Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Lonja za mwanzo zilikuwa hivi; Wa saba mwanzoni au kati ni kuripoti na uzalendo.

Wa nane kati au tisa mwanzoni (kwa kutegemea muda wa uzalendo) kozi inaanza..

Lonja hazijapotea sana, ukweli upo hapo katikati (8 na 9) 😀
 
Maybe…
Naona bora niwasanue wanaohitaji na kusikilizia,pengine taarifa inaweza kutoa mwangaza pahala
Yule dem tangu niskie kapigiwa simu nlitoa taarifa humu
Ngoja waendelee kusubiri,siku njema zinakuja
 
Hahahaha noma sana bro sema nikijua kama kweli wameanza kuingia wa kupenyezwa itanipa mwanga sehem🥱
Hahahaha noma sana bro sema nikijua kama kweli wameanza kuingia wa kupenyezwa itanipa mwanga sehem🥱
Kwa kuwa tarehe ya kuingia bado, utakayemuuliza anaweza asijue maana inawezekana ni yeye tu aliyeingia..
 
Maybe…
Naona bora niwasanue wanaohitaji na kusikilizia,pengine taarifa inaweza kutoa mwangaza pahala
Yule dem tangu niskie kapigiwa simu nlitoa taarifa humu
Ngoja waendelee kusubiri,siku njema zinakuja
Jambo jema hili mkuu…

Kama kuna mtu kashaenda huko na anasubiri, basi soon tu kinawaka….

Wapambanaji wanywe maji mengi tu
 
Kwa kuwa tarehe ya kuingia bado, utakayemuuliza anaweza asijue maana inawezekana ni yeye tu aliyeingia..
ni kweli maana ambao ninao wategemea kuwauliza ni wakufunzi so wanaweza wasijue watu kumwagika hapo n lin ila wakawa wanajua chochote kinachoendelea hapo
 
Maybe…
Naona bora niwasanue wanaohitaji na kusikilizia,pengine taarifa inaweza kutoa mwangaza pahala
Yule dem tangu niskie kapigiwa simu nlitoa taarifa humu
Ngoja waendelee kusubiri,siku njema zinakuja
Muda wowote mambo yatajipa hapo ndani wanangu dua ziwe nyingi
 
Kalanga baho@ulicheka nilivyo Sema mwezi wa Saba hauja isha ...very soon Tiz utalikuta
 
Oya, hebu imagine mtu anatoka Kigoma hadi Kurasini-Dar es Salaam kwa ajili ya usaili, halafu anakosa aisee…

Huko ni kujila ambapo mwisho wake ni kuacha kabisa kuomba habari za majeshi 😬
Sasa mlitaka wafanyeje?huo ndio ushindani maisha hayajawahi kuwa rahisi hivyo wazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…