Lete lonja mkuu acha maneno ya kuvutia watu inbox uwapige hela
Group gan mkuu?We
Kalagabaho ivi upo kwenye group la Whatsapp kweli wewe🤣🤣
Mwehu huyuMi mbn mbanga wangu ni ana mkeka wa watu 157 mkuu
Jamaa wa "ikuru" atakuwa na majibu. tumsubiri aje
Ni ladha sio radhaWanautamani moto ngoja waende kwanza waonje Radha. Yake
Angalia comment za nyuma Kuna link ya group letu la WhatsappGroup gan mkuu?
Kheee we mwalimu wa kiswahili 🤣Ni ladha sio radha
Kheee we mwalimu wa kiswahili 🤣
Basi we utakua msukuma maana hamnaga dogo nyie🤣🤣Mimi si mwalimu , musiipotoshe lugha
Nasikia kuna vijana huko wana mifua imejaa wanasema wanataka kitenge. Nashangaa wanahangaika kusubiri wakati kariakoo pale elfu 23 tu doti 3Angalia comment za nyuma Kuna link ya group letu la Whatsapp
Watavaa BatikiNasikia kuna vijana huko wana mifua imejaa wanasema wanataka kitenge. Nashangaa wanahangaika kusubiri wakati kariakoo pale elfu 23 tu doti 3
Lamomy soul mate wangu hujambo?
Basi we utakua msukuma maana hamnaga dogo nyie🤣🤣
We nani kwakwambiaJtatu usail unaanz hapa kiangaikon