Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
Japo naskia TMA kwa Military science ni miaka 3 ila hawa wa Regular course ni miezi 9 had mwaka....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikua wap kupiganisha mapema wenzako wa shahada na astashahada nadhan wametoka tayr poli sasa bado kuapa hapo RTS.....Bachelor japo nitatumia cheti cha kidato cha sita
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km afande rama au?Huyo atakae mtamani mwanaume mwenzake atakua ame left group [emoji1787][emoji1787]
kama sikosei uiiwa na degree, military science ni mwaka 1.Japo naskia TMA kwa Military science ni miaka 3 ila hawa wa Regular course ni miezi 9 had mwaka....
Nimecheka had napaliwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi juz , mshua wangu alikuwa anachonga na brigedia mmoja, kastaafu mwaka jana, sasa mshua ananipambania niingie, sas mshua yeye hajafika level za wakubwa wenzie , yule brigedia akawa anamwambia yeye mwenyewe ana watoto wanne 4, wamemaliza chuo na hawana kazi, nae anawapambania waingie, ila hatoi hat sh mia, hataki kutoa wanawe waingie, akasema na ikishindkna watoto wake watafanya kaz nyingne sio lazma wawe kama yeye, japo kun mwanaye alishampitisha yuko tma anapiga nyota, na tena kwa msaada wa mabeyo, sasa brigedia akamwambia mzee kama vipi aende DODOMA 3. dml 2. cp , mtu wa ajila 1. jeneral mwenyew mgunda , kwasababu inakuwa ii kama ombi tu, mzee akasema aweeee [emoji23][emoji23][emoji23], hapa nasubiri miujiza tu wakuu.
😂😂😂 Haya mambo ni magumu....Ila kila la kheri utaenda inshallah 🙏🏽mimi juz , mshua wangu alikuwa anachonga na brigedia mmoja, kastaafu mwaka jana, sasa mshua ananipambania niingie, sas mshua yeye hajafika level za wakubwa wenzie , yule brigedia akawa anamwambia yeye mwenyewe ana watoto wanne 4, wamemaliza chuo na hawana kazi, nae anawapambania waingie, ila hatoi hat sh mia, hataki kutoa wanawe waingie, akasema na ikishindkna watoto wake watafanya kaz nyingne sio lazma wawe kama yeye, japo kun mwanaye alishampitisha yuko tma anapiga nyota, na tena kwa msaada wa mabeyo, sasa brigedia akamwambia mzee kama vipi aende DODOMA 3. dml 2. cp , mtu wa ajila 1. jeneral mwenyew mgunda , kwasababu inakuwa ii kama ombi tu, mzee akasema aweeee 😂😂😂, hapa nasubiri miujiza tu wakuu.
😀 😀 Mungu akutangulie mkuu... Hivi hii issue ya kutoa hela ina uhakika au ni kama betting tu?mimi juz , mshua wangu alikuwa anachonga na brigedia mmoja, kastaafu mwaka jana, sasa mshua ananipambania niingie, sas mshua yeye hajafika level za wakubwa wenzie , yule brigedia akawa anamwambia yeye mwenyewe ana watoto wanne 4, wamemaliza chuo na hawana kazi, nae anawapambania waingie, ila hatoi hat sh mia, hataki kutoa wanawe waingie, akasema na ikishindkna watoto wake watafanya kaz nyingne sio lazma wawe kama yeye, japo kun mwanaye alishampitisha yuko tma anapiga nyota, na tena kwa msaada wa mabeyo, sasa brigedia akamwambia mzee kama vipi aende DODOMA 3. dml 2. cp , mtu wa ajila 1. jeneral mwenyew mgunda , kwasababu inakuwa ii kama ombi tu, mzee akasema aweeee 😂😂😂, hapa nasubiri miujiza tu wakuu.
Ko mwanangu unataka mshati a.k.a kitenge ila kuchunguliwa utak si ndio😂Nimecheka had napaliwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi ndio zile ukiskia mkubwa naye ana mkubwa wake ama nini.....hivi ukipata mbanga kubwa ya RTS hapo hapo si kutoboa %kubwa??😄😀 😀 Mungu akutangulie mkuu... Hivi hii issue ya kutoa hela ina uhakika au ni kama betting tu?
MAE walahi 😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kupimana marinda ni udhalilishaji jamani, je mpimaji akatamani kitoboo?? Woiiiiiih
😀 haya mambo ni kuomba Mungu tu mkuuHizi ndio zile ukiskia mkubwa naye ana mkubwa wake ama nini.....hivi ukipata mbanga kubwa ya RTS hapo hapo si kutoboa %kubwa??😄
Mwanangu nilikua nakusubili ushushe nondo hapa😄MAE walahi 😅
haya mambo noma snaa, na sio kwamba hana hela , mpunga anao ila amesema hatoi rushwa yoyote, wakishindwa kumsaidia waache, akasema mbna anamwanaye ni director wa nyimbo anaitwa (JOMA),kapambana kwenye mishe nyingine na katoboa 😂.Nimecheka had napaliwa,![]()
![]()
![]()
![]()
Nakuja 😀Mwanangu nilikua nakusubili ushushe nondo hapa😄
😀 😀 Mungu akutangulie mkuu... Hivi hii issue ya kutoa hela ina uhakika au ni kama betting tu?
Kitu ambacho wengi hawajui, MASOJA wengi wakubwa, hawataki watoto wao wapite huko…haya mambo noma snaa, na sio kwamba hana hela , mpunga anao ila amesema hatoi rushwa yoyote, wakishindwa kumsaidia waache, akasema mbna anamwanaye ni director wa nyimbo anaitwa (JOMA),kapambana kwenye mishe nyingine na katoboa 😂.
Sahihi, anaweza akawa BRIGEDIA ila hayupo jikoni, yani hadi apige simu…unapotoa hela hakikisha na mbanga mwenyewe awe mkweli, ivi mnajua kuwa mbanga zinazidia uwezo, simaanishi uwezo wa cheyo, hapa nazungumzia nafasi.
Inshort hakujawahi kutokea bogi ambalo linapiganiwa na watu wengi kama hili. Ukifanikiwa kuingia intake hii sali sana mpaka siku unaapa.mimi juz , mshua wangu alikuwa anachonga na brigedia mmoja, kastaafu mwaka jana, sasa mshua ananipambania niingie, sas mshua yeye hajafika level za wakubwa wenzie , yule brigedia akawa anamwambia yeye mwenyewe ana watoto wanne 4, wamemaliza chuo na hawana kazi, nae anawapambania waingie, ila hatoi hat sh mia, hataki kutoa wanawe waingie, akasema na ikishindkna watoto wake watafanya kaz nyingne sio lazma wawe kama yeye, japo kun mwanaye alishampitisha yuko tma anapiga nyota, na tena kwa msaada wa mabeyo, sasa brigedia akamwambia mzee kama vipi aende DODOMA 3. dml 2. cp , mtu wa ajila 1. jeneral mwenyew mgunda , kwasababu inakuwa ii kama ombi tu, mzee akasema aweeee 😂😂😂, hapa nasubiri miujiza tu wakuu.