Uchaguzi 2020 Ni maelekezo gani mgombea Urais kapokea kutoka nchi za nje?

Uchaguzi 2020 Ni maelekezo gani mgombea Urais kapokea kutoka nchi za nje?

The Humble Dreamer

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2015
Posts
7,574
Reaction score
10,598
Wakuu Salaam;

Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani?

Juzi Mwigulu naye alisema hivi hivi kuwa kuna kibaraka anapokea maelekezo toka nje.

Jana pia Polepole kalilia hicho.

IMG_20200928_094616_706.JPG


Mgombea Urais wa CCM naye analilia hikihiki kuwa mgombea Urais kupitia CHADEMA ana maelekezo kutoka nchi za nje.

Ni maelekezo yapi?
 
Kwani ccm wao walipata wapi maagizo ya....
1. Kutaka kumuua Tundu Lissu
2. Kukataa kumtibu Tundu Lissu
3. Kumvua ubunge Tundu Lissu
4. Kumnyima kiinua mgongo Tundu Lissu

Maendeleo yana chama lkn udikteta hauna chama
 
Sasa kinachoshangaza zaidi, serikali wagombea hao hao wanaolalamika ndio wanaounda serikali iliyopo madarakani. Wanashindwa kuchukua hatua wakati wana nyenzo zote. Wanatutangazia sisi ili tufanye nini? Wao wameshindwa kuchukua hatua sisi wananchibwa kawaida tutafanya nini sasa
 
Wajinga
Sasa kinachoshangaza zaidi, serikali wagombea hao hao wanaolalamika ndio wanaounda serikalo iliyopo madarakani. Wanashindwa kuchukua hatua wakati wana nyenzo zote. Wanatutangazia sisi ili tufanye nini? Wao wameshindwa kuchukua hatua sisi wananchibwa kawaida tutafanya nini sasa
 
Kwani ccm wao walipata wapi maagizo ya....
1. Kutaka kumuua Tundu Lissu
2. Kukataa kumtibu Tundu Lissu
3. Kumvua ubunge Tundu Lissu
4. Kumnyima kiinua mgongo Tundu Lissu

Maendeleo yana chama lkn udikteta hauna chama
1.waliotaka kumuua anawajua lissu na wala si ccm na ndiyo maana hataki kwenda kufungua kesi ili uchunguzi ufanyike mhuni huyo.

2.matibabu ya serikali yana taratibu zake alitakiwa aanzie muhimbili ndiyomapate rufaa ya kwenda nje ya nchi yeye akajifanya spesho sana akaruka juu kwa juu kosa lake hakufuata taratibu.

3. kuvuliwa ubunge ni wajibu wa sheria za bunge maana alikuwa mtoro ndiyo maana hakushinda rufaa yake.

4.utampaje kiinua mgongo mtu aliyetega kazi?
 
NAMNA PEKEE YA CCM KUKWEPA LISU ASIPEWE IKULU NI KUKUBALI CHAMA CHA KATI KUSHINDA UCHAGUZI!!YAANI WAANDAE CHAMA MBADALA AMBACHO CHENYE MLENGO WA KATI!!NADHANI MEMBE ATAFAA NA ACT YAKE NA KULE ZANZIBAR TADEA AU KINGINE KITAFAA SANA!!
 
Mkutugenzi wa NEC pia anatoka huko eti watanzania hawataki mgombea atakaeuza madini yao nje. Sasa hivi sijui hayo madini yanauzwa wapi!. Yani Lisu kaleta kilio kuanzia uvccm, ccm, Nec, msajili wa vyama na serikali yioteee, kila mtu ni mayowe na nduru za kufa mtu. Na shida yote hii naona imekolea toka maalim Seif alipotangaza kumuunga mkono Tundu Lisu.

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu Salaam;

Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani?...

Wanataka muwaunge mkono wale ambao wanasema Tanzania ni doner country haha

Hivi kama wazungu wanataka kuhujumu Tanzania si jambo la dakika moja tu?

Wanakaa support zote, tumekwisha
 
Kama watu wa nje wanamwelekeza atende haki,awape watu uhuru wao na awaletee maendeleo yao basi kura yangu ni kwa huyo huyo anayepokea maelekezo kutoka nje!!
 
Hiki chama sera zake ni za kubaguzi tu,Zanzibar miaka yote ya uchaguzi wamekuwa wakileta propaganda za kuna watu wanatumwa na waarabu na kuharibu watu wasojielewa akili.

Wanatumia hii ili kuwazuia wanachama wao wenye akili mgando wasibadili mawazo
 
Wakuu Salaam;

Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani?

Juzi Mwigulu naye alisema hivi hivi kuwa kuna kibaraka anapokea maelekezo toka nje.

Jana pia Polepole kalilia hicho.
View attachment 1583233


Mgombea Urais wa CCM naye analilia hikihiki kuwa mgombea Urais kupitia CHADEMA ana maelekezo kutoka nchi za nje.

Ni maelekezo yapi?
Kuuza Tanzania kwa beberu. Chama cha Mbowe ni wazandiki kabisa,ulaghai, hila ndio Sera zenu. Oct 28,natamani ile fundisho na mwisho wa hii saccos.
 
Wakuu Salaam;

Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani?

Juzi Mwigulu naye alisema hivi hivi kuwa kuna kibaraka anapokea maelekezo toka nje.

Jana pia Polepole kalilia hicho.
View attachment 1583233


Mgombea Urais wa CCM naye analilia hikihiki kuwa mgombea Urais kupitia CHADEMA ana maelekezo kutoka nchi za nje.

Ni maelekezo yapi?
Hichi kishoga humphrey polepole ukikiuliza nchi gani imempa maelezo wala hakiwezi kukutajia zaidi ya kuishia kujamba jamba tu kwenye mic
 
Wamepanic tu hao...na hv jamaa hajui kujenga hoja ya kueleweka majukwaani tarajia mengi zaidi ya haya kutoka upande wa ccm!
 
1.waliotaka kumuua anawajua lissu na wala si ccm na ndiyo maana hataki kwenda kufungua kesi ili uchunguzi ufanyike mhuni huyo
2.matibabu ya serikali yana taratibu zake alitakiwa aanzie muhimbili ndiyomapate rufaa ya kwenda nje ya nchi yeye akajifanya spesho sana akaruka juu kwa juu kosa lake hakufuata taratibu.
3. kuvuliwa ubunge ni wajibu wa sheria za bunge maana alikuwa mtoro ndiyo maana hakushinda rufaa yake
4.utampaje kiinua mgongo mtu aliyetega kazi?
Huo utoro Ni dabo standard tu mbona Mkono ajavuliwa ubunge, ndugai alipoenda India alitokea muhimbili?
 
Sasa kinachoshangaza zaidi, serikali wagombea hao hao wanaolalamika ndio wanaounda serikalo iliyopo madarakani. Wanashindwa kuchukua hatua wakati wana nyenzo zote. Wanatutangazia sisi ili tufanye nini? Wao wameshindwa kuchukua hatua sisi wananchibwa kawaida tutafanya nini sasa
Watachukuaje hatua kwa kitu ambacho hakipo ?
 
Back
Top Bottom