Ni maadili gani aliyobomoa Zuchu katika shoo yake mpaka wamfungie kufanya mziki Zanzibar pamoja na kulipa faini?

Je wewe kama ww kulwa unadhani wamebomoa maadili yako kwa kauli zao?

Ww unaathirikaje kimaadili kwa nyimbo ya Zuchu.

Kila jambo ukiliweka kwamba MIMI naathirikaje moja kwa moja kimaadili sio sawa

Ulishawahi kujua vile watoto wadogo wanavyojua ku-catch maneno?
Mziki unatakiwa kuwa burudani,na sidhani kama matusi ni moja ya burudani...kwa miziki ya zuchu mimi siwezi kuisikiliza nikiwa na mtu ninayemuheshimu
 
Afungiwe tu na mapema, mana akiachiwa next time atamaliza mku....ndugu zuchu
 
We jamaa una akili sana!
 
Kila siku nawaambia viongozi ndio wana akili chafu, sasa mtu kasema mku mnasema kavunja maadili, maua alisema kibamia wakasema matusi, wao ndio wana tafsiri chafu.
 
Kila siku nawaambia viongozi ndio wana akili chafu, sasa mtu kasema mku mnasema kavunja maadili, maua alisema kibamia wakasema matusi, wao ndio wana tafsiri chafu.
Acheni kutetea ujinga. Kesho mambo yakiharibika mnajificha. Usijione unajua Sana kuliko waliopewa hiyo kazi. Afungiwe kabisa, mtu kila siku matusi. Si ni huyu Zuchu alitamka neno kutomb..... Kwenye kipindi Cha TV, mpaka kile kipindi kikafungiwa. Mtatetea ujinga mpaka lini. Kama unataka matusi kasikilze mwenyewe msilazimishe wengine.
 
Siyo kila aombae radhi basi kafanya hilo kosa, kuna ile kuwa sitaki shindana na aliyeshika mpini huku mimi nimeshika makali
Yule anatafuta kiki tu. Ndio maana baada ya kuropoka kakimbia kuomba Radhi, anajua analofanya na sio kwamba kakosea. Wewe Baki kutetea mpaka utachoka.
 
Watetezi wa 'mambo yetu yale' katika ubora wake!

Unaijui sanaa na mipaka yake wewe?

Sanaa pamoja na hadithi ama tungo za riwaya ingawa tungo zake huwa haziwekwi kwa uwazi wa moja kwa moja, lakini huweza kuelimisha, kuburudisha kuhuzunisha ama kuzua taharuki katika jamii.

Maana yake ni kwaba hadhira huwekwa katika hali ya kujazilizia 'nyama', kwa fumbo ama simulizi kutofikishwa kwenye maana ya uwazi.

Lakini haujasikia wanariwaya fulani kuingia katika migogoro na mamlaka kutokana na tungo zao, je riwaya ushasikia zikimtaja mtu?

Sasa kwa Zuchu kutupa madongo ya wazi juu ya mpenzi wake na kusema hata wampe 'mku...', ewe mtetezi embu jaziliza hiyo "mku" tuone kama hilo neno linashabihiana na maneno aliyotangulia kuyatamka katika sentensi hiyo.

Tusiopenda uvunjifu wa maadili tunalaani kwa nguvu kubwa kwa taasisi ya muziki kuvamiwa na watunzi wa miziki ya matusi ya wazi ya nguoni ambayo ni aibu kwa mstaarabu kuweza kuisikiliza akiwa na familia yake.
 
Oky
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…