Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ko kwanzia 2019 had-now hain shida kama katikati unatumia kifupisho ex juma s masele?
 
Hao ambao wafanyiwa usahili makutopora si tunasikia lonja kuwa simu zinaita tunaambiwa utue makutopora
Wew habari hizi umezitoa wapi? Wewe si umesikia kama mm? Na kila uliposikia unaambiwa yeye kasikia kwa rafiki yake!. Mara kapigiwa rafiki yake rafiki yangu.

Kuna mwanajeshi humu aliwahi kusema zoezi la kuchanbua barua limeanza watu wote walikataa taarifa zile. Walitikataa sababu hazifurahishi
 
Hiki kipindi unaweza toa hela mpk millioni 6 na ukakosa vilevile 😅, mlioambiwa inahitajika hela upewe nafasi, usitoe hela kwa yeyote mpk uipate kwanza, utanishukuru baadae

Hiki kipindi unaweza toa hela mpk millioni 6 na ukakosa vilevile 😅, mlioambiwa inahitajika hela upewe nafasi, usitoe hela kwa yeyote mpk uipate kwanza, utanishukuru baadae 🙏
😂😂🤣
 
Sasa apa inabid tukae kwa kutulia mana kesho ndo tunafunga mwezi Toka tutumee MAOMBIII
Watu wansambaza taarifa kuwa watu wanaitwa makutupora. Ukimuuliza katoa wapi taarifa hii anakwambia rafiki wa rafiki yake kaambiwa na rafiki yake kaoigiwa simu. Hapo katikati wanatajwa marafiki kama wanne yeye kupata taarifa hii ni mtu wa tano
 
Watu wansambaza taarifa kuwa watu wanaitwa makutupora. Ukimuuliza katoa wapi taarifa hii anakwambia rafiki wa rafiki yake kaambiwa na rafiki yake kaoigiwa simu. Hapo katikati wanatajwa marafiki kama wanne yeye kupata taarifa hii ni mtu wa tano
Aaaah pameanza kuchangamka sasa
 
Hao ambao wafanyiwa usahili makutopora si tunasikia lonja kuwa simu zinaita tunaambiwa utue makutopora
Mbuyu wangu ulnmbia raia wa mtaan bado,maana hta msata bdo hawajakamilisha usaili,juz ithink vifaa ndo vilienda oljoro na kuandaaa mazngra,next week wavikosini walobakia wataitwa then nakadria nafkli kuanzia week ya tarehe 23 might be sim zikaanza kuita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…