Ni lipi tumshauri Tundu lissu kati ya haya ?

Ni lipi tumshauri Tundu lissu kati ya haya ?

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?

1. Agombee ubunge arudi bungeni

2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .

3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine

4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .

Soma Pia:

 
Namshauri arudi ulaya akakae na familia yake atulie tulii ,maana anaowapambania kipindi Cha uchaguzi kikifika wakipewa t shirt na kanga tu CCM bingwa
FB_IMG_1715771188553.jpg
 
Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?

1.Agombee ubunge arudi bungeni

2.Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .

3.Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine

4.Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .

Soma Pia:

Bila ya figisu kama mnazofanya siku zote kipindi cha uchaguzi wallah hawezi shinda uraisi samia na kama mnajiamini basi yanayolalamikiwa yatekelezwe halafu tuone ubavu wake.
 
Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?
1.Agombee ubunge arudi bungeni
Ile 2020 nilishauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! lakini 2025 nashauri TL agombee ubunge na jimbo lake liingizwe kwenye nusu mkate.
Hili la kuachiana majimbo linaitwa nusu mkate, msikilize TL anasema nini kuhusu nusu mkate Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
View: https://youtu.be/Qa59DIQs2yI?si=6dr58JvEyVD3mN-_

Kuhusu kugombea urais, wapinzani wote tumewashauri Kuelekea 2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!

Tukija kwenye urais, kiukweli kabisa Tanzania huwa hatufanyagi uchaguzi wa rais, bali huwa tunafanya igizo tuu la uchaguzi wa rais, na siku zote mgombea urais wa CCM ndiye rais wa JMT, kwavile mgombea urais wa CCM mwaka 2025 ni mwanamke, tumewashauri wapinzani Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!
P​
 

Hili la kuachiana majimbo linaitwa nusu mkate, msikilize TL anasema nini kuhusu nusu mkate Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
View: https://youtu.be/Qa59DIQs2yI?si=6dr58JvEyVD3mN-_

Kuhusu kugombea urais, wapinzani wote tumewashauri Kuelekea 2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!

Tukija kwenye urais, Tanzania huwa hatufanyagi uchaguzi wa rais, bali huwa tunafanya igizo la uchaguzi, na siku zote mgombea urais wa CCM ndiye rais wa JMT, kwavile mgombea urais wa CCM mwaka 2025 ni mwanamke, tumewashauri wapinzani Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!
P​

Binafsi hicho kitu kilichoitwa maridhiano naungana na Lissu
 

Hili la kuachiana majimbo linaitwa nusu mkate, msikilize TL anasema nini kuhusu nusu mkate Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
View: https://youtu.be/Qa59DIQs2yI?si=6dr58JvEyVD3mN-_

Kuhusu kugombea urais, wapinzani wote tumewashauri Kuelekea 2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!

Tukija kwenye urais, Tanzania huwa hatufanyagi uchaguzi wa rais, bali huwa tunafanya igizo la uchaguzi, na siku zote mgombea urais wa CCM ndiye rais wa JMT, kwavile mgombea urais wa CCM mwaka 2025 ni mwanamke, tumewashauri wapinzani Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!
P​

Maneno mengi,

UKWELI ni dhahiri kuwa Lissu anaogopeka, na mgombea wa CCM dhaifu angependa apite bila kupingwa na upinzani usisimamishe mgombea,

2025 KAZI IPO!!
 
## Kama CHADEMA wanataka iwavunje moyo Watanzania kwa ujumla, wanachama wake, mashabiki na wapenzi wao, basi wasimamishe mtu mwingine kuwania Urais tofauti na Tundu Lissu....!

## Huyu mwamba ndiye mtu pekee anayejulikana Tanzania nzima na nje ya Tanzania....

## Huyu mwamba ana sifa nyingi nzuri za ziada zifuatazo ambazo ni silaha muhimu ktk uwanja wa siasa unapopambana na CCM. Na sifa hizi ndizo zinazowatisha Samia na CCM yake yote kiasi cha nyie kina Nehemia Kilave kutumwa kwenye social media mbalimbali mje kujaribu kufanya propaganda za kijinga kama hivi ili ku - distract watu na upotofu wenu....

HUYU JAMAA:

1. Ni mtu safi na mwadilifu. Hana skendo wala tuhuma zozote kuhusu maadili yake kiuongozi....

2. Ni mtu aliyejaa ufahamu na maarifa ktk kila nyanja zote muhimu za kimaisha; siasa, historia, uchumi, elimu, sheria, uchumi nk

3. Huyu bwana ni mtu jasiri, asiyeogopa wala kutishwa na watawala wa serikali hii. Bila shaka ni kwa sababu amebeba silaha muhimu ya MAARIFA ya UELEWA na UFAHAMU mkubwa ktk sheria, katiba na historia ya nchi yetu na dunia kwa ujumla . Kwa silaha hizi, anaweza kumkabili yeyote ili mradi ana sababu za kumkabili na kumshinda....

4. Huyu mwamba anajua kujenga hoja, kutawala jukwaa na kwa sababu hii ana uwezo mkubwa wa kuvuta watu (hadhira) waje kumsikiliza na wakifika watapenda wakae kumsikiliza hadi mwisho hata kama anatumia vipaza sauti duni....

5. Huyu mwamba ndiye TISHIO na HOFU ya CCM yote. Hapo walipo hawatamani asimame na mgombea yeyote wa CCM achilia mbali huyu mama ambaye ni nyanya kabisa.....


## Kwa taarifa yako, tayari ameshafuata utaratibu wa chama kwa kuandika barua ya kuonesha nia yake ya kugombea Urais na Umakamu Mwenyekiti wa chama.....

## Atapambana na yeyote atakayesimamishwa huko CCM. Na mkirogwa mmrudishe huyu mama ambaye ni tomato sauce tu, mtakuwa mmerahisisha kazi unless otherwise mtumie risasi na bunduki kumshindisha na mkifanya hivi, ndipo mtakapoiwasha moto nchi hii maana this time HAITAKUWA KAMA 2020 na 2019......
 
Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?

1. Agombee ubunge arudi bungeni

2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .

3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine

4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .

Soma Pia:

Enyi mmbweha wa Lumumba, Lissu alishawajibu kuwa hawezi kuanzisha chama kwani hakitasaniliwa
 
## Kama CHADEMA wanataka iwavunje moyo Watanzania kwa ujumla, wanachama wake, mashabiki na wapenzi wao, basi wasimamishe mtu mwingine kuwania Urais tofauti na Tundu Lissu....!

## Huyu mwamba ndiye mtu pekee anayejulikana Tanzania nzima na nje ya Tanzania....

## Huyu mwamba ana sifa nyingi nzuri za ziada zifuatazo ambazo ni silaha muhimu ktk uwanja wa siasa unapopambana na CCM. Na sifa hizi ndizo zinazowatisha Samia na CCM yake yote kiasi cha nyie kina Nehemia Kilave kutumwa kwenye social media mbalimbali mje kujaribu kufanya propaganda za kijinga kama hivi ili ku - distract watu na upotofu wenu....

HUYU JAMAA:

1. Ni mtu safi na mwadilifu. Hana skendo wala tuhuma zozote kuhusu maadili yake kiuongozi....

2. Ni mtu aliyejaa ufahamu na maarifa ktk kila nyanja zote muhimu za kimaisha; siasa, historia, uchumi, elimu, sheria, uchumi nk

3. Huyu bwana ni mtu jasiri, asiyeogopa wala kutishwa na watawala wa serikali hii. Bila shaka ni kwa sababu amebeba silaha muhimu ya MAARIFA ya UELEWA na UFAHAMU mkubwa ktk sheria, katiba na historia ya nchi yetu na dunia kwa ujumla . Kwa silaha hizi, anaweza kumkabili yeyote ili mradi ana sababu za kumkabili na kumshinda....

4. Huyu mwamba anajua kujenga hoja, kutawala jukwaa na kwa sababu hii ana uwezo mkubwa wa kuvuta watu (hadhira) waje kumsikiliza na wakifika watapenda wakae kumsikiliza hadi mwisho hata kama anatumia vipaza sauti duni....

5. Huyu mwamba ndiye TISHIO na HOFU ya CCM yote. Hapo walipo hawatamani asimame na mgombea yeyote wa CCM achilia mbali huyu mama ambaye ni nyanya kabisa.....


## Kwa taarifa yako, tayari ameshafuata utaratibu wa chama kwa kuandika barua ya kuonesha nia yake ya kugombea Urais na Umakamu Mwenyekiti wa chama.....

## Atapambana na yeyote atakayesimamishwa huko CCM. Na mkirogwa mmrudishe huyu mama ambaye ni tomato sauce tu, mtakuwa mmerahisisha kazi unless otherwise mtumie risasi na bunduki kumshindisha na mkifanya hivi, ndipo mtakapoiwasha moto nchi hii maana this time HAITAKUWA KAMA 2020 na 2019......
Yasije tokea ya dr slaa ya kuleta EL
 
## Kama CHADEMA wanataka iwavunje moyo Watanzania kwa ujumla, wanachama wake, mashabiki na wapenzi wao, basi wasimamishe mtu mwingine kuwania Urais tofauti na Tundu Lissu....!

## Huyu mwamba ndiye mtu pekee anayejulikana Tanzania nzima na nje ya Tanzania....

## Huyu mwamba ana sifa nyingi nzuri za ziada zifuatazo ambazo ni silaha muhimu ktk uwanja wa siasa unapopambana na CCM. Na sifa hizi ndizo zinazowatisha Samia na CCM yake yote kiasi cha nyie kina Nehemia Kilave kutumwa kwenye social media mbalimbali mje kujaribu kufanya propaganda za kijinga kama hivi ili ku - distract watu na upotofu wenu....

HUYU JAMAA:

1. Ni mtu safi na mwadilifu. Hana skendo wala tuhuma zozote kuhusu maadili yake kiuongozi....

2. Ni mtu aliyejaa ufahamu na maarifa ktk kila nyanja zote muhimu za kimaisha; siasa, historia, uchumi, elimu, sheria, uchumi nk

3. Huyu bwana ni mtu jasiri, asiyeogopa wala kutishwa na watawala wa serikali hii. Bila shaka ni kwa sababu amebeba silaha muhimu ya MAARIFA ya UELEWA na UFAHAMU mkubwa ktk sheria, katiba na historia ya nchi yetu na dunia kwa ujumla . Kwa silaha hizi, anaweza kumkabili yeyote ili mradi ana sababu za kumkabili na kumshinda....

4. Huyu mwamba anajua kujenga hoja, kutawala jukwaa na kwa sababu hii ana uwezo mkubwa wa kuvuta watu (hadhira) waje kumsikiliza na wakifika watapenda wakae kumsikiliza hadi mwisho hata kama anatumia vipaza sauti duni....

5. Huyu mwamba ndiye TISHIO na HOFU ya CCM yote. Hapo walipo hawatamani asimame na mgombea yeyote wa CCM achilia mbali huyu mama ambaye ni nyanya kabisa.....


## Kwa taarifa yako, tayari ameshafuata utaratibu wa chama kwa kuandika barua ya kuonesha nia yake ya kugombea Urais na Umakamu Mwenyekiti wa chama.....

## Atapambana na yeyote atakayesimamishwa huko CCM. Na mkirogwa mmrudishe huyu mama ambaye ni tomato sauce tu, mtakuwa mmerahisisha kazi unless otherwise mtumie risasi na bunduki kumshindisha na mkifanya hivi, ndipo mtakapoiwasha moto nchi hii maana this time HAITAKUWA KAMA 2020 na 2019......
Uko sahihi
 
Kuna kila dalili Rais Samia ataendelea kuongoza mpaka 2030 , lakini kuna kila dalili kuna makubaliano wapinzani kuachia kiti cha Urais CCM na kupata baadhi ya majimbo , Tumshauri lipi kati ya haya Tundu lissu katika hali hii ?

1. Agombee ubunge arudi bungeni

2. Aungane na kina Mnyika wafanye mapinduzi ndani ya CHADEMA wapambane wachukue dola .

3. Aondoke CHADEMA aanzishe chama au ahamie chama kingine

4. Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .

Soma Pia:

Atulie abaki CHADEMA chama kiko mikono salama na kiko tayari kwa mapambano 2025 .
 
Back
Top Bottom