Walijipanga na cd za sgr, flyover,ndege, corona, mabeberu zimegoma huzikawamepanic tu hao...na hv jamaa hajui kujenga hoja ya kueleweka majukwaani tarajia mengi zaidi ya haya kutoka upande wa ccm!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walijipanga na cd za sgr, flyover,ndege, corona, mabeberu zimegoma huzikawamepanic tu hao...na hv jamaa hajui kujenga hoja ya kueleweka majukwaani tarajia mengi zaidi ya haya kutoka upande wa ccm!
Acha kua zwazwa mkuu...ww kaa kimya huijui ccm hata kidogo1.waliotaka kumuua anawajua lissu na wala si ccm na ndiyo maana hataki kwenda kufungua kesi ili uchunguzi ufanyike mhuni huyo
2.matibabu ya serikali yana taratibu zake alitakiwa aanzie muhimbili ndiyomapate rufaa ya kwenda nje ya nchi yeye akajifanya spesho sana akaruka juu kwa juu kosa lake hakufuata taratibu.
3. kuvuliwa ubunge ni wajibu wa sheria za bunge maana alikuwa mtoro ndiyo maana hakushinda rufaa yake
4.utampaje kiinua mgongo mtu aliyetega kazi?
Ccm ni chama cha kishetani mkuuKwa mantiki hii, ina maan serikali ya CCM na yenyewe inapokea maelekezo kutoka nje ya nchi?
Unafiki.
Mmekamatika this time,Nani alikuambieni msikilize kagame badala ya kuwasikiliza watz wanataka nini poleni.Watachukuaje hatua kwa kitu ambacho hakipo ?
Tena Magufuli alisema anataka Tanzania iwe kama Ulaya, sasa kama hao wa nchi za nje ni wabaya iweje Magufuli atake nchi yetu ifanane na hizo nchi mbaya.Mwenye maelekezo kutoka nje ndio anayetufaa ili tufanane na nchi za nje mbona nyie mnapokea misaada toka nchi za nje? Au hamjui nchi za nje ndio mpango mzima pambaaf nyie
hiki kizee kijana Polepole ni kinafiki hasa. Si jambo la ajabu ikitokea Lissu akashinda ukasikia anamuita mwenyekiti wake wa sasa mlaghai vile vile. Kama alivyo na sura mbili iliyopo kati ya ujana na uzee hata msimamo wake uko hivyo hivyo.Wakuu Salaam;
Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani?
Juzi Mwigulu naye alisema hivi hivi kuwa kuna kibaraka anapokea maelekezo toka nje.
Jana pia Polepole kalilia hicho.
View attachment 1583233
Mgombea Urais wa CCM naye analilia hikihiki kuwa mgombea Urais kupitia CHADEMA ana maelekezo kutoka nchi za nje.
Ni maelekezo yapi?
Polepole na Bashiru wanatumika na wapinzani kumhujumu bwana magufuliMmekamatika this time,Nani alikuambieni msikilize kagame badala ya kuwasikiliza watz wanataka nini poleni.
Kinachotisha kwa sasa hivi ni hizi POROJO za CCM, kumtukana mgombea, kumfitinisha kwa wapiga kura, na HASA KUCHAPISHA KILA KUKICHA TAARIFA ZA UCHOCHEZI KWENYE MAGAZETI PENDWA YA CCM. Kutangazia Uma kwamba ATL ana mpango wa kuuza nchi, kuvuruga amani n.k ni kupandikiza mbegu ya chuki, hasa kwa wananchi wasio na uwezo wa kujua upande wa pili unasemaje! Katika media ya magazeti, vyama vya upinzani havina fursa ya kujibu tuhuma hizi, kwani magazeti yanayolandana na wapinzani yako kitanzini!Wakuu Salaam;
Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani?
Juzi Mwigulu naye alisema hivi hivi kuwa kuna kibaraka anapokea maelekezo toka nje.
Jana pia Polepole kalilia hicho.
View attachment 1583233
Mgombea Urais wa CCM naye analilia hikihiki kuwa mgombea Urais kupitia CHADEMA ana maelekezo kutoka nchi za nje.
Ni maelekezo yapi?
Usizidishe hasira za bwana yule akawatia virobaniPolepole na Bashiru wanatumika na wapinzani kumhujumu bwana magufuli
Hata wilson mahera mkurugenz wa NECCM anatumika na wapinzani maana kauli zake ni za kuwatia raia hasira za kumchukia magufuli na kumpenda TUNDU LISSUUsizidishe hasira za bwana yule akawatia virobani
Wakuu Salaam;
Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani?
Juzi Mwigulu naye alisema hivi hivi kuwa kuna kibaraka anapokea maelekezo toka nje.
Jana pia Polepole kalilia hicho.
View attachment 1583233
Mgombea Urais wa CCM naye analilia hikihiki kuwa mgombea Urais kupitia CHADEMA ana maelekezo kutoka nchi za nje.
Ni maelekezo yapi?
Wewe ni mbu msumbufu tu, unatupigia kelele masikioni.1.waliotaka kumuua anawajua lissu na wala si ccm na ndiyo maana hataki kwenda kufungua kesi ili uchunguzi ufanyike mhuni huyo
2.matibabu ya serikali yana taratibu zake alitakiwa aanzie muhimbili ndiyomapate rufaa ya kwenda nje ya nchi yeye akajifanya spesho sana akaruka juu kwa juu kosa lake hakufuata taratibu.
3. kuvuliwa ubunge ni wajibu wa sheria za bunge maana alikuwa mtoro ndiyo maana hakushinda rufaa yake
4.utampaje kiinua mgongo mtu aliyetega kazi?
Walitegemea mgawano wa kura, sasa Maalim kaunga mkono wasiyempenda Hahaha. Chukua kura za ACT Z'bar na bara + za Chadema + wanaccm wasiompenda mzee baba + watumishi wa umma + walioumizwa na issue ya vyeti feki + wakulima + wanafunzi wa elimu ya juu + vijana wasio na ajira + wafanyabiashara + askari wasiopendezwa na mambo yanavyoenda hata kama marupurupu yameongezea (maana ni kwa mujibu wa sheria) KAZI IPOMkutugenzi wa NEC pia anatoka huko eti watanzania hawataki mgombea atakaeuza madini yao nje. Sasa hivi sijui hayo madini yanauzwa wapi!. Yani Lisu kaleta kilio kuanzia uvccm, ccm, Nec, msajili wa vyama na serikali yioteee, kila mtu ni mayowe na nduru za kufa mtu. Na shida yote hii naona imekolea toka maalim Seif alipotangaza kumuunga mkono Tundu Lisu.
Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
Kumbe bado hamwelewi kama aliyeatempt ni mbow kulinda nafasi yake.Kwani ccm wao walipata wapi maagizo ya....
1. Kutaka kumuua Tundu Lissu
2. Kukataa kumtibu Tundu Lissu
3. Kumvua ubunge Tundu Lissu
4. Kumnyima kiinua mgongo Tundu Lissu
Maendeleo yana chama lkn udikteta hauna chama
Hawa majamaa wana roho mbaya zaidi ya NyokaView attachment 1583262
Hivi ndivyo watu walivyookotws kwenye sandarusi bahari I na mto Rufiji
Niongelee hiyo namba 1 yako.1.waliotaka kumuua anawajua lissu na wala si ccm na ndiyo maana hataki kwenda kufungua kesi ili uchunguzi ufanyike mhuni huyo
2.matibabu ya serikali yana taratibu zake alitakiwa aanzie muhimbili ndiyomapate rufaa ya kwenda nje ya nchi yeye akajifanya spesho sana akaruka juu kwa juu kosa lake hakufuata taratibu.
3. kuvuliwa ubunge ni wajibu wa sheria za bunge maana alikuwa mtoro ndiyo maana hakushinda rufaa yake
4.utampaje kiinua mgongo mtu aliyetega kazi?