Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

😂😂😂so kweli wadau bado nafasi ipo kuweni wapole kabisa presha haihitajiki pambana Mdogo mdogo kwa uncle,aunt, kote kote hakikisha unapata ila kama unavigezo!
Uhakiki wa vikosini umeisha jana hata majina bado hayajachambuliwa kwa wa vikosini lakini wa mtaani wanasema majina yashajaa. Mi siamini kama watu wa mtaani watapenyezwa kabla ya wa vikosini kuandikishwa kwanza.
 
😂😂😂so kweli wadau bado nafasi ipo kuweni wapole kabisa presha haihitajiki pambana Mdogo mdogo kwa uncle,aunt, kote kote hakikisha unapata ila kama unavigezo!
Wenye vigezo ni wengi, hapo ni kutafuta sifa mbili za ziada; HELA NA MBANGA.. Kama hivi hamna, kutoboa inawezekana ila kwa mbinde sana. Tena utakuwa miongoni mwa wenye bahati duniani… 😀
 
Uhakiki wa vikosini umeisha jana hata majina bado hayajachambuliwa kwa wa vikosini lakini wa mtaani wanasema majina yashajaa. Mi siamini kama watu wa mtaani watapenyezwa kabla ya wa vikosini kuandikishwa kwanza.
Ndo hapo sasa ko wamtaani bdo kabisa ndo muda wao sasa kutafuta mifumo kila kitu kinawezekana wasikate tamaa cha msingi Connection
 
Wenye vigezo ni wengi, hapo ni kutafuta sifa mbili za ziada; HELA NA MBANGA.. Kama hivi hamna, kutoboa inawezekana ila kwa mbinde sana. Tena utakuwa miongoni mwa wenye bahati duniani… 😀
Hii imekaa poa sana Sifa tu bila Mbanga ni Debe Tupu...
 
Ndo hapo sasa ko wamtaani bdo kabisa ndo muda wao sasa kutafuta mifumo kila kitu kinawezekana wasikate tamaa cha msingi Connection
Utaratibu wao kwa wa mitaani huwa upoje?
Au kila mtu asubiri mbanga lake limpe maelekezo😂
 
Utaratibu wao kwa wa mitaani huwa upoje?
Au kila mtu asubiri mbanga lake limpe maelekezo😂
😂😂kila mtu na mbanga wake yaani mpaka kuripoti atakwambia mbanga.. wako hakuna maelezo ya WA mtaa ila ukifika pale kihangaiko utajiona kwenye List
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
 
U
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
Ungesomea Medical laboratory certificate tungeona namna hii yako subiri wajuzi watakuja kukupa muongozo...
 
Usa
sasa habari za uhakika ni zipi mana wengine mnasema mda ushaisha wengine wanasema usaili bado haujaisha so ukweli ni upi?
Usahili umeisha Jana lakini kuisha kwa usahili sio kwamba usipiganie watu huwa wanaendelea kuingia depo hats siku karibia watu wanamaliza ninyi vijana mnaienda msata vyetu vyenu viwe vimekamilika
 
Usa

Usahili umeisha Jana lakini kuisha kwa usahili sio kwamba usipiganie watu huwa wanaendelea kuingia depo hats siku karibia watu wanamaliza ninyi vijana mnaienda msata vyetu vyenu viwe vimekamilika
Tupe hints kuhusu vyeti
 
Back
Top Bottom