Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Mkuu asante sana...Ukifikiria kwa umakini, utaona kuna ukweli katika hoja ya mtoa mada. Hakuna ubishi kuwa wakristo wengi ndiyo waliosoma na wanaendelea kusoma ila ni wachache sana wenye uadilifu maeneo ya kazi. Mfumo wa ukristo hauko serious sana kwenye kujenga maadili kwa kutumia anuani ya dhambi. Ni kama hauamini kuna maisha baada ya kufa.
Wasomi wao hawanaga muda wa kutafakari shida za wengine, ni kuiba, kunywa, kujiwekea himaya za kidunia, kula kitimoto na kufanya zinaa basi. Haya yote yangefanyika kwa kutumia pesa zao za halali, isingekuwa tabu tatizo wanaiba sana pesa za umma. List ya mahitaji yao ya kibinafsi ni kubwa sana kuliko kipato chao. Sisemi wote, ila wengi wao hizi ndio tabia zao na kama mtu anabisha basi anabisha kwa kuwa labda yeye ni mkristo.
Mkuu asante sana...Ukifikiria kwa umakini, utaona kuna ukweli katika hoja ya mtoa mada. Hakuna ubishi kuwa wakristo wengi ndiyo waliosoma na wanaendelea kusoma ila ni wachache sana wenye uadilifu maeneo ya kazi. Mfumo wa ukristo hauko serious sana kwenye kujenga maadili kwa kutumia anuani ya dhambi. Ni kama hauamini kuna maisha baada ya kufa.
Wasomi wao hawanaga muda wa kutafakari shida za wengine, ni kuiba, kunywa, kujiwekea himaya za kidunia, kula kitimoto na kufanya zinaa basi. Haya yote yangefanyika kwa kutumia pesa zao za halali, isingekuwa tabu tatizo wanaiba sana pesa za umma. List ya mahitaji yao ya kibinafsi ni kubwa sana kuliko kipato chao. Sisemi wote, ila wengi wao hizi ndio tabia zao na kama mtu anabisha basi anabisha kwa kuwa labda yeye ni mkristo.
Majimbo ya Nigeria ya Kaskazini Waislamu ni wote na Shariah juu, lakini bado hawajaridhika wanatafuta Wakristo wahamiaji ambao ni wschache na kuwaua na kulipua makanisa yao. Hawakuishia hapo, na elimu ya darasani wamepinga . Wanataka elimu ya Mdrassah tu. Sasa wapo wapi kimaendeleo? Hamna rushwa? Kila kitu wanafanya kama Kuran inavyosema.
Hivi serikali kutaifisha shule za wakristo ili msome, hivi ingekuwa ndio zilikuwa za upande wenu ingekuwaje ?Asante Kwa kutujuza ya Nigeria,sisi tunaendelea na haya ya kwetu kwanza.
Halafu bila aibu wala shukram yamekaa pale radio Imaaan yanalipwa hela kumtukana mwalimu na kuleta chokochoko za kidini.Hivi serikali kutaifisha shule za wakristo ili msome, hivi ingekuwa ndio zilikuwa za upande wenu ingekuwaje ?
Pili mfumo wa chekechea sekondari hadi chuo ni mfumo wa Kimagharibi ukisema magharibi zama zile una maanisha Ukristo.Somehow uko sahihi,na ndicho kilichokawepo,muislam kama unataka kupeleka shule ni either uchague,mtoto apate elimu au akose dini,Kwa sababu mtoto akienda seminari hadi Leo hii lazima aende kanisani,lazima ale nguruwe,lazima afuate misingi yote ya hiyo dini, obviously ilikua lazima waache kuwapeleka watoto.
Na hapo ndipo wasomi wengi wa kanisa wakawa wengi kwenye utumishi wa umma na wanachokifanya hadi hivi Leo ni wizi na ufisadi.
Hizo shule ambazo zilitaifishwa walijenga wanyonyaji wakoloni.Hivi serikali kutaifisha shule za wakristo ili msome, hivi ingekuwa ndio zilikuwa za upande wenu ingekuwaje ?
Asante Sana Senior Security,bahati mbaya sana wakiambiwa ukweli wanakuwa wakali.Huu ndio ukweli.
Wahuni wavaa lozari wezi sana
Udini maana yake ni nini??Udini unakusumbua sana wewe.ndo maana una akili ndogo.
Kwamba huwaoni doctors wengi mfano wa Prof Janabi,Dr DAU,Prof Assad,Prof Shivji na kadhalika ambao pia siyo wafanyabiashara?Ukosefu wa uzalendo kwa wasomi ni matokeo ya mfumo mbovu wa Sheria zetu zinawaogopa maafisadi
Pili mfumo wa chekechea sekondari hadi chuo ni mfumo wa Kimagharibi ukisema magharibi zama zile una maanisha Ukristo.
Waislam Wana mfumo wao wa elimu ambao umecombine dini Quran imeeleza kila kitu.
Ambapo kwa asilimia kubwa uwafanya kuwa wafanyabiashara thus wengi wamejaa kwenye biashara.
Ofcourse Allah loves Equality,but what kind of equality does LGBTQ+ Needs.View attachment 2877604
Mpokee mara ngapi?
Wachache,wengi ni wafanyabiashara,omba list ya wafanyabiashara uoneKwamba huwaoni doctors wengi mfano wa Prof Janabi,Dr DAU,Prof Assad,Prof Shivji na kadhalika ambao pia siyo wafanyabiashara?
LGBTQ is satanismOfcourse Allah loves Equality,but what kind of equality does LGBTQ+ Needs.
Sawa...Wachache,wengi ni wafanyabiashara,omba list ya wafanyabiashara uone