Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Mkuu code ngum situmii hii ngoma mwisho zenji wajuzi watakufafanulia na kukupa yanayoendelea
Kwa maana hiyo wewe unashikiria awamu hii kozi ni Zenji pekee???..... Haitokuja kutokea hiyo kaka na muda utaongea kwenye hili naamini
 
Kwa maana hiyo wewe unashikiria awamu hii kozi ni Zenji pekee???..... Haitokuja kutokea hiyo kaka na muda utaongea kwenye hili naamini
Sio Zenj tu ngoma inapigwa Sehem Tatu rts,olj,zenj but kuna nyomi la watu wengii sana zenj tu ni balaa saa 2 nitakuj na news ngj nikakae na mzee
 
Sio Zenj tu ngoma inapigwa Sehem Tatu rts,olj,zenj but kuna nyomi la watu wengii sana zenj tu ni balaa saa 2 nitakuj na news ngj nikakae na mzee
Sasa mbona ulikua unasema zenji pekee this tym,,,,, hii info nlpewa kitambo na ndio nikaja na hii kwanzia tareh 1/7mambo yakienda sawa watu wanaanza kuingia shuleni
 
Sasa mbona ulikua unasema zenji pekee this tym,,,,, hii info nlpewa kitambo na ndio nikaja na hii kwanzia tareh 1/7mambo yakienda sawa watu wanaanza kuingia shuleni
Week Ijayo makundi yanaanz kuzama rts kwanz ko wadau kama una mdg wako hajafikisha miaka 30 na anachet cha form 4 tafuta wakina mjomba wafanye yao..
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Afu anadharau hatar anadai kuwa yeye ameshavaa Kitenge bs ujuaji wa kuandika tuwaachie ma secretary
Level yake ya Elimu ikoje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wakuu japo kuwa mimi nahangaikia kuingia huko ila kuna shida inanisumbua mimi mwenzenu nina kifua kubana ( asthma), yaani baridi kali huwa sipumui au vumbi, kuna baadhi ya wajeda wananambia niachane nako nisije nikafia huko, ila kuna wengine wananiambia nipambane tu, kila kitu kinawezekana, wakuu yani nakosa msimamo, mana niliwahi kubanwa tu na baridd ya kawaida mwez w 12,, kidogo nivute mazima mana nilipigwa sindano 24, ndio kikaachia , na nilikuwa nimeshaletewa mitungi ya gesi. Ushauri plz🙏
 
Back
Top Bottom