Swardolf102
JF-Expert Member
- Apr 6, 2024
- 295
- 320
😕☹️☹️Oya wazee asikwambie mtu gwanda lile jpyajipya tamu yaan asikwambie mtu, nmetoka kuonana na mshkaji wangu la kwake lina[emoji294] kabisa ndani ya ndinga lake. Oya wakati wa Mungu ni wakati sahihi alaf pia ishu ya UMRI ni kwa wewe usie na connection/bahati.
Ngj kwanza hawa watu wa CCP waende watu wapunguepungueShida huko ndugu zangu JW mpaka sasa hollaaaaaaa😥
😂😂😂 au sio hawa mtipidiiii nao wanazingua mwanangu bora waite watu kwanz wawarundike humo wasubil kujilaNgj kwanza hawa watu wa CCP waende watu wapunguepungue
Wao c wakubwa ndo maana wanakuaga wa mwisho. Sema wangefanya hvo ndo ingekua poa😂😂😂 au sio hawa mtipidiiii nao wanazingua mwanangu bora waite watu kwanz wawarundike humo wasubil kujila
Uhakika mzee bora wangetoa saivi...Wao c wakubwa ndo maana wanakuaga wa mwisho. Sema wangefanya hvo ndo ingekua poa
Mambo ni mengi sana hukoJumla ya majina ya walioitwa kwenye usahili wa Jeshi la Polisi ni 33,998. yaan 40,000 kasoro mtu mbili.
Tanzania ni watu 31,930
Zanzibar ni watu 2,068
alooo shuhuri ni pevu sasa sijui bogi linataka Askari wa ngap hapo usikute panga likapita na zaid ya watu buku thelasin 30...
Dj gonga midundo kuchangamke😄
Mambo ni mengi sana hukoK
Si unaona tu intavyuu watu wanaenda kulazwa hukohuko😂😂kwanini bro uliomba na huko?
Oya, hebu imagine mtu anatoka Kigoma hadi Kurasini-Dar es Salaam kwa ajili ya usaili, halafu anakosa aisee…Si unaona tu intavyuu watu wanaenda kulazwa hukohuko😂😂
Mixer kupigishwa tizi
Na bado mwishoni mtu anakosa
huu ni zaidi ya ukatili mzazi raia inatoka mikoa ya mbali tena interior kbs ili tu ifanye usahili ambao ni kama betting pata potea...Oya, hebu imagine mtu anatoka Kigoma hadi Kurasini-Dar es Salaam kwa ajili ya usaili, halafu anakosa aisee…
Huko ni kujila ambapo mwisho wake ni kuacha kabisa kuomba habari za majeshi 😬
Haya majeshi mengi acha tuWewe watu elfu 34 kuchomoka hapo uwe miongoni sio kitoto mzee na bado wapo wale wa vimemo
so sad😥
Mm nnavofaham kuna dem ndugu yangu tayar msata ashaenda,hawajaanza kozi kwani hata simu anapokea na kuwasiliana na ndugu zake,hazijapokonywa😂😂😂 au sio hawa mtipidiiii nao wanazingua mwanangu bora waite watu kwanz wawarundike humo wasubil kujila
Kama ni kweli unachosema, basi kawahi kuwa mzalendo kabla bado.Mm nnavofaham kuna dem ndugu yangu tayar msata ashaenda,hawajaanza kozi kwani hata simu anapokea na kuwasiliana na ndugu zake,hazijapokonywa
Hizo habar za Todd wa Tisa,wa nane Labda bogi lingine
All in all,I stand to be corrected….
Mmmh kwa hapa siwezi pinga moja kwa moja ila nitakuja na info baadae kidogo ntakapokaa na jamaa wa hapo ndani maana nakumbuka mara ya mwisho juzi tu alinambia bado hawajaanza kuingia na pengne wakaanza kuingia wa nane au tisa kabisa,,,,sababu wao pia walifikili kwanzia tareh moja mwez huu wangeanza pokelewa ila bado..Mm nnavofaham kuna dem ndugu yangu tayar msata ashaenda,hawajaanza kozi kwani hata simu anapokea na kuwasiliana na ndugu zake,hazijapokonywa
Hizo habar za Todd wa Tisa,wa nane Labda bogi lingine
All in all,I stand to be corrected…..
Hahahaha noma sana bro sema nikijua kama kweli wameanza kuingia wa kupenyezwa itanipa mwanga sehem🥱Kama ni kweli unachosema, basi kawahi kuwa mzalendo kabla bado.
Ana mbanga mkubwa huyo, kamuwahisha mapema ili mpaka wengine mkifika , yeye kashajua chochoro zote..
Hii hata mimi enzi za JKT, niliwahi kwenda wiki 3 kabla ya tarehe rasmi ya kuripoti.
Ma’service wakawa wananiita ‘BABA KANITUMA’ huku wanaogopa kunipiga tifu… 😂