Empedocles
Senior Member
- Sep 11, 2024
- 151
- 192
Ukoloni ni hali ya nchi moja kuitawala nchi nyingine kisiasa,kiuchumi na kiutamaduni.Sidhani kama hapa duniani kuna taifa ambalo halijawahi kutawaliwa.Kwetu waafrika tatizo ni kuendekeza athari za ukoloni.Wachina, wahindi nao pia walitawaliwa lakini baada ya uhuru wakaondoa misingi yote ya kikoloni na mpaka leo India wanafikiria kufuta jina hilo kwani lina chembe za ukoloni wakati sisi bado tunatukuza ukoloni.Hoja ya mleta mada haitaji mkoloni wetu ni nani na hivyo hoja ni jumuishi.Kataa ukoloni na tukuza uv wako ili jina la Afrika tulifute kwani ni la wakoloni.