Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Kozi Msata Inaanza tarehe 7

Una wiki mbili tuu za kupiganisha,

Njee na hapo shonaaa tulia

Orjoro hakuna jambo

HIZI ZA KUAMINIKAA KABISA
Acha waendelee kubisha,Maana nawaambia humu, watu wanaendelea kupigiwa simu na wanaenda kuripoti makutupora wananibishia.
Upo sahihi kabisa kozi inatarajiwa kuanza mwanzoni mwa mwez wa 10,Msata wanapelkwa tarehe 1 mwez wa kumi kama haitobadilika.
 
Acha waendelee kubisha,Maana nawaambia humu, watu wanaendelea kupigiwa simu na wanaenda kuripoti makutupora wananibishia.
Upo sahihi kabisa kozi inatarajiwa kuanza mwanzoni mwa mwez wa 10,Msata wanapelkwa tarehe 1 mwez wa kumi kama haitobadilika.
Uko sahihi chifuuuu JESHI la wanajeshi
 
Humu hakuna mhifadhi mwenzangu ambae Mbanga wake kamwambia until further notice kama mimi[emoji16][emoji2], aje PM tujadiliane tunatoboa vipi huko TFS tukavae gwanda hata lile la Jeshi Usu nalo ni gwanda ?
 
Acha waendelee kubisha,Maana nawaambia humu, watu wanaendelea kupigiwa simu na wanaenda kuripoti makutupora wananibishia.
Upo sahihi kabisa kozi inatarajiwa kuanza mwanzoni mwa mwez wa 10,Msata wanapelkwa tarehe 1 mwez wa kumi kama haitobadilika.
Kwhyo watu waanze kozi bila kukaa uzalendo kweli hivi inakuingia akilini? Na hao watu wanaoendelea kuripoti kila siku wafike tu waanze kozi bila uzalendo?
Acheni kuropoka v2 ambavyo hamna uhakika navyo bhn
 
Kwhyo watu waanze kozi bila kukaa uzalendo kweli hivi inakuingia akilini? Na hao watu wanaoendelea kuripoti kila siku wafike tu waanze kozi bila uzalendo?
Acheni kuropoka v2 ambavyo hamna uhakika navyo bhn
Wanaenda msata mwez wa kumi mwanzoni kwani uzalendo sio part ya mafunzo????
 
Acha waendelee kubisha,Maana nawaambia humu, watu wanaendelea kupigiwa simu na wanaenda kuripoti makutupora wananibishia.
Upo sahihi kabisa kozi inatarajiwa kuanza mwanzoni mwa mwez wa 10,Msata wanapelkwa tarehe 1 mwez wa kumi kama haitobadilika.
Usiwe unaleta vitu usivyokuwa na uhakika navyo watu wengi sana hata usahili wa vipimo haujakamilika na bado watu wanaingia...
Kozi mwezi wa 10 tareh 7 umeitoa wapi wewe na mwenzako huko makutupora vipimo vya damu umewafanyia wewe au wote uta wa bypass??...
Acha kuharakisha mambo kijana vitu huvijui kaa kimya maana KUKAA KIMYA MPAKA UULIZWE NI BORA KULIKO KUONGEA MPAKA UKANYAMAZISHWA.

Kwamba unapoambiwa usahili unaendelea unafikili ndio kama foleni za maji unapanga na dumu lako unakinga then unatembea?

KAMA ULIKOSA WEWE BASI ACHA ROHO MBAYA YA HUSDA KWA WALE WENYE MATUMAINI.


Daaaah kozi mwezi wa 10 tareh 7 au mmefungua gazeti lenu la udaku mnali_promote hapa

Rubbish 🚮
 
Usiwe unaleta vitu usivyokuwa na uhakika navyo watu wengi sana hata usahili wa vipimo haujakamilika na bado watu wanaingia...
Kozi mwezi wa 10 tareh 7 umeitoa wapi wewe na mwenzako huko makutupora vipimo vya damu umewafanyia wewe au wote uta wa bypass??...
Acha kuharakisha mambo kijana vitu huvijui kaa kimya maana KUKAA KIMYA MPAKA UULIZWE NI BORA KULIKO KUONGEA MPAKA UKANYAMAZISHWA.

Kwamba unapoambiwa usahili unaendelea unafikili ndio kama foleni za maji unapanga na dumu lako unakinga then unatembea?

KAMA ULIKOSA WEWE BASI ACHA ROHO MBAYA YA HUSDA KWA WALE WENYE MATUMAINI.


Daaaah kozi mwezi wa 10 tareh 7 au mmefungua gazeti lenu la udaku mnali_promote hapa

Rubbish 🚮
Kaa kwa kutulia kijana acha taarabu hazitokusaidia,Wewe jua watu wanaendelea kuripoti na kupigiwa simu tunatoa update ili wenye nia waendelee kuwasumbua mimbanga yao wasije kupitwa na kibogi hiki cha Morali.
 
Kaa kwa kutulia kijana acha taarabu hazitokusaidia,Wewe jua watu wanaendelea kuripoti na kupigiwa simu tunatoa update ili wenye nia waendelee kuwasumbua mimbanga yao wasije kupitwa na kibogi hiki cha Morali.
Anaekupa update anasema adi saivi wameripoti wangapi kwa makadilio na wamelipoti oljoro au makutopora?
 
Usiwe unaleta vitu usivyokuwa na uhakika navyo watu wengi sana hata usahili wa vipimo haujakamilika na bado watu wanaingia...
Kozi mwezi wa 10 tareh 7 umeitoa wapi wewe na mwenzako huko makutupora vipimo vya damu umewafanyia wewe au wote uta wa bypass??...
Acha kuharakisha mambo kijana vitu huvijui kaa kimya maana KUKAA KIMYA MPAKA UULIZWE NI BORA KULIKO KUONGEA MPAKA UKANYAMAZISHWA.

Kwamba unapoambiwa usahili unaendelea unafikili ndio kama foleni za maji unapanga na dumu lako unakinga then unatembea?

KAMA ULIKOSA WEWE BASI ACHA ROHO MBAYA YA HUSDA KWA WALE WENYE MATUMAINI.


Daaaah kozi mwezi wa 10 tareh 7 au mmefungua gazeti lenu la udaku mnali_promote hapa

Rubbish 🚮
Mkuu umeongea kwa uchungu sana 😂
 
Back
Top Bottom