Zafrain sag
JF-Expert Member
- Sep 14, 2019
- 238
- 354
+22526******61Oyaa mweny no inayo pigia watu wa mtaan aiwek humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
+22526******61Oyaa mweny no inayo pigia watu wa mtaan aiwek humu
WEWE NI MUONGO MKUBWA,KAMA HUJUI KITU KAA KIMYA.Asiwadanganye mtu hamna hamna aliepigiwa simu hadi sasa wala alotakiwa kuripoti Makutopora. Mimi ni raia tu wakawaida nipo hq kitengo cha IT nimejitolea nimetok direct chuo. Hata hapa makao hamna mtu mwenye taarifa hio lini watawapigia simu au itaratibu utakuaje..au angalieni hata nyie au mtu aseme kama mbanga wake kampa utaratibu wwte utakavyokuwa
Mkuu Zafrain sag, wewe lonja zako zinaukweli naomba ukiwa unapata taarifa zozote usisite kutupia humu mkuu.. mimi nakuaminiWEWE NI MUONGO MKUBWA,KAMA HUJUI KITU KAA KIMYA.
Watu kibao leo wamerudishwa kaka,Mtu kapigiwa simu ila jina halipo kwenye orodha,Uzuri ukifika haunyolewi kwanza mpka ukaangalie jina lako pale utawala ukiona halipo inabidi ufanye mawasiliano na mbanga wako,Kama lipo ndio utaendelea na process zingine ila watu still bado wanaripoti makutupora.Mkuu Zafrain sag, wewe lonja zako zinaukweli naomba ukiwa unapata taarifa zozote usisite kutupia humu mkuu.. mimi nakuamini
Aliyepigiwa na hii ameniambia aliyempigia ni mkaka.+22526******61
Kawahi sana jombaa😁Aliyepigiwa na hii ameniambia aliyempigia ni mkaka.
Na tayari amesharipoti leo makutupora akitokea shinyanga.
😂😂😂😂sawaAsiwadanganye mtu hamna hamna aliepigiwa simu hadi sasa wala alotakiwa kuripoti Makutopora. Mimi ni raia tu wakawaida nipo hq kitengo cha IT nimejitolea nimetok direct chuo. Hata hapa makao hamna mtu mwenye taarifa hio lini watawapigia simu au itaratibu utakuaje..au angalieni hata nyie au mtu aseme kama mbanga wake kampa utaratibu wwte utakavyokuwa
HahahahahahahaKawahi sana jombaa😁
Asante sana mkuu.. Naomba uendelee kutupa update kwa sisi tunaokuamini tuzidishe dua mkuu!!Watu kibao leo wamerudishwa kaka,Mtu kapigiwa simu ila jina halipo kwenye orodha,Uzuri ukifika haunyolewi kwanza mpka ukaangalie jina lako pale utawala ukiona halipo inabidi ufanye mawasiliano na mbanga wako,Kama lipo ndio utaendelea na process zingine ila watu still bado wanaripoti makutupora.
Hii nikutoka kwa vyanzo vyangu vya ndani kabisa vya kuaminika.
Tusali sanaa mkuu.. mambo sio mepesiKwahyo na ambao bado hatujapigiwa simu inakuweje sasa🥲🥲🥲
😄😄😄 Yan weweSasa mbona unazificha no zingine nn maana ya kusema uziweke humu tunatka tuzamie tujarbu bahat kwahyo ww uziweke zote tuchukue twend nazo ili wakituuliza tuna waambia namba hiz hapa
Hii nini si ndo hyo namba ziwekwe zote ety jaman😄😄😄 Yan wewe
Sasa tuwekeni kikao chadhurara
Jaman ambao hatujapigiwa simu maombi jaman
Sasa namba za kuwapigia tena wamezitoa wapWale waliorudishwa jana wamepigiwa simu leo kuwa majina yao yameitwa,Hivyo wamerudi makutupora leo.
Nitaendelea kuwapa update.
Namaanisha walivyoenda jana walikutana na marafiki zao waliosoma nao shule so wakabadilishana namba so wale marafiki zao ndio wamewapigia kuwaambia majina yenu yamesomwa,Lakini pia mbanga wake alimpigia simu kuwa mambo yapo vzr rudi.Sasa namba za kuwapigia tena wamezitoa wap