cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Yaan wee acha, JF ishakua na heka heka hatarii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waja wana mambo [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan wee acha, JF ishakua na heka heka hatarii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waja wana mambo [emoji1787][emoji1787]
Haaaaaaah hahahaha kama engine ya SGR mbovuNa ubaya wa watu wanene, mjambo huwa unatoka kama mlio wa jenereta bovu linalowaka na kuzima [emoji4]
Kazi unayoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu dgo anapenda kula kuliko Chochote Jana kapost anakula kisinia kile na wenzie
Nacheka km chizii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ubaya wa watu wanene, mjambo huwa unatoka kama mlio wa jenereta bovu linalowaka na kuzima [emoji4]
Yan wenyewe wanavyoitamka hyo udugu ukute kamelewa hapa 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann??
Hiyo uduguu nawasikiaga walugulu wanaitana wananichekeshaga sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Si hivyo kuna namna yake wanatamka bhana kungekuwa na kivoice ungesikia uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Uduguu niambie
Yan wenyewe wanavyoitamka hyo udugu ukute kamelewa hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshee naweYan wenyewe wanavyoitamka hyo udugu ukute kamelewa hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si hivyo kuna namna yake wanatamka bhana kungekuwa na kivoice ungesikia uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si niliongea na Kaka juzi, nisijisahau nkaanzaHuku wameshikilia vijora vyao wametoka kwenye shughuli pambe, wana tattoo za piko na vindala vya manyonya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222]
Mbona uduguu pambee cocastic
Haaaaaaah wanatembea mtaa mzima na vigoma haaaaah alafu ukute kakata Kvant hapo utaskia uduguu nishalewa mwenzioo twondokee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huku wameshikilia vijora vyao wametoka kwenye shughuli pambe, wana tattoo za piko na vindala vya manyonya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222]
Mbona uduguu pambee cocastic
Poa poa uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sawa udugu wangu
Huyu dgo hakika Akiwajambia hao Dp world watakimbia bila kusign agreement [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akajambie DP World
Venye siku ya kuweka agreement apewe kiti cha mbele😁Huyu dgo hakika Akiwajambia hao Dp world watakimbia bila kusign agreement [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unanichekeshaaa, niliendaga uswazii buza kwa mama kibongee, kulikua na 40 ya kumtoa mtoto mchanga nje.Haaaaaaah wanatembea mtaa mzima na vigoma haaaaah alafu ukute kakata Kvant hapo utaskia uduguu nishalewa mwenzioo twondokee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si niliongea na Kaka juzi, nisijisahau nkaanza
"Nambie uduguu nipe ubuyu wa huko" Kaka akakata cm kwanza.
Baadae akapiga, kilichofuata udugu wako lilinishuka shuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mazoea mabayaa.
Haaaaaaah wanatembea mtaa mzima na vigoma haaaaah alafu ukute kakata Kvant hapo utaskia uduguu nishalewa mwenzioo twondokee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app