Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Sijawai kupitia wakati mgumu kupenyeza mtu chomboni kama awamu hii

Mbanga zote zilikuwa hazipokei simu
Lkn nashukuru ni mwezi sasa toka nifanikiwe kumpenyeza mdogo wake demu wangu
 
Ni mwezi mmoja sasa toka dogo aliyekuwa ananipa za ndani kabisa huko apokonywe simu

Nashangaa kusikia kuwa kumbe kozi bado hawajaanza
 
Kwa afande yoyote humu ambaye ataweza kuunisaidia kujiunga na jeshi hata kama sio kwa intake hii hata inayokuja tafadhali naomba tuwasiliane kupitia njia ya DM

NB.GHARAMA ZA USUMBUFU NITALIPA

🙏🙏
 
Back
Top Bottom