Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Mkuu code ngum situmii hii ngoma mwisho zenji wajuzi watakufafanulia na kukupa yanayoendeleaMkuu hii niliiskia toka mwezi jana ila naomba nieleze kidogo japo kwa code ngum mweny kuelew ataelewa.....
Kwa maana hiyo wewe unashikiria awamu hii kozi ni Zenji pekee???..... Haitokuja kutokea hiyo kaka na muda utaongea kwenye hili naaminiMkuu code ngum situmii hii ngoma mwisho zenji wajuzi watakufafanulia na kukupa yanayoendelea
Sio Zenj tu ngoma inapigwa Sehem Tatu rts,olj,zenj but kuna nyomi la watu wengii sana zenj tu ni balaa saa 2 nitakuj na news ngj nikakae na mzeeKwa maana hiyo wewe unashikiria awamu hii kozi ni Zenji pekee???..... Haitokuja kutokea hiyo kaka na muda utaongea kwenye hili naamini
Sasa mbona ulikua unasema zenji pekee this tym,,,,, hii info nlpewa kitambo na ndio nikaja na hii kwanzia tareh 1/7mambo yakienda sawa watu wanaanza kuingia shuleniSio Zenj tu ngoma inapigwa Sehem Tatu rts,olj,zenj but kuna nyomi la watu wengii sana zenj tu ni balaa saa 2 nitakuj na news ngj nikakae na mzee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tafuta bila kuchokaaaDah, sawaโฆwacha na mimi ntafute hela kwanza [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbaga wako ni std 7? Maana uandishi wake ni [emoji706].View attachment 3020181
Mzigo huo apo kutoka kwa wajuzi wa mambo Huyu Janja yuko makini sana na kazi tuwe tayari
Week Ijayo makundi yanaanz kuzama rts kwanz ko wadau kama una mdg wako hajafikisha miaka 30 na anachet cha form 4 tafuta wakina mjomba wafanye yao..Sasa mbona ulikua unasema zenji pekee this tym,,,,, hii info nlpewa kitambo na ndio nikaja na hii kwanzia tareh 1/7mambo yakienda sawa watu wanaanza kuingia shuleni
Huyo mtoto wa ........ na anacheo .......!! Kuandika sms chenga sana ata mimi namshangaa sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbaga wako ni std 7? Maana uandishi wake ni [emoji706].
Hamudu herufi au sio๐๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbaga wako ni std 7? Maana uandishi wake ni [emoji706].
Sio mbaya mambo mengi akilemba atakua nje ya muda ๐Huyo mtoto wa ........ na anacheo .......!! Kuandika sms chenga sana ata mimi namshangaa sana
Pigilia msumali hapa๐ฏ watu wakishazama sasa ndio mambo ya mpenyezo yana happen hapo kati๐Week Ijayo makundi yanaanz kuzama rts kwanz ko wadau kama una mdg wako hajafikisha miaka 30 na anachet cha form 4 tafuta wakina mjomba wafanye yao..
๐๐๐Afu anadharau hatar anadai kuwa yeye ameshavaa Kitenge bs ujuaji wa kuandika tuwaachie ma secretarySio mbaya mambo mengi akilemba atakua nje ya muda ๐
Roho ishakomaa sasa dadeqiii ๐๐๐๐Afu anadharau hatar anadai kuwa yeye ameshavaa Kitenge bs ujuaji wa kuandika tuwaachie ma secretary
Au sio officerHuyo mtoto wa ........ na anacheo .......!! Kuandika sms chenga sana ata mimi namshangaa sana
Kwa hio kihangaiko ni znz au Mimi sijaelewa!View attachment 3020181
Mzigo huo apo kutoka kwa wajuzi wa mambo Huyu Janja yuko makini sana na kazi tuwe tayari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii, khaaaahHuyo mtoto wa ........ na anacheo .......!! Kuandika sms chenga sana ata mimi namshangaa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeye buzzy na mchaka mchaka wa kitenge.Hamudu herufi au sio[emoji23][emoji23][emoji23]
Level yake ya Elimu ikoje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afu anadharau hatar anadai kuwa yeye ameshavaa Kitenge bs ujuaji wa kuandika tuwaachie ma secretary