Black Codes Cracker
Senior Member
- May 7, 2022
- 188
- 238
- Thread starter
-
- #121
Miaka 24 kilo 85! Ulikuwa unakula nini mkuu?jamani mm nina miaka 24 na pia nina elimu ya chuo kikuu area ya uhasibu ninataka kwenda JWTZ je nitaweza maana nina kitambi kiasi na 85kg hivi? maana wa mawazo tafadhari
Miaka 24 kilo 85! Ulikuwa unakula nini mkuu?
Anyways, punguza kwanza uzito, maana kwa kilo hizo, JKT tu hutoboi… UTAKUTWA NA MIPRESHA YA HATARI….
Au kwanza tafuta nafasi ya Jkt, utaenda kupungulia hukohuko (kwenye zile wiki za uzalendo tu) [emoji28]…
Baada ya hapo henya huku ukisubiri ajira, ikiwa bahati yako, utapata tu…
Tafuta mbanga kuuuuuubwa kama mbuyu… utatoboa…Hapana mm jkt nimeshapita
Naona watu JW wameamua kuisusaWajomba, mmepata ronja yoyote ya TPDF au ndo mpo bize na pdf za magereza na uhamiaji..!?
Ronja zinasema tarehe 23-25 FEB watu wanaondoka…Naona watu JW wameamua kuisusa
Padone EPMZafrain sag
Tupe rada zinasemaje mkuuWazee wa ronja vp
Hakuna lolote intake marchTupe rada zinasemaje mkuu
Hii ndo ya uhakika sasa…Kama una dog lako au mwenyew jiandae mwez ujao usipoitwa nenda kalime tu shambani
23-25 FebruaryKama una dog lako au mwenyew jiandae mwez ujao usipoitwa nenda kalime tu shambani
Kwaiyo mwendo ni ule ule wa calls Au PDF itausikà nn jah!¡¡!!!???Kama una dog lako au mwenyew jiandae mwez ujao usipoitwa nenda kalime tu shambani
PDF ya nini tena hivi unawajua vizuri jw kule ni michongo tuuKwaiyo mwendo ni ule ule wa calls Au PDF itausikà nn jah!¡¡!!!???
Hakuna PDF ni mwendo wa callsKwaiyo mwendo ni ule ule wa calls Au PDF itausikà nn jah!¡¡!!!???