Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Anayumba. Kama vitu vidogo sana hivyo haelewi, akianza kuambiwa ‘SIERA-01, SIERA-01, ALPHA CODE ZERO-THREE-TWO-ONE’. Ataelewa kweli huyu..!? 😂
Kama nmepiga integral na differential calculus nmepiga coordinate geometry na mauchafu mengine hzo vitu hazwez npiga chenga mkuu😎😎 acha dharau skuisoma vzr hyo text
 
Watu mko serious na kuvaa kitengee? Miezi 3 ya mujibu had leo sisahau kabisaa, afu nyie mnakimbiliaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aaaah wapi acha matusi hamna mtaalamu wa namba hapo kwa black codes cracker
Mwalimu wangu aliwahi kunisifia mimi tu, kati ya wote tuliosoma darasani kwetu…

Ila nmekuwa sina mchongo, sababu AFRIKA SI SEHEMU SALAMA KWA WENYE AKILI 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…