Ni lini Kanisa Katoliki litasimama kuliomba radhi taifa hili kwa kutuzalishia wengi wa wasomi wasio wazalendo?


Asante Sana Mkuu Kwa kumpa uelewa,even though nadhan kaelewa sema ni basi tuh kaamua kupinga Kwa kuwa ni ukwli mchungu kwake.
 
...... Au Profesa Osoro na matumaini hewa ya tirilioni 400! Profesa Kabudi na Dawa ya Korona kutoka Madagascar! 🤣 🤣 🤣
 
Mkuu bado hoja yako imebase kwenye hisia, maana hujaweka uthibitisho wa ufisadi kipindi cha mzee Ruksa na Jakaya. Hoja ya mleta màda ni kuwa hata waislamuu waliopo uongozini sehemu kubwa wamesoma kanisa katholiki.
Exactly exactly,je haoni kama kanisa Lina hoja ya kujibu?

Anaingiza hisia na kusema kwamba watu ni wachochezi au Wana chuki za udini,ila huu ndiyo ukweli Sasa.
 
Hivi,unajua unaona raha kuchukua mda wako kuandika gazeti hili. Binafsi na wasomaji wengine,nikiona umechanganya lugha, kiukweli siwezi kuisoma. Na hakika kuna wengine kama mimi. Kama unataka tujue umesoma, si mwanzo mwisho utumie lugha ya kigeni hiyo!!!
 
...... Au Profesa osoro na matumaini hewa ya tirilioni 400! Profesa Kabudi na Dawa ya Korona kutoka Madagascar! 🤣 🤣 🤣
Au Profesa muongo...!!

Teh teh teh,wasomi wa kanisa ni mzgo Sana
 
Hivi,unajua unaona raha kuchukua mda wako kuandika gazeti hili. Binafsi na wasomaji wengine,nikiona umechanganya lugha, kiukweli siwezi kuisoma. Na hakika kuna wengine kama mimi. Kama unataka tujue umesoma, si mwanzo mwisho utumie kingeleza hicho!!!
Siyo kingeleza...andika vizuri Mkuu.
 
Mkuu kwani hujui uislamu ulianzishwa na papa ili kuinyonya dunia.....
 
Umesema magufuli ila lile ni lifakeni limoja tu linaloendelea kuoza huko lilipo kifupi hatuna viongozi wenye kutaka mabadiliko ya kweli wengine hujivika ngozi ya mabadiliko ila ndani bado wanaendeleza ujinga na upendeleo..... Imagine alijinasibu kwamba ni raisi wa wanyonge ila wanyonge hawakupata mabadiliko yoyote kwa miaka yake basi angegusa zile sehemu ambazo hazikufikika ila nae mpka anagoma kula alikua anapiga kelele huku na kule
 
Alindwe au afungiwe kwenye geto linaitwa mahabusu?
 

Hapo kanisa halihusiki; wametumwa na kanisa kufanya ufisadi? Ufisadi kwa manufaa ya hao wasomi au kanisa?
Mtazamo wangu, chama kilichoshika hatamu Kwa tangu uhuru ndiyo tatizo, huku wakitumia katiba mbovu kujinufaisha. Ndani ya chama (CCM) kimekuwa kama kichaka Cha watu waovu, pasipo kuangalia dini.
 
Huu mchango unaweza kuufanya "thesis" na kukupatia Ph.D.
Kongole sana.

 
Kuna
THE BIG SHOW
FaizaFoxy
@khataan
Hao ni watu wazima lakini ukiwasimamisha na mtoto wa nursery 'mtoto wa nursery ataonekana ana kitu kichwani
I feel bad for you,hao uliowataja laiti ungejua status Yao ungelia sana Kwa kujisikitikia.

Niondoke Mimi hapo,hao wengine ni watu wazito kweli kweli...

Mmoja yupo United Nations.

Mwingine yupo African Union Head Quarters,utawawezea wapi watu hao...
 
🙏
 

Hatuzungumzi kama wapumbavu,hivi unajua kanisa lilinufaika vipi na ule mgao wa wizi wa fedha za escrow??

Umeisahau ile skendo kuwa fedha zilienda hadi makanisani??

Kwanini mnajitoa ufaham wa makusudi kiasi Hiko?
 

Mkuu,kauli zako ngumu sana hadi nimeogopa...!!

Hatari sana,Hatari sana Mkuu...
 
Mkuu kwani hujui uislamu ulianzishwa na papa ili kuinyonya dunia.....

Asante Kwa kinijuza Mkuu Mimi nilikua sijui kabisa, Kwahiyo na sisi waislam tujiandae pia kupokea Tamko la Papa kuhusu Sodomy siyo??

Nashukuru sana Kwa elimu yako hii...
 
Hatuzungumzi kama wapumbavu,hivi unajua kanisa lilinufaika vipi na ule mgao wa wizi wa fedha za escrow??

Umeisahau ile skendo kuwa fedha zilienda hadi makanisani??

Kwanini mnajitoa ufaham wa makusudi kiasi Hiko?
🤣🤣🤣🆒
 
Wasomi waliojaa kwenye utumishi wa umma ni waislam au wakatoliki??

Kama ni wakatoliki,basi bila shaka ndiyo wanaongoza Kwa wiz na ufisadi,je kanisa Halina kesi ya kujibu hapo?Kwa KUTUZALISHIA WENGI WA WASOMI WASIO WAZALENDO?
Jibu swali langu usikimbie, nani aliyewaruhusu kula kwa urefu wa kamba zao?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Jibu swali langu usikimbie, nani aliyewaruhusu kula kwa urefu wa kamba zao?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Anza kwanza kujibu la kwangu Kisha nijibu la kwako, Majibu yanategemeana hapa.

Je,katika utumishi wa umma wengi ni wasomi wa kikatoliki au waislam?

Twende taratibu mwamposa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…