Ni madhara gani unapata mtu unapojambiwa?

Ni madhara gani unapata mtu unapojambiwa?

Yan wenyewe wanavyoitamka hyo udugu ukute kamelewa hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huku wameshikilia vijora vyao wametoka kwenye shughuli pambe, wana tattoo za piko na vindala vya manyonya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222]

Mbona uduguu pambee cocastic
 
Huku wameshikilia vijora vyao wametoka kwenye shughuli pambe, wana tattoo za piko na vindala vya manyonya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222]

Mbona uduguu pambee cocastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si niliongea na Kaka juzi, nisijisahau nkaanza
"Nambie uduguu nipe ubuyu wa huko" Kaka akakata cm kwanza.

Baadae akapiga, kilichofuata udugu wako lilinishuka shuuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mazoea mabayaa.
 
Huku wameshikilia vijora vyao wametoka kwenye shughuli pambe, wana tattoo za piko na vindala vya manyonya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222]

Mbona uduguu pambee cocastic
Haaaaaaah wanatembea mtaa mzima na vigoma haaaaah alafu ukute kakata Kvant hapo utaskia uduguu nishalewa mwenzioo twondokee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Haaaaaaah wanatembea mtaa mzima na vigoma haaaaah alafu ukute kakata Kvant hapo utaskia uduguu nishalewa mwenzioo twondokee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unanichekeshaaa, niliendaga uswazii buza kwa mama kibongee, kulikua na 40 ya kumtoa mtoto mchanga nje.

Sasa niliye enda nae ananambia wee unajifanya umevurugwa twende ukawaonee waliochanganyikiwa huku, nkamuambia hunijui vizuri wee, hayo mambo ndo nayoyapenda mie, mbna hutaamini kabisa.

Sasa tukafika pale bhana kukuta wadada wamevurugwa balaa, vijora vya chui chui,ndo saree, nkasema wee siwezi vumilia nkamuambia niliyeenda nae hebu niazimie kijora kwan.nkapewa nkazama kati ikapigwa ngoma ya miss buzza ile ya rayvan, timbwili nloonesha hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mate haamini had leo, ananambia wee km ungeishi uswazi ungeharibika mapema mnooo, yaan sio kuvurugwaa wee umetawanyishwaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si niliongea na Kaka juzi, nisijisahau nkaanza
"Nambie uduguu nipe ubuyu wa huko" Kaka akakata cm kwanza.

Baadae akapiga, kilichofuata udugu wako lilinishuka shuuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mazoea mabayaa.

Mimi huku nilipo kuna watu wananishangaa najisahu nawaita udugu hawaelewi [emoji1787][emoji1787][emoji2222]
 
Haaaaaaah wanatembea mtaa mzima na vigoma haaaaah alafu ukute kakata Kvant hapo utaskia uduguu nishalewa mwenzioo twondokee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app

Mabwana zao waimba singeli chini wamevaa vikuku vya elfu 2, wamebandika kope ndefu halafu zimejaa vumbi hawana habari, wanakwambia sio shida zetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom