Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

😂😂afande mwezi 6 na 7 apo watu wanaenda
Kwahyo ni katkat ya mwez wa 6 na wa 7. unanikumbusha Jin's tulvokua tunapigwa kalenda mwakajana baada ya ile koz kuanza mwezi wa 5 tukaambiwa katkat ya mwezi wa 6 na wa 7 mtaitwa oljoro🤣🤣🤣
 
Kwahyo ni katkat ya mwez wa 6 na wa 7. unanikumbusha Jin's tulvokua tunapigwa kalenda mwakajana baada ya ile koz kuanza mwezi wa 5 tukaambiwa katkat ya mwezi wa 6 na wa 7 mtaitwa oljoro🤣🤣🤣
Haya mambo haya hayajulikani ikweli ni upi.
 
Kwahyo ni katkat ya mwez wa 6 na wa 7. unanikumbusha Jin's tulvokua tunapigwa kalenda mwakajana baada ya ile koz kuanza mwezi wa 5 tukaambiwa katkat ya mwezi wa 6 na wa 7 mtaitwa oljoro🤣🤣🤣
Take note:6mwishon au 7 mpak mwishon usipokuwa kule tayar imepita iyoooo...
 
Hapa ndo umesema sasa 😅..

Watu wapiganishe sana kipindi hiki, kama kuna mtu anakiwanja chake, akiuze chap akapiganishe.

Atakipata baadae 😀
Kupiganisha saiv akat mda ushaisha labda upate bonge la m buyu asee.🤣🤣 Lasivyo usubir mpk 2026
 
Kupiganisha saiv akat mda ushaisha labda upate bonge la m buyu asee.🤣🤣 Lasivyo usubir mpk 2026
sasa habari za uhakika ni zipi mana wengine mnasema mda ushaisha wengine wanasema usaili bado haujaisha so ukweli ni upi?
 
sasa habari za uhakika ni zipi mana wengine mnasema mda ushaisha wengine wanasema usaili bado haujaisha so ukweli ni upi?
Muda wa kupiganisha KI-KAWAIDA ndo umeisha. Kama jina lako halipo kwenye PDF, basi tafuta mbuyu mkuuuubwa aanze kushindana ukubwa na wenzake waliotangulia. Na wakati huo, nawe uwe na hela ya kutosha 😅
 
Muda wa kupiganisha KI-KAWAIDA ndo umeisha. Kama jina lako halipo kwenye PDF, basi tafuta mbuyu mkuuuubwa aanze kushindana ukubwa na wenzake waliotangulia. Na wakati huo, nawe uwe na hela ya kutosha 😅
😂😂😂so kweli wadau bado nafasi ipo kuweni wapole kabisa presha haihitajiki pambana Mdogo mdogo kwa uncle,aunt, kote kote hakikisha unapata ila kama unavigezo!
 
Back
Top Bottom