Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

hivi wakifanyiwa usaili makambini inamaana wanamaliza kila kitu hadi vipimo au wakifika tena kule RTS wanafanyiwa tena usaili pamoja na vipimo?
Sahivi wanafanya uhakiki kwa wale waliopo makambini ila sasa kimtaani mtaani ukiwaambia uhakiki hawawezi kukuelewa so ukitumia neno usaili ndio utaeleweka vzr.So kwasasa wapo kwenye uhakiki wa details zao maana usaili walishafanya kipindi wanaingia jkt uhakiki ukiisha zitaanza kusomwa message kwa wale watakaokuwa wamechaguliwa kwenda RTS.
So wakifika kule RTS sasa ndio watafanya usaili wa vyeti na vipimo upya,inasemekana kuwa mwez wa 6 mwishoni mpka mwez wa Saba hapo katikati ndio wataanza kwenda kuripoti RTS.
 
Sahivi wanafanya uhakiki kwa wale waliopo makambini ila sasa kimtaani mtaani ukiwaambia uhakiki hawawezi kukuelewa so ukitumia neno usaili ndio utaeleweka vzr.So kwasasa wapo kwenye uhakiki wa details zao maana usaili walishafanya kipindi wanaingia jkt uhakiki ukiisha zitaanza kusomwa message kwa wale watakaokuwa wamechaguliwa kwenda RTS.
So wakifika kule RTS sasa ndio watafanya usaili wa vyeti na vipimo upya,inasemekana kuwa mwez wa 6 mwishoni mpka mwez wa Saba hapo katikati ndio wataanza kwenda kuripoti RTS.
Kwani majina yametoka?
 
Tuzidishe maombi wadau na sisi mwakani mwezi kama huu mungu akijaalia tutakua tunamaliza level three. Kama uniamin sema AMINAAA🤗🤗
 
Sahivi wanafanya uhakiki kwa wale waliopo makambini ila sasa kimtaani mtaani ukiwaambia uhakiki hawawezi kukuelewa so ukitumia neno usaili ndio utaeleweka vzr.So kwasasa wapo kwenye uhakiki wa details zao maana usaili walishafanya kipindi wanaingia jkt uhakiki ukiisha zitaanza kusomwa message kwa wale watakaokuwa wamechaguliwa kwenda RTS.
So wakifika kule RTS sasa ndio watafanya usaili wa vyeti na vipimo upya,inasemekana kuwa mwez wa 6 mwishoni mpka mwez wa Saba hapo katikati ndio wataanza kwenda kuripoti RTS.
Hii ndo Ronja ya uhakika mwenye macho atazame hapa...
 
mdog wang yupo jkt kazaa mwaka jana mwishon atatoboa kwel kweny huu mkeka
 
Back
Top Bottom