Uchaguzi 2020 Ni maelekezo gani mgombea Urais kapokea kutoka nchi za nje?

Uchaguzi 2020 Ni maelekezo gani mgombea Urais kapokea kutoka nchi za nje?

1.waliotaka kumuua anawajua lissu na wala si ccm na ndiyo maana hataki kwenda kufungua kesi ili uchunguzi ufanyike mhuni huyo
2.matibabu ya serikali yana taratibu zake alitakiwa aanzie muhimbili ndiyomapate rufaa ya kwenda nje ya nchi yeye akajifanya spesho sana akaruka juu kwa juu kosa lake hakufuata taratibu.
3. kuvuliwa ubunge ni wajibu wa sheria za bunge maana alikuwa mtoro ndiyo maana hakushinda rufaa yake
4.utampaje kiinua mgongo mtu aliyetega kazi?
Nani amekuambia jaribio la kuua unafungua Wewe mashitaka? Hata ccm waliompiga Lisu risasi watakapo kamatwa, watashitakiwa na jamuhuri, siyo Lisu!
Kuanzia Muhimbili ingekua ujinga, wangemmalizia, leo tungepata wapi Mtu wa kuwatia jambamba?
Sheria hiyo Kwanini haikumgusa Mukono, ambaye amekua mgonjwa kwa miaka yote mitano?
Hilo la mafao ni urushi wa watu wawili wasimamizi wa mihimili, ila haki ya Mtu haipotei mtaitoa tu!
 
Wakuu Salaam;

Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani?

Juzi Mwigulu naye alisema hivi hivi kuwa kuna kibaraka anapokea maelekezo toka nje.

Jana pia Polepole kalilia hicho.
View attachment 1583233


Mgombea Urais wa CCM naye analilia hikihiki kuwa mgombea Urais kupitia CHADEMA ana maelekezo kutoka nchi za nje.

Ni maelekezo yapi?
Wanahofu sana,
Mwaka huu wameshikwa nyeti, zinaumaaaa!!

Hakuna ukombozi pasipo damu, bible say

Damu ya Lissu haikumwagika bure.
Soma biblia kitabu cha kutoka, kumb ya torati na Injiri zote.

Ili iote lazima ife, mbegu zote za kupandwa, lazima zife ndipo ziote.

Lussu alikufa, hakuna aliyeamini kuwa atapona.

NI UKOMBOZI
 
Wakuu Salaam;

Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani?

Juzi Mwigulu naye alisema hivi hivi kuwa kuna kibaraka anapokea maelekezo toka nje.

Jana pia Polepole kalilia hicho.
View attachment 1583233


Mgombea Urais wa CCM naye analilia hikihiki kuwa mgombea Urais kupitia CHADEMA ana maelekezo kutoka nchi za nje.

Ni maelekezo yapi?
Msiwape kura,wazalendo maslahi binafsi.wanaovaa uzalendo usio halisi kwa kwa kutumia kichaka Cha uzalendo tuaaogope zaidi ya shetani.
 
Wakuu Salaam;

Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani?

Juzi Mwigulu naye alisema hivi hivi kuwa kuna kibaraka anapokea maelekezo toka nje.

Jana pia Polepole kalilia hicho.
View attachment 1583233


Mgombea Urais wa CCM naye analilia hikihiki kuwa mgombea Urais kupitia CHADEMA ana maelekezo kutoka nchi za nje.

Ni maelekezo yapi?
Wameana hata kutumia mbeleko za mifumo yao haramu waliyoitengeneza kupitia kichaka Cha uzalendo.(kwao sii uzalendo halisi Bali uzalendo maslahi ya wachache)
 
1.waliotaka kumuua anawajua lissu na wala si ccm na ndiyo maana hataki kwenda kufungua kesi ili uchunguzi ufanyike mhuni huyo
2.matibabu ya serikali yana taratibu zake alitakiwa aanzie muhimbili ndiyomapate rufaa ya kwenda nje ya nchi yeye akajifanya spesho sana akaruka juu kwa juu kosa lake hakufuata taratibu.
3. kuvuliwa ubunge ni wajibu wa sheria za bunge maana alikuwa mtoro ndiyo maana hakushinda rufaa yake
4.utampaje kiinua mgongo mtu aliyetega kazi?
Hayo ndiyo yatakayowaondoa mwaka huu, nanyi mnajua kuwa mwaka huu mnang,'oka ndy maana kelele nyingiiij
 
Mkutugenzi wa NEC pia anatoka huko eti watanzania hawataki mgombea atakaeuza madini yao nje. Sasa hivi sijui hayo madini yanauzwa wapi!. Yani Lisu kaleta kilio kuanzia uvccm, ccm, Nec, msajili wa vyama na serikali yioteee, kila mtu ni mayowe na nduru za kufa mtu. Na shida yote hii naona imekolea toka maalim Seif alipotangaza kumuunga mkono Tundu Lisu.

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
Sasa nimetambua kuwa serikali hii siyo ya kulaumiwa kwa kumpiga risasi Lissu.
Ulikuwa mpango wa Mungu ili Mungu apate pa kusimama kutukomboa
Hata waliouawa na kupotezwa damu zao zitaleta ukombozi,pamoja na Akwirina
Ben,Mawaz, Azory nk.Rip

Je kama Yuda iskariote asingemsaliti Yesu ukombozi ungefanyika?

Je Yuda anastahili lawama?

HAKUNA UKOMBOZI PASIPO DAMU
 
Kumbe bado hamwelewi kama aliyeatempt ni mbow kulinda nafasi yake.
Kwani ccm wao walipata wapi maagizo ya....
1. Kutaka kumuua Tundu Lissu
2. Kukataa kumtibu Tundu Lissu
3. Kumvua ubunge Tundu Lissu
4. Kumnyima kiinua mgongo Tundu Lissu

Maendeleo yana chama lkn udikteta hauna chama

Kwa nn hamjamkamata mbowe?
 
Kwani ccm wao walipata wapi maagizo ya....
1. Kutaka kumuua Tundu Lissu
2. Kukataa kumtibu Tundu Lissu
3. Kumvua ubunge Tundu Lissu
4. Kumnyima kiinua mgongo Tundu Lissu

Maendeleo yana chama lkn udikteta hauna chama

Kwa nn hamjamkamata mbowe?
Muulize Mbowe kwanini hajakamatwa.?
Mengine ambayo hakukamatwa
- Chacha Wangwe
- Mwenyekiti wa Temeke
- Tundu Lissu
N.k
 
Huo utoro Ni dabo standard tu mbona Mkono ajavuliwa ubunge, ndugai alipoenda India alitokea muhimbili?
wana taarifa rasmi hao ndugu unapoteza muda tu kufikiria hebu fikiria ya familia yako kwanza maana imelelia dagg wa kuchemsha bila mafuta leo wasilale njaa
 
Wakuu Salaam;

Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani?

Juzi Mwigulu naye alisema hivi hivi kuwa kuna kibaraka anapokea maelekezo toka nje.

Jana pia Polepole kalilia hicho.



Mgombea Urais wa CCM naye analilia hikihiki kuwa mgombea Urais kupitia CHADEMA ana maelekezo kutoka nchi za nje.

Ni maelekezo yapi?
Unataraji Seneta Sherman ampe maelekezo gani zaidi ya kuhrshimu haki na uhuru wa individuals kufanya au kufanyiwa chochote anachotaka ilimradi ameridhia?
 
Ni kweli Lisu ana Back up kutoka nje hasa kutoka kiwanja cha kijasusi cha Belgium!ccm hawana ujanja coz jpm hajawa smart kwa miaka mitano hivyo kaacha loopholes nyingi za mabeberu kumshughulikia!!DEEP STATE MLIFELI SANA VETTING YA JPM KUWA NAMBA MOJA!!!
Yaani ukiniambia Tanzania tuna usalama wa taifa tiss nacheka Sana mgonjwa wa milembe bipolar disorder na faili lipo Bugando anapewa nchi na tiss wapo ? Na wanajua ? Tiss vichekesho ?
 
Sasa nimetambua kuwa serikali hii siyo ya kulaumiwa kwa kumpiga risasi Lissu.
Ulikuwa mpango wa Mungu ili Mungu apate pa kusimama kutukomboa
Hata waliouawa na kupotezwa damu zao zitaleta ukombozi,pamoja na Akwirina
Ben,Mawaz, Azory nk.Rip

Je kama Yuda iskariote asingemsaliti Yesu ukombozi ungefanyika?

Je Yuda anastahili lawama?

HAKUNA UKOMBOZI PASIPO DAMU
Nakubaliana na ww

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
1.waliotaka kumuua anawajua lissu na wala si ccm na ndiyo maana hataki kwenda kufungua kesi ili uchunguzi ufanyike mhuni huyo.

2.matibabu ya serikali yana taratibu zake alitakiwa aanzie muhimbili ndiyomapate rufaa ya kwenda nje ya nchi yeye akajifanya spesho sana akaruka juu kwa juu kosa lake hakufuata taratibu.

3. kuvuliwa ubunge ni wajibu wa sheria za bunge maana alikuwa mtoro ndiyo maana hakushinda rufaa yake.

4.utampaje kiinua mgongo mtu aliyetega kazi?
Nna swali kuhusu number 1,
Kufungua kesi kivipi mkuu,
Attempt murder kama ile inahitaji mtu kwenda kufungua kesi?
 
NAMNA PEKEE YA CCM KUKWEPA LISU ASIPEWE IKULU NI KUKUBALI CHAMA CHA KATI KUSHINDA UCHAGUZI!!YAANI WAANDAE CHAMA MBADALA AMBACHO CHENYE MLENGO WA KATI!!NADHANI MEMBE ATAFAA NA ACT YAKE NA KULE ZANZIBAR TADEA AU KINGINE KITAFAA SANA!!
Shit
 
Lissu ana mmaliza kabisa Polepole maana hata haangaiki kumjibu pumba zake.
 
Wakuu Salaam;

Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani?

Juzi Mwigulu naye alisema hivi hivi kuwa kuna kibaraka anapokea maelekezo toka nje.

Jana pia Polepole kalilia hicho.



Mgombea Urais wa CCM naye analilia hikihiki kuwa mgombea Urais kupitia CHADEMA ana maelekezo kutoka nchi za nje.

Ni maelekezo yapi?
Ni wapuuzi na waropokaji
 
1.waliotaka kumuua anawajua lissu na wala si ccm na ndiyo maana hataki kwenda kufungua kesi ili uchunguzi ufanyike mhuni huyo.

2.matibabu ya serikali yana taratibu zake alitakiwa aanzie muhimbili ndiyomapate rufaa ya kwenda nje ya nchi yeye akajifanya spesho sana akaruka juu kwa juu kosa lake hakufuata taratibu.

3. kuvuliwa ubunge ni wajibu wa sheria za bunge maana alikuwa mtoro ndiyo maana hakushinda rufaa yake.

4.utampaje kiinua mgongo mtu aliyetega kazi?
Utopolo mtupu
 
Muulize Mbowe kwanini hajakamatwa.?
Mengine ambayo hakukamatwa
- Chacha Wangwe
- Mwenyekiti wa Temeke
- Tundu Lissu
N.k
Kwani ccm wao walipata wapi maagizo ya....
1. Kutaka kumuua Tundu Lissu
2. Kukataa kumtibu Tundu Lissu
3. Kumvua ubunge Tundu Lissu
4. Kumnyima kiinua mgongo Tundu Lissu

Maendeleo yana chama lkn udikteta hauna chama. Km huamini muulize nape, kinana, mangula, membe na kinana watakupa story wewe buku 7 wa juzi juzi huijui ccm
 
Back
Top Bottom