Ni lini Kanisa Katoliki litasimama kuliomba radhi taifa hili kwa kutuzalishia wengi wa wasomi wasio wazalendo?

Oooh pole sana Mkuu kama nimeumiza hisia zako.

But,hili ni jukwaa huru kutoa mawazo yako,wapi nimeudhalilisha ukristo??

Kwani ni uongo kuwa kwenye utumishi wa umma wengi ni nyinyi??

Na je wewe unaridhika na weledi wa hao watumishi?
Wewe tatizo lako una chuki kubwa sana na Ukristo mada zako zote humu ni kuunanga Ukristo badala ya kusema kweli kuwa matatizo ya nchi yetu yameletwa na mfumu wa utawala wa CCM ambayo iko madarakani tangu tupate uhuru. Accusations zako kwa Kanisa ulitakiwa uzielekeze kwa CCM ambayo ndiyo mfumo. Makosa individual yaliyofanywa na Wakristo ukiyapa taswira kuwa ndiyo Ukristo siyo sahihi kwani hata Waislam mafisadi wapo wengi wala haihitajiki tochi kuwatafuta sasa kwa makosa yao ndiyo tuu brand Uislam kuwa ni mfumo ufisadi? Tatizo la nchi yetu ni CCM ambao wameshajipa uhalali wa kutawala milele kwa kuvuruga mifumo ya uchaguzi huru na haki ambayo ndiyo ingekuwa silaha yetu sisi wananchi kuwaadhibu pindi wakivurunda. Lawama kwa Ukristo haziwezi kuondoa matatizo sugu ya nchi hii,kama unabisha kwa hili nitahitimisha kwa kusema kuwa wewe unasumbuliwa na inferiority complex na chuki kwa Ukristo.
 
To some extent nakubaliana naww.

But to some extent wewe je haukubalian na Mimi kuwa wasomi wengi wa nchi hii ni wasomi wa Kanisa?
 
Hatari sana, someone said that all bad roads leads to Rome...

It sounds good,SI umeona hapa hata majuzi hapa PAPA kaja na Proposal Gan.
Hata ile barabara ya Mohammed kunyonya ulimi wa Hasan nayo inaelekea Rome!

Elimu ya madrassa inapunguza uwezo wa kufikiri kwa kiasi kikubwa sana.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 

 
Hata ile barabara ya Mohammed kunyonya ulimi wa Hasan nayo inaelekea Rome!

Elimu ya madrassa inapunguza uwezo wa kufikiri kwa kiasi kikubwa sana.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Thanks a lot,now let us go back to our topic...

Lin kanisa LITASIMAMA KULIOMBA RADHI TAIFA HILI KWA KUTUZALISHIA WENGI WA WASOMI WASIO WAZALENDO?
 
Thanks a lot,now let us go back to our topic...

Lin kanisa LITASIMAMA KULIOMBA RADHI TAIFA HILI KWA KUTUZALISHIA WENGI WA WASOMI WASIO WAZALENDO?
Unashukuru Mohammed kunyonya ulimi wa Hasan?! Ok.

Hebu tuambie, Kanisa ndio lilitoa kauli ya wale kwa urefu wa kamba zao ila wasivimbiwe?

Nikitazama hata namna unavyoandika, unavyochanganya herufi kubwa na ndogo, unaonekana dhahiri kichwani umejaa matope tu, ndio maana unatulazimisha wengine twende down ili tufanane nawe.

Wewe ni sawa na chizi unayeona sifa kutembea mtupu barabarani.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Hahahaa.......nilikuuliza swali mbona mapunga yamejaa Pwani, Unguja, Tanga na Mombasa bado hujanijibu unakimbia kimbia.

Mambo ya Liwati yalianzia uarabuni.
Do you think tutaweza acha kupiga vita Riwati eti kisa mwarabu pia anafanya??

Riwati ni Riwati tuh doesn't matter nani anafanya,it's true hata waarabu wengi,hata wahindi ni wafiraji kama walivyo wazungu vile vile...

Point kubwa hapa ni kwamba kitendo Hiko ni Cha kupigwa Vita bila aibu,Sasa inakuaje kiongozi wenu mkubwa kama PAPA aje kutoa Ruksa ya hiyo kitu ya Sodoma na Gomora?

Think...!
 

Wasomi waliojaa kwenye utumishi wa umma ni waislam au wakatoliki??

Kama ni wakatoliki,basi bila shaka ndiyo wanaongoza Kwa wiz na ufisadi,je kanisa Halina kesi ya kujibu hapo?Kwa KUTUZALISHIA WENGI WA WASOMI WASIO WAZALENDO?
 
Hoja ijibiwe tu
 
πŸ‘πŸ‘πŸ†’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…