Black Codes Cracker
Senior Member
- May 7, 2022
- 188
- 238
- Thread starter
-
- #1,061
Anayumba. Kama vitu vidogo sana hivyo haelewi, akianza kuambiwa ‘SIERA-01, SIERA-01, ALPHA CODE ZERO-THREE-TWO-ONE’. Ataelewa kweli huyu..!? 😂😂😂😂afu kweli wadau wengne wanazngua maelezo yapo wazi anasema fungua code anataka nn zaidi
Nlikua nasoma huku npo kwenye bajaji Barbara mbovu nadundadunda asee skusoma vzr kweli nmepagawa🥴🥴 yani saiv ndo nmesoma tena baada ya we ku commentMwanangu unakaza sana kichwa…
Yani hata maelezo hayo unataka uambiwe kwa upana, yani hujaelewa..!?
Ovyo kabisa
Kama nmepiga integral na differential calculus nmepiga coordinate geometry na mauchafu mengine hzo vitu hazwez npiga chenga mkuu😎😎 acha dharau skuisoma vzr hyo textAnayumba. Kama vitu vidogo sana hivyo haelewi, akianza kuambiwa ‘SIERA-01, SIERA-01, ALPHA CODE ZERO-THREE-TWO-ONE’. Ataelewa kweli huyu..!? 😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] thubutuuu!!Ungemalizia tu, “hiiii, kumbe bado mimi tu, nakwama wapi?” [emoji28][emoji28]
Wakuu leteni lonja hivyo hivyo hata kama ni za uongo ili tupeane 'moyo' wazalendo.
humu hamn mwenye lonja la uhakik zaid ya kupooza na kutiana moyo
yawezekana watu wakawa wanakaribia kuanza kozi
Sasa hujasoma vizuri halafu unaomba ufafanuzi wa kitu hujaelewa..!?Kama nmepiga integral na differential calculus nmepiga coordinate geometry na mauchafu mengine hzo vitu hazwez npiga chenga mkuu😎😎 acha dharau skuisoma vzr hyo text
Aaaah wapi acha matusi hamna mtaalamu wa namba hapo kwa black codes crackerAya bhn wataalamu wa Numbers naona mnataka kuanzisha battle
😂😂
SEMA KWELIMwezi wa Saba hauja isha ni lini kuripoti hakuna anae jua .we subiri mzigo una toka......very soon.
hapo kwenye watu kuanza kozi hapana kabisa kitaa tunaishi na ma PT wa Rts sa cjui kozi unayosema wewe ni mgambo😂
Kwahiyo anataka kucontrol battle kwa prof ya kubuni😂Aaaah wapi acha matusi hamna mtaalamu wa namba hapo kwa black codes cracker
Acha UNANASAMm habarj nilizokuwa nazo ambazo ni nyeti ngoma mwezi wa 11 wakuu
Kwa hiyo mkuu unataka kusikia habar za kukufurahisha tu?Acha UNANASA
Nimekwambia mimi naenda huko kuwa mpole...watu humu hawataki matani ukiwa ujui kitu unakausha na kama ni kweli mzigo Nov bas mzuka ngoja macomrade wangoje fatikiKwa hiyo mkuu unataka kusikia habar za kukufurahisha tu?
Basi tufanye kesho utaitwa peke yako kawe pale ukwamani
Mwalimu wangu aliwahi kunisifia mimi tu, kati ya wote tuliosoma darasani kwetu…Aaaah wapi acha matusi hamna mtaalamu wa namba hapo kwa black codes cracker
Ukimaanisha ??? Mpaka kuitwaKOZI ZOTE AZWEAAAAA UNTIL SEPTEMBER MUWE NA SUBRA
Hilo swala mbn lipo uchi kitambo tu tunajua ndo maana tume ufyata🥴KOZI ZOTE AZWEAAAAA UNTIL SEPTEMBER MUWE NA SUBRA
lipo wazi kama mitego ya dada poa😄😄Hilo swala mbn lipo uchi kitambo tu tunajua ndo maana tume ufyata🥴