ilore
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 963
- 1,248
Bado usaili unaendelea watamaliza wiki ijayoUsaili ulishaisha zimefanyika ndan kwa ndan kwa walioko makambinii mwisho wa usaili ilikua jipii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado usaili unaendelea watamaliza wiki ijayoUsaili ulishaisha zimefanyika ndan kwa ndan kwa walioko makambinii mwisho wa usaili ilikua jipii
Bado unaendelea usailihizi taarifa ni za kweli mkuu?
Unauliza majibu🤣
Anauliza makofi polisiUnauliza majibu🤣
Hilo mbona lipo wazi mkuu?Mkuu Unataka sema saiv ukiwa na mtu mzito unaweza tokea uraiani ukaingia kozi RTS ?
Kwani jakata inauhusiano gani na JW mkuu..??Yaan mtu wa uraiani ambaye hata hajui jakata anaezaingia RTS?
Hahah nakubal mkuu [emoji2]Unauliza majibu[emoji1787]
Ahaa apo unyama mkuu..Kwani jakata inauhusiano gani na JW mkuu..??
Kozi za majeshi zinajitegemea, ndio maana JW kuna kipindi wanaenda kuchukua madokta vyuoni, ambao hawaijui jakata, mwisho wa siku wanakula bakabaka…[emoji16]
Mkuu Unataka sema saiv ukiwa na mtu mzito unaweza tokea uraiani ukaingia kozi RTS ?
Mimi pia😂😂😂😂😂litavaliwa tu kwa uwezo wa MunguMe mwenyewe sina jakata ila nina ndoto ya kuvaa bakabaka[emoji23]
A
Anauliza makofi pol
🥴🥴🥴Mimi pia😂😂😂😂😂litavaliwa tu kwa uwezo wa Mungu
Mkuu tuzidi pambana, mwenyewe nipo napiganisha hapa [emoji2].. Mungu atujalieMe mwenyewe sina jakata ila nina ndoto ya kuvaa bakabaka[emoji23]
Ausio 🥴Mkuu tuzidi pambana, mwenyewe nipo napiganisha hapa [emoji2].. Mungu atujalie
Na hela uwe nayo mkuu, laa sivyo maajabu hayatakuwepo… 😀Mimi pia😂😂😂😂😂litavaliwa tu kwa uwezo wa Mungu
Nasikia majina yashatimia huko 🤦🏽♂️😅Anakumbuka shuka kumekucha🤣🤣
Ngoja tukae kimya😂😂Na hela uwe nayo mkuu, laa sivyo maajabu hayatakuwepo… 😀
Sio..Ausio [emoji3061]
Bado kiongozi wote mtapataNasikia majina yashatimia huko 🤦🏽♂️😅
Kwahyo mwakan mwezi kama huu utakua unapiga level 3 ausio mkuu🥴🥴Mkuu tuzidi pambana, mwenyewe nipo napiganisha hapa [emoji2].. Mungu atujalie
Watu wanatamani sana kile kitenge 🙏🏽Kwahyo mwakan mwezi kama huu utakua unapiga level 3 ausio mkuu🥴🥴