Mwenye lonja nimekuja,mbuyu wangu leo ulikua kihangaiko ukanipa taarifa zifuatazo 1.Kama unajijua ulimlza four chin ya 2019 lazima uwe na affidavity ya jina,yaan kwamba walomalza chini ya 2019 katk vyeti vyao vya kidato Cha nne kimeandkiwa ex RASHID J HASSAN,sasa lazima uwe na affidavity ya hiyo J ndo nani 2.Namnukuu "huku bhana watu 350 inabidi watolewe kwa vipengele mbalimabli" Nukuu ya pili " Yaan sas hiv kila sehemu wamebana Kuna baadhi ya watoto wa wakubwa hawajasomwa yaan" Nukuu ya 3 " sa hivi janja janja hamna watu wanalia tu huku usaili mgumu wanarudishwa*