Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Haya sasa Tuachane na jamaa wa ikuru siku hizi ananikataa (Ubarikiwe saana Mr G ulinifanikishia mambo mengi sana)

Binafsi Nilisoma darasa moja na mtoto wa Luten General fulani ambae ndio alikuwa Luten General wa mwisho kwa Tz kuwa na cheo hicho akiwa pekee yake kabla ya utaratibu wa kuwa na 2 luten general aliouanzisha JIWE

Pamoja na baba yake kuwa ni Luten General lkn hakuwa na uwezo wa kuingiza watu 10 jeshini kwa awamu moja

Sasa nashangaa navyoona kuna watu wanasema kuwa kuna mtu kapewa nafasi 50

Kumuona tu luten kanali ni kazi haswa alafu mtu anajua kuwa kuna mtu kapewa nafasi 50 aliambiwa na nan?

Za ndani kabisa nitawapa kesho saa 10 nitakuwa na full data nitaandika then nitafuta
 
Lete lonja mkuu acha maneno ya kuvutia watu inbox uwapige hela
Haya sasa Tuachane na jamaa wa ikuru siku hizi ananikataa (Ubarikiwe saana Mr G ulinifanikishia mambo mengi sana)

Binafsi Nilisoma darasa moja na mtoto wa Luten General fulani ambae ndio alikuwa Luten General wa mwisho kwa Tz kuwa na cheo hicho akiwa pekee yake kabla ya utaratibu wa kuwa na 2 luten general aliouanzisha JIWE

Pamoja na baba yake kuwa ni Luten General lkn hakuwa na uwezo wa kuingiza watu 10 jeshini kwa awamu moja

Sasa nashangaa navyoona kuna watu wanasema kuwa kuna mtu kapewa nafasi 50

Kumuona tu luten kanali ni kazi haswa alafu mtu anajua kuwa kuna mtu kapewa nafasi 50 aliambiwa na nan?

Za ndani kabisa nitawapa kesho saa 10 nitakuwa na full data nitaandika then nitafuta
 
Haya sasa Tuachane na jamaa wa ikuru siku hizi ananikataa (Ubarikiwe saana Mr G ulinifanikishia mambo mengi sana)

Binafsi Nilisoma darasa moja na mtoto wa Luten General fulani ambae ndio alikuwa Luten General wa mwisho kwa Tz kuwa na cheo hicho akiwa pekee yake kabla ya utaratibu wa kuwa na 2 luten general aliouanzisha JIWE

Pamoja na baba yake kuwa ni Luten General lkn hakuwa na uwezo wa kuingiza watu 10 jeshini kwa awamu moja

Sasa nashangaa navyoona kuna watu wanasema kuwa kuna mtu kapewa nafasi 50

Kumuona tu luten kanali ni kazi haswa alafu mtu anajua kuwa kuna mtu kapewa nafasi 50 aliambiwa na nan?

Za ndani kabisa nitawapa kesho saa 10 nitakuwa na full data nitaandika then nitafuta
Mi mbn mbanga wangu ni ana mkeka wa watu 157 mkuu
 
Back
Top Bottom