Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Kesho saa 11 asubuhi nitatoa mbinu ya kumpata 2 star General fulani anasehemu yake moja pendwa huwa anaenda kiuficho na ukimbamba tu Hapo na kuna salamu ya dini moja ukimsalimia unaulainisha saana moyo wake na anaweza kukupa connection matata
Et salamu ya dini 😂😂🙌
 
Hii chambo imeliwa na samaki yule kakimbia
Kesho saa 11 asubuhi nitatoa mbinu ya kumpata 2 star General fulani anasehemu yake moja pendwa huwa anaenda kiuficho na ukimbamba tu Hapo na kuna salamu ya dini moja ukimsalimia unaulainisha saana moyo wake na anaweza kukupa connection matata
 
Unaeza ukaungwa Freemason ivi ivi salamu ya dini dini ghn? c ataje 😂😂😀Wanangu angalieni sana msije mkajaa kweny mifumo People are differ Guys
Et salamu ya dini 😂😂
Kama yeye kashaenda kwa 2star general wake Aende tu waendeleee kusalimiana na salamu zao za dini😀😀😀 #MUNGU NI WETU SOTE
 
Back
Top Bottom