Black Codes Cracker
Senior Member
- May 7, 2022
- 188
- 238
- Thread starter
-
- #401
Mkuu, leaving haiandiwi grade za masomo…Anhaaa usiogope mkuu zile ni grade za ufaulu tu kwa somo husika
A- EXCELLENT
B- Very GOOD
C- GOOD
D- SATISFACTORY
F- FAIL
Anhaaa usiogope mkuu zile ni grade za ufaulu tu kwa somo husika
A- EXCELLENT
B- Very GOOD
C- GOOD
D- SATISFACTORY
F- FAIL
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpee poleee yake.mdog wang yupo jkt kazaa mwaka jana mwishon atatoboa kwel kweny huu mkeka
Mbona hata zamani, ilikua hii.Mkuu Unataka sema saiv ukiwa na mtu mzito unaweza tokea uraiani ukaingia kozi RTS ?
Bora umuambie huyooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani jakata inauhusiano gani na JW mkuu..??
Kozi za majeshi zinajitegemea, ndio maana JW kuna kipindi wanaenda kuchukua madokta vyuoni, ambao hawaijui jakata, mwisho wa siku wanakula bakabaka…[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaaHapa ndo umesema sasa [emoji28]..
Watu wapiganishe sana kipindi hiki, kama kuna mtu anakiwanja chake, akiuze chap akapiganishe.
Atakipata baadae [emoji3]
Naona unaunda contradict sasa soma vizuri nilichokiandika utaelewa...Mkuu, leaving haiandiwi grade za masomo…
Linaandikwa jina lako kamili, jina la shule, mwaka ulioanza hapo, kidato ulichomalizia, namba ya kuandikishwa, mwaka uliomaliza shule, n.k
Mwishoni, ndo kunaandikwa REMARKS, hizo ni CONDUCT yako kwa ujumla 😀
Mbn unapingana na hoja zako 😂😂😂 yupo Jax kwahiyo ampe pole wakati huo huo unaamin mtu anatoka uraiani anatimba RTS....we unajuaje kama dogo ana backup nzito nyuma....haya mambo ni Fumbo usishangae umepiganisha na mpunga umepunwa alafu janki mmoja katoka kitaa kukimbiza tu harakat ndogo ndogo ila akatokea mtu akampambania akala kitenge bila kutozwa chochote.....KUNA MAMBO HAYA HITAJI UJUAJI MWINGI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpee poleee yake.
Km ana mtonyoo hapo sawaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbn unapingana na hoja zako [emoji23][emoji23][emoji23] yupo Jax kwahiyo ampe pole wakati huo huo unaamin mtu anatoka uraiani anatimba RTS....we unajuaje kama dogo ana backup nzito nyuma....haya mambo ni Fumbo usishangae umepiganisha na mpunga umepunwa alafu janki mmoja katoka kitaa kukimbiza tu harakat ndogo ndogo ila akatokea mtu akampambania akala kitenge bila kutozwa chochote.....KUNA MAMBO HAYA HITAJI UJUAJI MWINGI
Usikalili mtonyo tu huwezi jua waliopo huko juu kitengo ana uhusiano gani nao na hii ndio first line hiyo ya mtonyo huwa ni second line😂😂😂Km ana mtonyoo hapo sawaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Km apeche aloloo, atasugua sanaa buti.
Tupe lonja mkuu🥴Km ana mtonyoo hapo sawaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Km apeche aloloo, atasugua sanaa buti.
Naam kaka,Kwa sisi wa kupiganisha ngoja tusubiri majibu
Mchawi connection nzito au sio.Mbona hata zamani, ilikua hii.
Waache…Km ana mtonyoo hapo sawaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Km apeche aloloo, atasugua sanaa buti.
Nimekuelewa vizuri mkuu,Naona unaunda contradict sasa soma vizuri nilichokiandika utaelewa...
🤣🤣🤣🤣Waache…
Kuna jamaa yangu alikaa miaka mitatu, akarudi nyumbani.
Akapambana, akarudi kupewa mwaka mmoja..
Umeisha, now yupo home anamtukana kila mwenye bakabaka 😀
NIDA jau sana mi mwenyewe langu mwishoni wameongeza herufi "i" na wakati haipo kwenye vyeti vengine. Mfano vyeti vmeandikwa DAN lkn mifanyakaz ya nida imeniandika DANI ata sjui waliambiwa na nani waongezee herufi mbele kutiana nuksi tu🥴🥴wakuu ivi mfano jina kwenye vyeti vyote ni
SYLVESTER J SYLVESTER ZUNGU
,ila kwenye nida
SYLVESTER JOHN NZUNGU, hii vipi c nitarudishwa huko kwenye usaili?
du mkuu basi naona nishakosa kwend jw😟, mtaani nako hakueleweki, kusubir mpk 2026, duuh na umri nao.NIDA jau sana mi mwenyewe langu mwishoni wameongeza herufi "i" na wakati haipo kwenye vyeti vengine. Mfano vyeti vmeandikwa DAN lkn mifanyakaz ya nida imeniandika DANI ata sjui waliambiwa na nani waongezee herufi mbele kutiana nuksi tu🥴🥴
hawa jmaa nida ni wajinga sanaa , sijui kwanini wanapesa kosea alafu inakuja kutukost sisi.NIDA jau sana mi mwenyewe langu mwishoni wameongeza herufi "i" na wakati haipo kwenye vyeti vengine. Mfano vyeti vmeandikwa DAN lkn mifanyakaz ya nida imeniandika DANI ata sjui waliambiwa na nani waongezee herufi mbele kutiana nuksi tu🥴🥴
Ndio ni muhimu sana maan ni qualification moja wapo ya mwombaji so haipaswi kukosa hii mzee
Tafuta affidavit naonawakuu ivi mfano jina kwenye vyeti vyote ni
SYLVESTER J SYLVESTER ZUNGU
,ila kwenye nida
SYLVESTER JOHN NZUNGU, hii vipi c nitarudishwa huko kwenye usaili?