Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Yaaaan 1998 hawa ni wale ambao bado hawajafunga 26 yaaan wamezaliwa mwezi wa 9,10,11,12Hadi wa 1998 mbona wamepokelewa
Kwaiyo Nje ya bahasha umeandika nn nikupe code...Hadi wa 1998 mbona wamepokelewa
Kwamba wa mwenye 30 haingii au ndo mpaka mbagaHadi wa 1998 mbona wamepokelewa
30 kuwa na Mbuyu mkubwa sana unatoboaKwamba wa mwenye 30 haingii au ndo mpaka mbaga
Wapo waloenda wanasema eti ni lazma upeleke pale makao makuu na si posta Wala vinginevyo hio imekaaje mkuuNimepeleka leo mkuu hakuna shida kabisa
Mmmh hakuna sio lazima upeleke mwenyew unaweza tuma tu kwa posta ila je hao walioenda moja kwa moja kuna sehem wamesaini je? Kam wamesaini basi ni lazima uende ila kama hawajasaini kokote tuma tu kwa postaWapo waloenda wanasema eti ni lazma upeleke pale makao makuu na si posta Wala vinginevyo hio imekaaje mkuu
Wanasema wamesaini na nmb za simu wameacha na Kuna Maswali wanaulizwa yanajazwa kwenye PCMmmh hakuna sio lazima upeleke mwenyew unaweza tuma tu kwa posta ila je hao walioenda moja kwa moja kuna sehem wamesaini je? Kam wamesaini basi ni lazima uende ila kama hawajasaini kokote tuma tu kwa posta
Aaaah nisawa but hata kama wamefunga possibility ya kuchukuliwa pia IPOYaaaan 1998 hawa ni wale ambao bado hawajafunga 26 yaaan wamezaliwa mwezi wa 9,10,11,12
Muhimu mbuyu tu wa uhakikaWanasema wamesaini na nmb za simu wameacha na Kuna Maswali wanaulizwa yanajazwa kwenye PC
Sio lazima kwenda kumbuka Kuna watu wa mbali mkuu lazima watumie posta but iwe EMS ,Wanasema wamesaini na nmb za simu wameacha na Kuna Maswali wanaulizwa yanajazwa kwenye PC
Baaasi we ndo umemaliza kila kitu hapo nagongelea msumari wa nchi nneMuhimu mbuyu tu wa uhakika
Hzo zingine zote danadana
Yeah ninyi kama mmetuma kupitia posta ni zitafika tu ,Muhimu mbuyu tu wa uhakika
Hzo zingine zote danadana
Yah 7bu hyo barua znafika makao Moja kwa Moja order roomSio lazima kwenda kumbuka Kuna watu wa mbali mkuu lazima watumie posta but iwe EMS ,
Pale ngome kuna kusaini na pia wanaingiza kwenye computer details zako,Wanasema wamesaini na nmb za simu wameacha na Kuna Maswali wanaulizwa yanajazwa kwenye PC
Nadhani utafte mtu aliekaribu akupelekee hakuna shidaPale ngome kuna kusaini na pia wanaingiza kwenye computer details zako,
Na pia hata kumpelekea mtu inawezekana msingi ujue details zakee vizuri
Basi kam ni ivo Hao walipeleka kwa mikono ndo first priority kuliko Barua nyngi hazisomwi ndani ko kam mtu unachance panda tu doma mwenyewWanasema wamesaini na nmb za simu wameacha na Kuna Maswali wanaulizwa yanajazwa kwenye P
Shida waloenda wanatutia jambajamba kwamba za posta hazpokelewiYeah ninyi kama mmetuma kupitia posta ni zitafika tu ,
Ulipofika tu uliulizwa maswali gani labd tuone kama inawezekana kumuagiza mtuPale ngome kuna kusaini na pia wanaingiza kwenye computer details zako,
Na pia hata kumpelekea mtu inawezekana msingi ujue details zakee vizuri
Nimepeleka direct mkuu ukifika pale wanakusanya barua kwenye box.Kwaiyo Nje ya bahasha umeandika nn nikupe code...
Wanauliza form six au four,Ulipofika tu uliulizwa maswali gani labd tuone kama inawezekana kumuagiza mtu