Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Uhakika sana hii imekaa poa sanaUhakika mazee...M.S wapo chaka now wakitoka hapo n kula K!@¶0 af wanasebenza...Kinanuka new Intk.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhakika sana hii imekaa poa sanaUhakika mazee...M.S wapo chaka now wakitoka hapo n kula K!@¶0 af wanasebenza...Kinanuka new Intk.
Watatoa tangazo au ndio kimya kimya kama kawaida yao?Soon kinawakaaa🔥🔥
Tangazo la nini Ndugu yangu hawa Ni TPDiiiiFWatatoa tangazo au ndio kimya kimya kama kawaida yao?
Kwahiyo hapo utashangaa mzigo umefunguliwa raia wanajila😂😂Tangazo la nini Ndugu yangu hawa Ni TPDiiiiF
Mkoa gani kama sio pwani🤣🤣Kama Kawaida Taarifa za kikachero nilizopokea jana ni kuwa nimsogeze kijana wangu mkoa X ajiandae kuingia JW na taarifa hizi nimepewa na KANALI hivyo ni kuonesha kweli soon JW wanamwaga ajira soon
hizi taarifa ni za kweli mkuu?Usaili ulishaisha zimefanyika ndan kwa ndan kwa walioko makambinii mwisho wa usaili ilikua jipii
Ndio mkuuhizi taarifa ni za kweli mkuu?
wanaweza wakaanza lini kureport RTS?Ndio mkuu
Yaah hii ni kweli niliiskia wiki kadhaa nyumaUsaili ulishaisha zimefanyika ndan kwa ndan kwa walioko makambinii mwisho wa usaili ilikua jipii
Huu ni uongo mpaka jana kuna kambi X ilikuwa inafanya usahili wa siri siri ambao tunaita uhakiki kwaiyo mwisho wa mwezi watu wanaanza kupanda kule TUsaili ulishaisha zimefanyika ndan kwa ndan kwa walioko makambinii mwisho wa usaili ilikua jipii
Hii sahihi kabisaInaweza kuwa kweli hapo Ila ninachojua mimi kwa sasa Military science waliopo rts wapo poli wanaenda kuuwa wiki ya pili wakimaliza wanarud wanajiandaa kuapa wanapeperuka
Mwisho wa mwez huu ndio wanaenda RTS??Huu ni uongo mpaka jana kuna kambi X ilikuwa inafanya usahili wa siri siri ambao tunaita uhakiki kwaiyo mwisho wa mwezi watu wanaanza kupanda kule T
Wa mtaani wanapiganisha sahv au kushajaa tukate tamaa?Huu ni uongo mpaka jana kuna kambi X ilikuwa inafanya usahili wa siri siri ambao tunaita uhakiki kwaiyo mwisho wa mwezi watu wanaanza kupanda kule T
Kheee wa mtaani mbn wanapiganisha tangia ilivyotangazwa mwakajana saiv wengi wao wanasubir simu tu🥴🥴Wa mtaani wanapiganisha sahv au kushajaa tukate tamaa?
hivi wakifanyiwa usaili makambini inamaana wanamaliza kila kitu hadi vipimo au wakifika tena kule RTS wanafanyiwa tena usaili pamoja na vipimo?Huu ni uongo mpaka jana kuna kambi X ilikuwa inafanya usahili wa siri siri ambao tunaita uhakiki kwaiyo mwisho wa mwezi watu wanaanza kupanda kule T