Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Asiwadanganye mtu hamna hamna aliepigiwa simu hadi sasa wala alotakiwa kuripoti Makutopora. Mimi ni raia tu wakawaida nipo hq kitengo cha IT nimejitolea nimetok direct chuo. Hata hapa makao hamna mtu mwenye taarifa hio lini watawapigia simu au itaratibu utakuaje..au angalieni hata nyie au mtu aseme kama mbanga wake kampa utaratibu wwte utakavyokuwa
WEWE NI MUONGO MKUBWA,KAMA HUJUI KITU KAA KIMYA.
 
Mkuu Zafrain sag, wewe lonja zako zinaukweli naomba ukiwa unapata taarifa zozote usisite kutupia humu mkuu.. mimi nakuamini
Watu kibao leo wamerudishwa kaka,Mtu kapigiwa simu ila jina halipo kwenye orodha,Uzuri ukifika haunyolewi kwanza mpka ukaangalie jina lako pale utawala ukiona halipo inabidi ufanye mawasiliano na mbanga wako,Kama lipo ndio utaendelea na process zingine ila watu still bado wanaripoti makutupora.
Hii nikutoka kwa vyanzo vyangu vya ndani kabisa vya kuaminika.
 
Asiwadanganye mtu hamna hamna aliepigiwa simu hadi sasa wala alotakiwa kuripoti Makutopora. Mimi ni raia tu wakawaida nipo hq kitengo cha IT nimejitolea nimetok direct chuo. Hata hapa makao hamna mtu mwenye taarifa hio lini watawapigia simu au itaratibu utakuaje..au angalieni hata nyie au mtu aseme kama mbanga wake kampa utaratibu wwte utakavyokuwa
😂😂😂😂sawa
 
Watu kibao leo wamerudishwa kaka,Mtu kapigiwa simu ila jina halipo kwenye orodha,Uzuri ukifika haunyolewi kwanza mpka ukaangalie jina lako pale utawala ukiona halipo inabidi ufanye mawasiliano na mbanga wako,Kama lipo ndio utaendelea na process zingine ila watu still bado wanaripoti makutupora.
Hii nikutoka kwa vyanzo vyangu vya ndani kabisa vya kuaminika.
Asante sana mkuu.. Naomba uendelee kutupa update kwa sisi tunaokuamini tuzidishe dua mkuu!!
 
Sasa mbona unazificha no zingine nn maana ya kusema uziweke humu tunatka tuzamie tujarbu bahat kwahyo ww uziweke zote tuchukue twend nazo ili wakituuliza tuna waambia namba hiz hapa
 
Back
Top Bottom